Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Mbowe akataliwa Dar es Salaam! Ni bora Samia anakataliwa nchi nzima . Si ccm sii wanawake.​

Wanawake walikuwa wanapika mandazi mijini wanasomesha watoto na kutunza familia sasa bei ya mafuta imewarudisha nyumbani.​

 
MBONA HUJAWASHAURI WALIOTUMBULIWA NA MAMA WAKATUBU AKIWEPO Mzee wa Mjengoni ambaye hajulikani Alipo?
 
Sad newe is Mr Mbowe is happier than your whole clan put together.
 
Huyu nyamikengeza hana dili tena! Nae kageuka kuwa mbwatukaji kwa Magufuli mara alitesa mikoa ya Kaskazini! Sasa hayupo pambana na hali yako mzee! Hawa Wote wanasiasauchwara wakikosa hoja wanamrukia Magufuli! Huyu mimi sina huruma nae hata tone!
 
Basi mshaurini bi Mkora akubali katiba mpya kabla ya uchaguzi...ili tuwacheke Chadema vizuri!

CCM hamna akili kabisa ndio maana mnamuandaa riz moko kuwa rais wa nchi hii
 
mwenyekiti mwanae huyo wann au kulikua na shughuli yakifamilia au ndo join the chain maeneo ya mikocheni

mwanae kushoto huyo wann tena kwenyekazi za chama
 
Yani makamanda wanavyotokwa povu kwenye uzi kama huu hadi nacheka tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Cha ajabu ni kwamba hawapingi kile kilichoandikwa wala picha, ni povu tu la kubeza na kutukana!
 
Jenerali Sabaya anawapa salamu,wakati tunasubiri Hukumu ya Kesi ijayo tarehe 30 ni vema tuweke utaratibu wa kupita pale Jela Kisongo kumpatia walau Nyembe,ni bidhaa adimu sana mle ndani
 
Watu wanawaza gharama za maisha zimepanda watu wa kipato cha chini nani ahangaike na mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…