Apedomia kwa Jiwe imekumalizaLeo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Yaani kuna watu hata sielewi kama wana ubongo kwenye vichwa vyao!!![emoji33] Hilo kaburi limekuwa Mungu hadi Mbowe aende kutubia mbele yake???--- huo sio ushirikina?!!
Kwani Mbowe hapo ameguswa na Serikali,sio kwamba alikuwa HURU?Kama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.
Na hizi ndio siasa zinazowaangusha zaidi Chadema kupitia wafuasi wake!PUMBAVU
Lini dar ilishawahi kua ngome ya chadema wazaramo akili zenu bwanaNa hizi ndio siasa zinazowaangusha zaidi Chadema kupitia wafuasi wake!
Maajabu!!!! Hao ndiyo wafuasi wa CCM!!! PatheticYaani mtu hai akatubu kwa mtu mfu???
Prof yako pichan ndo wwHiyo ndio hali halisi ya Mbowe na Chadema mtaani...aya endeleeni kujifurahisha mtandaoni.
JPM pamoja na kutaka kuua CDM akiwa rais, alijikuta anakufa yeye na kuiacha CDM ikimea zaidi.Leo kulikuwa na tukio la Chadema wakiongozwa na mwenyekiti wao Mbowe. Lilikuwa ni tukio linaluhusu zaidi ushiriki wa watanzania.
Cha ajabu na masikitiko makubwa, hakukuwa na muitikio wa wananchi. Watu hawana habari na Mbowe kama hakijatokea kitu.
Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
View attachment 2181905
View attachment 2181907
Kile ni chama cha "Mkwe"; wala sio cha Ukoo....Namuonea huruma mbowe anaaibisha chama cha ukoo
Sasa Mkuu wabishie picha ambayo inajieleza kila kitu? Kubishia hiyo inabidi uwe na moyo wa kichaa...Yani makamanda wanavyotokwa povu kwenye uzi kama huu hadi nacheka tu πππ
Cha ajabu ni kwamba hawapingi kile kilichoandikwa wala picha, ni povu tu la kubeza na kutukana!
Akatubie dhambi gani ?Namshauri Mbowe akatubu kwenye kaburi la Magufuli.
Ukileta upumbavu tunakuchana laivu hatuna siasa za kinafiki nafiki blue inakuwa nyeupe,nyeusi inakuwa dhambarau sisi siyop chama cha matapeli(ccm).Na hizi ndio siasa zinazowaangusha zaidi Chadema kupitia wafuasi wake!
Papush....halafu jina lako kama la kihindi hindi vile!huyo Magufuli tushamsahau mmebaki mnashabikia mfu
Kama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.