Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
- Thread starter
- #21
Huna akili kapuku.Wew hapo,si upo lumumba?tupe taarifa kamili tuliopo nanjilinji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili kapuku.Wew hapo,si upo lumumba?tupe taarifa kamili tuliopo nanjilinji
GoodWanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
Inahusika vipi?Mollel yule mwenye outism ( usonji)
Niunganishe namimi nianze kupga hizo buku saba saba nitoke kwenye ukapukuHuna akili kapuku.
CCM bwana hamuchoki? Bila kumwombea mabaya cku haijaisha.Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.
Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu....
Na wewe ungesubiri basi, haraka za nini? Wewe uongee, tukiongea sisi unasema subiri kesi iisheMkuu subiri kesi iishe.
We mbona hukusubiri kesi iishe ?!Mkuu subiri kesi iishe.
Utetezi wako upo relevant na tuhuma za ugaidi.Kuna yule askari alimuambia Mbowe kuwa October hatoshinda.
Kama Mbowe angekua gaidi angemfutilia mbali yule askari wa chama tawala....
Mada husika umeielewa boss?We mbona hukusubiri kesi iishe ?!
Odhis *
Kwa hiyo umeiuzia pale geti kijaniKamanda ukweli unauma
.
Kwakuwa linahitaji kuhalalisha uhalifu pangwaGazeti letu la UHURU mbona mmelifungia?
Acha utoto.Kwa hiyo umeiuzia pale geti kijani
kama alikuwa kiongozi mwandamizi CHADEMA na yeye ni gaidi akamatwe ashtakiwe .Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.
Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu....
Ni binadamu wachache sana wanaoweza kuunga dots na kupata what is what.
Dk Mollel ambae alishawahi kuwa mmoja wa viongozi waandamizi wa Chadema alishawahi kudai kuwa Chadema inahusika na ugaidi. Na ndio ilipanga njama za mabomu ya Arusha ambayo yalijeruhi watu na kuua watu...
Are you serious kamanda bwege?Mbona Samia amekwisha mhukumu tayari?