Mbowe alipanga kuonana na Rais Samia 12 Juni, naona kamtelekeza Mbowe kiaina

Mbowe alipanga kuonana na Rais Samia 12 Juni, naona kamtelekeza Mbowe kiaina

Corticopontine

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2019
Posts
666
Reaction score
1,277
Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na siku hiyo hiyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakuwa Omani na siku hiyo hiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu.

Mbowe, Rais Samia anajua wewe ni muigizaji kwa hiyo na yeye atakuigizia tu hvy hvy kuja maridhiano yaishe ni July 2025.

Kwa taarifa yako maamuzi ya Halima Mdee na wenzake kuwepo Bungeni ni maamuzi yaliyotokana na katiba ya nchi kwa sababu ya uongo wenu mama anajua anajadiliana na waigizaji na yeye atawaigizia mpaka mchoke.
 
SHAJARA / DIARY YA TAREHE 12 JUNI 2022

12 June 2022

Siku hii ya tarehe 12 mwezi Juni 2022 imekuwa na habari nyingi kuhusu hali ya kisiasa na usalama ya Tanzania


AL JAZEERA NEWS :

Tanzania land dispute: Protest by herders turn violent



Kenya has stepped up security along its southern border. That’s after one police officer was killed and dozens of protesters injured during violence between Tanzanian forces and Maasai herders.
 
Kwenye hili aliyepoteza ni Samia

Nchi hii hakuna mpinzani mwenye maarifa na ujanja wa kuzitambua na kuzishinda mbinu za CCM. Katika maisha yake yote, Maalim Seif (RIP) aliambulia kulamba tu kile kiasi cha asali alichokuwa anagawiwa na CCM. Mpaka umauti unamkuta ndoto yake ya kuwa Rais wa Zanzibar ilibaki kama ndoto ya mchana!

Ayatollah Mbowe atakuja kukumbuka blanket wakati kumeshakucha!
 
Nchi hii hakuna mpinzani mwenye maarifa na ujanja wa kuzitambua na kuzishinda mbinu za CCM. Katika maisha yake yote, Maalim Seif (RIP) aliambulia kulamba tu kile kiasi cha asali alichokuwa anagawiwa na CCM. Mpaka umauti unamkuta ndoto yake ya kuwa Rais wa Zanzibar ilibaki kama ndoto ya mchana!

Ayatollah Mbowe atakuja kukumbuka blanket wakati kumeshakucha!
Unamshauri nini Mbowe afanye
 
Unamshauri nini Mbowe afanye

1. Atambue kwamba ndani ya CCM hakuna willpower ya kucheza fairly. Haipo. Aache kujidanganya kwamba Hangaya atafufua mchakato wa Katiba mpya kabla ya 2025. Anapoteza muda tu!

2. Kama kweli personal interests (zake na familia yake) sio kipaumbele kwenye harakati zake, afanye kile ambacho angefanya with knowledge kwamba level playing field haiwezi kuletwa na CCM. Upinzani wameshapoteza muda mwingi sana, kwasababu priorities zao zimekuwa upside down tangu mwanzo.

Kipaumbele chao kilipaswa kuwa viti vya Bunge na Baraza la Wawakilishi na sio Ikulu (kiti cha Rais). Wangekuwa wameshapata control ya hivi vyombo, wangekuwa unstoppable; wangekuwa na uwezo wa kuzifutilia mbali sheria ambazo zimewaumiza politically, one presidential election cycle after another.
 
Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na sk hyohyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakua Omani na siku hiyohiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu...
Umetowa wapi ratiba au ni kujitengenezea visa tu na drama ambazo hazipo. Mama na Mbowe hawana matatizo wachawi mtapata shida
 
Ila chadema bhana, yani mmeshawafukuza watu ila bado mnaendelea kuwafuatilia, c mtulie mana hawapo mikononi mwenu tena.
 
Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na sk hyohyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakua Omani na siku hiyohiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu...
Sukuma Gang na roho zenu za kishetani mtateseka sana,naona mnafanya juhudi kubwa kuhujumu maridhiano yanayoedelea, mtakufa kwa kihoro mwaka huu
 
Ila chadema bhana, yani mmeshawafukuza watu ila bado mnaendelea kuwafuatilia, c mtulie mana hawapo mikononi mwenu tena.
Acha kuwa mjinga wewe! Hivi mke ukimuacha halafu anazunguka akitumia jina lako kufanya shughuli zake hadi kukopa utakubali?

Chadema imeshasema wabaki nao bungeni ila wasitumie jina la wabunge wa Chadema, ebo!
 
Mbona it's obvious Samia kakimbia nchi kwasababu ya hii pressure ya Loliondo na Ngorongoro, hii akili atakuwa alipewa na Msoga kwani enzi zake nae alikuwa anakimbia nchi wakati wa pressure kama huu.

Bahati mbaya kwa Samia amechagua destination mbovu ya kukimbilia, badala ya kupoza tatizo sasa ndio ameongeza attention zaidi, wengi watataka kujua kitachofuata juu ya hatma ya wakazi wa Ngorongoro baada ya hiyo ziara yake.

Asipokuwa makini akirudi atajikuta anakimbia tena kama atakuja na mambo yasiyoeleweka.
 
Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na siku hiyo hiyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakuwa Omani na siku hiyo hiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu..
Wivu utawaua sio kila kitu kikipangwa lazima kifanyike unajuaje kama Mbowe hajaombwa udhuru? Punguzeni WIVU wa Mbowe kuonana na RAIS

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na siku hiyo hiyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakuwa Omani na siku hiyo hiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu

Mbowe, Rais Samia anajua wewe ni muigizaji kwa hiyo na yeye atakuigizia tu hvy hvy kuja maridhiano yaishe ni July 2025 .

Kwa taarifa yako maamuzi ya Halima Mdee na wenzake kuwepo Bungeni ni maamuzi yaliyotokana na katiba ya nchi kwa sababu ya uongo wenu mama anajua anajadiliana na waigizaji na yeye atawaigizia mpaka mchoke
Who is Mbowe? Rais aache Kazi asubirie kuonana na Mbowe?
 
Safari ya kimataifa ya Rais haiwezi kuwa dharura. Ayatollah Mbowe alipewa fake appointment by design!
Uko sahihi, lakini Tanzania haina umakini huo unaotaka tuamini upo. Na ushahidi kuwa hakuna umakini huo upo bayana.
 
Back
Top Bottom