Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mbowe akitolea mfano chama cha ANC kinaweza kumng'oa kiongozi hata kama tayari yuko Ikulu, ameitaka CCM pia iwe na mfumo huo akilalamikia tabu ambazo wapinzani wamepitishwa miaka michache iliyopita na kuitaka CCM badala kuwalinda hata wanaofanya dhambi ya wazi.
Mbowe amesema ameamua kufunguka ili kuiweka roho yake salama na wengine.
Mbowe amesema ameamua kufunguka ili kuiweka roho yake salama na wengine.