peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
MBONA HUJAWASHAURI WALIOTUMBULIWA NA MAMA WAKATUBU AKIWEPO Mzee wa Mjengoni ambaye hajulikani Alipo?Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Sad newe is Mr Mbowe is happier than your whole clan put together.Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Huyu nyamikengeza hana dili tena! Nae kageuka kuwa mbwatukaji kwa Magufuli mara alitesa mikoa ya Kaskazini! Sasa hayupo pambana na hali yako mzee! Hawa Wote wanasiasauchwara wakikosa hoja wanamrukia Magufuli! Huyu mimi sina huruma nae hata tone!Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Shukrani kwa kuisambaza Join the Chain MitandaoniHiyo ndio hali halisi ya Mbowe na Chadema mtaani...aya endeleeni kujifurahisha mtandaoni.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
Basi mshaurini bi Mkora akubali katiba mpya kabla ya uchaguzi...ili tuwacheke Chadema vizuri!Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Magufuli alikimbia katiba mpya yanayoendelea sasa kila mtu asali kwa sababu angekubali katiba mpya mambo ya ushungi yasingukuwa na tijaHawa ndio wanaotaka katiba mpya mbona wachache
mwenyekiti mwanae huyo wann au kulikua na shughuli yakifamilia au ndo join the chain maeneo ya mikocheniLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Lumumba wamekupa hela yako.Maana bila ushoga huwezi kuishi.Hiyo ndio hali halisi ya Mbowe na Chadema mtaani...aya endeleeni kujifurahisha mtandaoni.
Jenerali Sabaya anawapa salamu,wakati tunasubiri Hukumu ya Kesi ijayo tarehe 30 ni vema tuweke utaratibu wa kupita pale Jela Kisongo kumpatia walau Nyembe,ni bidhaa adimu sana mle ndaniLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907