Mbowe akataliwa Dar es Salaam! CHADEMA imekufa rasmi....

Apedomia kwa Jiwe imekumaliza
 
Kama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.
Kwani Mbowe hapo ameguswa na Serikali,sio kwamba alikuwa HURU?
 
Nadhani heri Mbowe anayeonekana mitaani kuliko Brother Ndugai ambaye hajulikani hata alipo tangu atolewe nduki kwenye kiti cha kunesanesa
 
JPM pamoja na kutaka kuua CDM akiwa rais, alijikuta anakufa yeye na kuiacha CDM ikimea zaidi.
 
Yani makamanda wanavyotokwa povu kwenye uzi kama huu hadi nacheka tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Cha ajabu ni kwamba hawapingi kile kilichoandikwa wala picha, ni povu tu la kubeza na kutukana!
Sasa Mkuu wabishie picha ambayo inajieleza kila kitu? Kubishia hiyo inabidi uwe na moyo wa kichaa...
 
Jana nilikuwa tegeta kibonkweli watu hawana hbr nae wtz wamanza kujielewa sas HV ingawa nimewapa elf mbili
 
Na hizi ndio siasa zinazowaangusha zaidi Chadema kupitia wafuasi wake!
Ukileta upumbavu tunakuchana laivu hatuna siasa za kinafiki nafiki blue inakuwa nyeupe,nyeusi inakuwa dhambarau sisi siyop chama cha matapeli(ccm).
 
huyo Magufuli tushamsahau mmebaki mnashabikia mfu
Papush....halafu jina lako kama la kihindi hindi vile!
Papushikashi , ukiweza toa fafanuzi ya neno ' mfu anayeshabikiwa', labda, unaweza kupata fasili.

- utaona kuwa kawaida binadamu tunasikia, tunaona na kuelewa nini mbele yetu na kwa uelewa huo tunaweza linganisha na kutofautisha.

"Jaribu kupata uelevu ..." alimaka mzee mmoja- leo hii naona niseme haya- kwako.

Mfu huwa hashabikiwi, bali huwa anatukuzwa.

Je unaweza mbeza mfu?

Unawezaje kusema umemsahau-haliwezekani hilo- stop being inconsiderate halafu uwalazimishe wengine wamsahau for what purpose?

ww papushi..unashabikia usahaulifu!

Watanzania hawawezi kumsahau kwani alitenda mazuri kwao, Watanzania wengine hawawezi kumsahahu kwa kuwa alitenda mabaya kwao. Watanzania wengi
walisikia, Watanzania wengi waliona na Watanzania wengi walielewa.
Wacha kushabikia usahaulifu.
Amani ikufikie.
 
Kama kweli unaamini ulichoandika, iambie serikali yako ya CCM iruhusu mikutano ya kisiasa/hadhara kesho asubuhi halafu uone kitakachotokea.

Kwani imekatazwa?

Badae mtasema wambie waruhusu maandamano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…