Mbowe akikutwa na hatia kauli ya Dkt. Mollel juu ya mabomu ya Arusha itaunga dots

Mbowe akikutwa na hatia kauli ya Dkt. Mollel juu ya mabomu ya Arusha itaunga dots

Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Good
 
Kwanini tumepeleka Majeshi Msumbiji si tungepeleka Hai kwenda kumsaka Gaidi Mkuu.
 
Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.

Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu....
CCM bwana hamuchoki? Bila kumwombea mabaya cku haijaisha.
 
Kuna yule askari alimuambia Mbowe kuwa October hatoshinda.

Kama Mbowe angekua gaidi angemfutilia mbali yule askari wa chama tawala..
images (1).jpeg


Kwa video hii hapo usiku wa kuamkia zoezi la kura za uchafuzi mkuu alionekana Ole Sabaya na mitutu sasa CCM mtueleze Sabaya ni jambazi au askari? Na alikwenda kufuata nini hapo hotelini kwa Mbowe!

Mbowe angekuwa gaidi Sabaya na genge lake wangekuwa wamekwishafutiliwa mbali hata kabla ya kuwasili hotelini
 
Mabomu ya Arusha tunajua nani alikua nyuma ya hilo.

RC Magesa Mlongo ndo alikua nyuma ya hayo mabomu...anyway hii ni kesi ya kubumba tu .
 
Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.

Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu....
kama alikuwa kiongozi mwandamizi CHADEMA na yeye ni gaidi akamatwe ashtakiwe .
 
Mbona Samia amekwisha mhukumu tayari?
Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.

Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu...
 
Back
Top Bottom