Hujui kitu mwehu wewe sema tukusaidie.
Bila MCC hata REA ungeishia kuisoma,MCC ilitoa pesa chini ya Programu ya Power Africa,bila MCC Kigoma ingekuwa na Giza saizi na bila MCC ,Rukwa,Katavi na Ruvuma na Tanga kungekuwa mavumbi tupu.π
Hujui kitu mwehu wewe sema tukusaidie.Malipo ya level yako kuwa juu zaidi ya hapo ilivyo sasa.
Tupe source yako basi yenye tofauti na hizo..Mkuu kweli level zako hukamatiki, hasa ukizingatia source ya habari yako ni Habari leo!
Hujui kitu mwehu wewe sema tukusaidie.
Bila MCC hata REA ungeishia kuisoma,MCC ilitoa pesa chini ya Programu ya Power Africa,bila MCC Kigoma ingekuwa na Giza saizi na bila MCC ,Rukwa,Katavi na Ruvuma na Tanga kungekuwa mavumbi tupu.π
Tupe source yako basi yenye tofauti na hizo..
Una matatizo tena sio madogo yaani hata hizo barabara wewe huzioni yaani πππππ
Endelea kukenua zaidi π¬π¬Nasema hivi, asante bro wa next level. Bado nacheka sana.
Ni kweli mkuu. "This is a trivial issue".Kapoteza kwa kipi mkuu ? Hiyo meeting ikipelekwe mbele itamuathiri vipi ,Tuna umiza vichwa humu JF kwa vitu ambavyo Mama na Mbowe wote wanajua Mwisho wake .
Iyo mimba ya mbowe/ CHADEMA itoe itakuuwa...Mbowe alitarajia kuonana na Samia June 12 na siku hiyo hiyo Taasisi ya Urais na Rais mwenyewe walijua watakuwa Omani na siku hiyo hiyo Mbowe kaahidiwa aende Ikulu.
Mbowe, Rais Samia anajua wewe ni muigizaji kwa hiyo na yeye atakuigizia tu hvy hvy kuja maridhiano yaishe ni July 2025.
Kwa taarifa yako maamuzi ya Halima Mdee na wenzake kuwepo Bungeni ni maamuzi yaliyotokana na katiba ya nchi kwa sababu ya uongo wenu mama anajua anajadiliana na waigizaji na yeye atawaigizia mpaka mchoke.