Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mpaka Kina mama wanaaga?Taarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo...
Nadhani iko kidini zaidiKwanini azikwe usiku?
Sijui chochote kuhusu hiloMpaka Kina mama wanaaga?
Maamuzi ya familia.Kwanini azikwe usiku?
Eti mbowe ni Bilionaire ambae alikuwa anaishi nyumba ya wazazi hadi mwaka janaTaarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo...
Maziko nizoezi linalohusisha watu wengi. Au wanataka watu wafuturu ndio wakazike wakirudi waondoke na daku? Kama hivyo nijambo jemaMaamuzi ya familia.
Au kuepuka Joto la Mchana.Nadhani iko kidini zaidi
Apumzike kwa amani
Ameshakiri kwamba alitudanganya kuhusu mishahara ya wabunge?? Au hana hayaTaarifa ya dharula ya Chadema iliyosambazwa mitandaoni inaeleza kwamba , Mwenyekiti wa Chama hicho amelazimika kukatisha ziara ya kichama ili kuwahi mazishi ya Bilionea mwenzake Sabodo
View attachment 2942670View attachment 2942671
Sabodo aliyefariki Alfajiri ya kuamka leo atazikwa leo saa 4 usiku kwenye Makaburi ya Kisutu
View attachment 2942675
INNALILLAH WAINNALILLAH RAAJUUN