Mbowe alipanga kuonana na Rais Samia 12 Juni, naona kamtelekeza Mbowe kiaina

Mbowe alipanga kuonana na Rais Samia 12 Juni, naona kamtelekeza Mbowe kiaina

Ni kweli, hata mimi ningeshangaa rais aache kwenda kutalii, abaki ili kuendelea kumuingiza Mbowe mjini.
Na wewe katalii 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-085422.png
    Screenshot_20220613-085422.png
    77.6 KB · Views: 5
Wewe unawashwa nini na mambo ya Chadema? Huko CCM huna bwana wa kushusha hilo joto lako?
Ww c tayari mbowe ameshapunguza joto lako,
Acha kuwa mjinga wewe! Hivi mke ukimuacha halafu anazunguka akitumia jina lako kufanya shughuli zake hadi kukopa utakubali?

Chadema imeshasema wabaki nao bungeni ila wasitumie jina la wabunge wa Chadema, ebo!
Mm n mjinga ila ww ni Rubbish sperms. Mkeo ameolewa na mwanaume mwingine na muda huu anapendeza bc unaanza kulia-lia ety anatumia jina lako kwenye ndoa nyingine 😂😂 kama ulimuacha hawezi kutumia jina lako ww bwege
 
Hizi porojo tumezoea, hata Bush na Obama walikuja hapa nchini wakiwa marais, hakuna jipya zaidi ya porojo
Hakuna jipya? Umebeba bichwa kubwa likejaa mausaha tuu..

Kajikumbushe kuhusu MCC Tanzania ndio uje kuropoka tena..
 
Ww c tayari mbowe ameshapunguza joto lako,

Mm n mjinga ila ww ni Rubbish sperms. Mkeo ameolewa na mwanaume mwingine na muda huu anapendeza bc unaanza kulia-lia ety anatumia jina lako kwenye ndoa nyingine [emoji23][emoji23] kama ulimuacha hawezi kutumia jina lako ww bwege
Mimi machoko kama wewe ndiyo nawapelekea moto na siku si nyingi utaingia kwenye nyavu zangu,na nitakutia mimba kabisa utulie
 
Mbowe kaingizwa cha kike kwa nguvu hadi kuwa manju wa iyena iyena. Nafuu Lissu pamoja na kulambishwa asali walao anafanya kazi yake ya kusimama na wamasai na kukataa nchi kugawiwa kwa mtu yule
 
Ulivyotaka kunionyesha kuwa MCC ni msaada wa maana sana. Kwa taarifa yako misaada yote ya MCC haikufika hata 1t.
Mimi sio wa level zako kwamba unaweza nidanganya au kuja na Takwimu uchwara..

MCC imedumu kwa miaka 5 na Kati ya miaka hiyo Tanzania ilikuwa inapokea $ 700M annually na ndio ilikuwa recipient mkubwa Africa..

Sasa kwa hicho kiwango kwa miaka 5 ni Bei gani? Angalia miradi iliyotekelezwa harafu ndio uje ujione ulivyo mbumbumbu.
 
Mimi sio wa level zako kwamba unaweza nidanganya au kuja na Takwimu uchwara..

MCC imedumu kwa miaka 5 na Kati ya miaka hiyo Tanzania ilikuwa inapokea $ 700M annually na ndio ilikuwa recipient mkubwa Africa..

Sasa kwa hicho kiwango kwa miaka 5 ni Bei gani? Angalia miradi iliyotekelezwa harafu ndio uje ujione ulivyo mbumbumbu.

Mkuu nimeamini level zako ni za kiwango cha juu sana, sasa ili level zako zikae vizuri, weka kila mradi na figure yake ndani ya hiyo miaka mitano ziwiane na hiyo figure yako.
 
huyu naye tumeisha anza kumstukia, naona ameanza kunogewa na 'asali' ya pale magogoni……...
 
Malipo ya level yako kuwa juu zaidi ya hapo ilivyo sasa.
Hujui kitu mwehu wewe sema tukusaidie.

Bila MCC hata REA ungeishia kuisoma,MCC ilitoa pesa chini ya Programu ya Power Africa,bila MCC Kigoma ingekuwa na Giza saizi na bila MCC ,Rukwa,Katavi na Ruvuma na Tanga kungekuwa mavumbi tupu.👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220613-115921.png
    Screenshot_20220613-115921.png
    122.2 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220613-115833.png
    Screenshot_20220613-115833.png
    122 KB · Views: 3
Back
Top Bottom