Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
 
Mbowe alituuza live. Na mbaya zaidi hizo hadithi alikuwa anatuletea tuzipitishe. Mbowe naapa akiwa tena mwenyekiti mimi sipo tena huko
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Ndugu yangu napenda kukupa Taarifa Kwamba, Kesi ya Ugaidi ya Mbowe ilikuwa na ushaidi mwingi sana. Ndiyo Sababu Mbowe anamshukuru sana Samia Kwa Msamaha wake!
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Mkandara Fundi Mchundo.
brazaj Kalamu

Chadema inapitia kipindi muhimu ila ni kigumu kwake.
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
CC: Etwege
Lucas Mwashambwa
John the babtist
(Kwa taarifa).
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Mbowe sio mpinzani tena yule,
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Na Mi Nasema Apinduliwe Tu...

Kwenye Sanduku La Kura, 21/01/2025...


TWENDE NA LISSU
 
Watu hamjui tu ila hili sekeseke la Chadema na Samia tulianza nalo mwaka 2022 mwishoni. Ilikuwa ghafla sana mwenyekiti wetu alibadili "jia" angani.

Aliyosema Lissu leo ni ukweli mtupu. Ndani ya Chadema kulikuwa na vuguvugu sii la kitoto. Mnyika ni shahidi.

Mwenyekiti alikuja na mapendekezo kwamba kusiwe na mgombea urais mwenye nguvu ama asiwepo kabisa mwaka 2025. Pia akaja mpaka na orodha ya majimbo ambayo Chadema ingeachiwa mwaka 2025. Kama kuna mtu atabisha basi tutayaweka hadharani. Miongoni mwa hayo majimbo watu wake nanga zinapaa kweli kweli kwa sasa maana wana faida wataipata huko mbeleni. Sisi tuliuliza, kwanini tuingie kwenye makubaliano hayo? Mbona nguvu tunayo?

Kiukweli ni jambo baya sana kumsema kiongozi mwenye Legacy kama Mbowe lakini hapa mwishoni alituuza, alituweka rehani. Sisi wengine tulihoji kulikoni? Mbowe anafaidika na nini? Mbona uwezo wa kupata hata majimbo zaidi ya 100 tunao mwaka 2025? Leo tuingie kwenye maridhiano ya kudanganywa na majimbo chini ya 20 ili tu mtu avuke? Ili nani afaidike?

Yapo mengi kweli tutayasema wazi wazi siku za mbeleni ila Mbowe kwa hatua aliyokuwa amefikia si wa kumung'unyiwa tena maneno! Aliharibu pakubwa!
Ndio maana wapambe na chawa wake wanahaha
 
Mbowe alitoa tuzo kwa Rais bila kuishirikisha kamati kuu ya chama wala viongozi wenzake.

Yaani mbowe kwenye chadema hua anajiamilia na hakuna wa kumuuliza kama vile anavyoamua kwenye familia yake na yoyote ataehoji Mbowe anamtimua.

Mbowe anaikopesha chama kwa hela anazoluja nazo mfukoni ama cash na kulipwa anataka alipwe cash, hakuna invoice yoyote ma claims zozote anazoleta, hizo hela anazitoa wapi?

Mbowe ameyatafta mwenyewe, saaa hivi hakuna jiwe litaachwa juu ya jiwe lingine.
 
Back
Top Bottom