Mbowe alivyokimbiwa na wafuasi wake ni kama Yesu alivyoachwa solemba na wanafunzi wake akakamatwa na jeshi la Rumi

Mbowe alivyokimbiwa na wafuasi wake ni kama Yesu alivyoachwa solemba na wanafunzi wake akakamatwa na jeshi la Rumi

Today I've confirmed without a doubt that, Mbowe is a public servant and a secret card bearer.

And it'll take ages for most Tanzanians to demystify this ploy.​
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni.

Wapo wapi anaowapigania?

Wapo wapi waliopatwa na madhila, majanga ambao Mbowe na viongozi wenzake anawasemea na kuwapigania?

Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.

Lakini siku alipokutana na Mkono wa Dola, watu wote walimkimbia.
Sio wanafunzi wake.
Sio wale aliowaponya,
Sio wale ambao aliwafufua,
Sio wale aliowalisha chakula.
Wote walimkimbia, zaidi ya yote alisulubishwa.

Kuna mambo ya kujifunza katika mambo haya. Hasa unapoingia katika mambo Ya kisiasa;

1. Usitegemee watu walionyuma yako, hakikisha unajiweza.
Elewa kuwa walionyuma na chini yako wewe ndiye kiongozi wao hivyo endapo utapoteana basi hata wafuasi wako watapoteana.

Kiongozi hategemei Waliochini yake. Kiongozi anategemewa.

2. Kiongozi lazima uwe na Way forward ya namna ya kukabiliana na adui zako..
Maandamano hayawezi kufanikiwa kwa sababu wanaoyaratibu na viongozi wao huruhusu kukamatwa mapema kabla picha halijaanza.

3. Kiongozi wa kisiasa ni muhimu kuwa na Mafunzo ya kijeshi na elimu ya Kijasusi.

Yesu hakufanikiwa kufanya jambo lolote la maana kisiasa na alishindwa kukomboa taifa la Kiyahudi kwa sababu hakuwa na mafunzo ya kivita, kijeshi na mambo ya Kijasusi. Ingawaje washabiki na wafuasi wake humtetea kwa kusema ilimbidi auawe ili wakombolewe kiroho lakini kisiasa hizo tunaita porojo au propaganda za kuwapa moyo mashabiki wake.

Hii ni tofauti na Ma legend wengine kama Musa, Daudi, Ibrahim, Yusufu, Yakobo n.k. hawa wote walikuwa viongozi na walikuwa wanamafunzo ya kivita, kijeshi, na intellijensia.

Na wote misheni zao zilifanikiwa.

Kwa sababu Jeshi, ujasusi, mapigano ni sehemu ya field katika Utawala na Mamlaka.

Ni rahisi kwa mwanajeshi, mwanasheria, jasusi, Polisi, au jeshi kwa aina zake kufanikiwa kutawala au kuchukua Utawala kuliko mtu ambaye wa fani kama Ualimu, udaktari, uinjinia, n.k.

Daudi kabla hajawa Mfalme alikuwa naye na wafuasi wake. Yaani Daudi alikuwa Mwenyekiti katika genge ambalo lilikuwa linamuamini.

Daudi kitaaluma alikuwa mchungaji wa mifugo, mwanamuziki lakini kumbe kwa Siri huko porini alikuwa anajifunza mapigano ya kivita.

Hii ni kusema hata siku anakutana na Goliath hakuwa amekurupuka, alijua kuwa anauwezo wa kupigana na Goliath na Mungu angemsaidia.

Ukitaka ujue kuwa Daudi pia alikuwa Jasusi na kapteni sio tuu tukio la kumuangusha Goliath bali hata harakati za kukabiliana na Mfalme Sauli ambaye hakutaka kumuachia Ufalme kwa njia ya Amani. Daudi alijiepusha sana na Dola, alikimbia na kuepuka mitego yote ya Dola ambapo kwa mtu wa kawaida angekuwa ameshapigwa mapema.

Tundu Lisu na Mbowe wanachokosea ni kudhani kuwa siasa wanazozifanya ni sahihi wakati sio sahihi.
Siasa za Mbowe na Lisu ni sahihi katika ulimwengu wa Dunia ya kwanza huko kwa Wazungu wenye mambo ya Demokrasia. Lakini kwa Afrika sio sahihi kabisa kwa sababu;

Mosi, Afrika Bado ipo nyuma kwa karibu Karne mbili nyuma ya Wazungu. Yaani tupo nyuma ya Wakati.

Pili, Waafrika pia akili, mitazamo, na Mila zetu Bado ipo nyuma.

Sio ajabu Watanzania wengi hawawezi kuelewa kile wanachokifanya Mbowe na Lissu.

Watanzania na Waafrika wengi hawaelewi Uhuru ni kitu gani, Haki ni nini, Mila potofu ni zipo,
Lakini tumaini ni kuwa kidogokidogo mambo yatabadilika.

Kwa hiyo njia pekee ambayo Watanzania na Waafrika huilewa ni njia ya mabavu na maguvu.

Watu wasiotambia Haki zao, uhuru wao, kipi kizuri na kipi kibaya huwezi kuwaongoza kwa njia za kidemokrasia. Ubabe, udikteta, maguvu ndio njia sahihi.

Huwezi kuleta Demokrasia kwa ulimwengu ambao Bado unaamini katika Mwanamke anatakiwa kutolewa Mahari. Alafu ukiwaambia wakupe hoja hakuna hata Moja ya maana.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu ambao wanaaminj hawafanikiwi kwa sababu wamelogwa au Kuna mtu kamtupia Jini. Hiyo Demokrasia ya kazi gani?

Huwezi leta Demokrasia au kuwapa watu uhuru wanaoamini kuwa Mzazi anaweza kukutamkia maneno mabaya(Laana) Ati yakashika au baraka ikashika jambo ambalo ni uongo wa mchana Kabisa.

Huwezi leta au kupigania Demokrasia kwenye jamii ambayo Albino wanauliwa kisa mambo ya kishirikina.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao wanaamini kiongozi wa dini akiwapa mafuta au kitu Fulani watafanikiwa. Hizi ni akili za wakati wa Yesu, zama za zamani sana.

Ambapo miaka hiyo Wafalme walidanganya wanaowatawala kuwa wao ni miungu na wanauwezo wa kimungu.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao huona mzazi au mkubwa Hakosei. Hiyo jamii Bado ipo gizani.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu wanaoamini mwanamke ni kumbe cha kukaa nyumbani. Kiumbe kisicho na Haki kama Mtu.
Na wanawake wenyewe wanaoamini vivyohivyo. Huwezi peleka Demokrasia huko.

Huwezi kupeleka Demokrasia kwa watu hao kwa Sababu zifuatazo:
1. Wataitumia vibaya Demokrasia na uhuru utakaowapa.

Waafrika tunashuhudia wakilalamika Kila pembe ya Afrika kuwa mbona walipigania uhuru lakini mambo ni kama yamewashinda. Uhuru unapiganiwa na watu waliojiandaa na waliokomaa.

Hata mtoto mdogo ukimpa uhuru kabla ya Wakati wake sio ajabu ukamkuta anavuta mibangi, madawa ya kulevya na kufanya mambo ndivyosivyo.

2. Kundi dogo kukandamiza kundi Kubwa.
Demokrasia ni watu wengi ndio husikilizwa na kunufaishwa. Lakini watu ambao hawajaandaliwa kupata Demokrasia huwa kinyume chake, kwamba kundi dogo kusikilizwa na kuneemeka dhidi ya kundi Kubwa.

3. Kutokueleweka.
Unamwambia Mtu wewe ni mtu lazima ufanye kazi ili uwe Huru, unahaki ya kuchagua au kuchaguliwa kiongozi, hakuelewi.

Unamwambia Mtu hutakiwi kutolewa Mahari, hawezi kukuelewa na hana Makosa kwa sababu amefungwa macho yake. Anaona kiza mbele.

4. Machafuko.
Uhuru, Demokrasia na Haki haiwafai watu ambao hawajajiandaa kwa Sababu huweza kusababisha machafuko.

Sio ajabu watu wanaona mbona ndoa siku hizi zinapasuka vipandevipande, wanasema mwanamke kapewa Uhuru au suala la HAKI Sawa.

Mtu anapopewa uhuru kabla hajaandaliwa kinachofuata ni machafuko.

Lazima mtu aandaliwe kuwa Huru.

Kumpa mtu uhuru kabla hujamuandaa ni sawa na Ndama aliyekata Kamba.

Katika Level ya Familia,
Wazazi Bora hujua kabisa Uhuru na Demokrasia ni muhimu sana kwa mtu. Hivyo huwaandaa watoto wao hatua kwa hatua namna ya kuwa watu Huru na watu wa Haki na Demokrasia.

Mtoto akipewa uhuru bila kuandaliwa sio ajabu akifika chuo kikuu anaanza kuparangana huko kwenye ma-club na makasino bila AKILI. Kuparamia wanawake hovyo, kunywa mapombe na mavyakula pasipo AKILI.
Mwishowe mtoto huweza kudhurika na wakati mwingine kufa kabla ya Wakati

Uhuru unaenda kwa Hatua. Uhuru unaenda sambamba na AKILI.

Uhuru bila AKILI yaani uhuru ambao haujaandaliwa huleta machafuko na anguko.

Zipo hatua za watu kupigania au kupewa Uhuru. Hilo litakuwa Somo jingine. Kwa sababu uhuru nao ukicheleweshwa huleta machafuko na maanguko.

Taikon nimeandika mpaka nimepotea njia lakini naamini nilichoandika ukitulia kitatusaidia wote.
Lakini kama hakijakusaidia au hakitakusaidia nakupa Pole sana.

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Mchungaji Msigwa alipogundua kuwa Green guard na vibaraka wao (Police) hawawezekani, akaamua aunganenao.
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni.

Wapo wapi anaowapigania?

Wapo wapi waliopatwa na madhila, majanga ambao Mbowe na viongozi wenzake anawasemea na kuwapigania?

Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.

Lakini siku alipokutana na Mkono wa Dola, watu wote walimkimbia.
Sio wanafunzi wake.
Sio wale aliowaponya,
Sio wale ambao aliwafufua,
Sio wale aliowalisha chakula.
Wote walimkimbia, zaidi ya yote alisulubishwa.

Kuna mambo ya kujifunza katika mambo haya. Hasa unapoingia katika mambo Ya kisiasa;

1. Usitegemee watu walionyuma yako, hakikisha unajiweza.
Elewa kuwa walionyuma na chini yako wewe ndiye kiongozi wao hivyo endapo utapoteana basi hata wafuasi wako watapoteana.

Kiongozi hategemei Waliochini yake. Kiongozi anategemewa.

2. Kiongozi lazima uwe na Way forward ya namna ya kukabiliana na adui zako..
Maandamano hayawezi kufanikiwa kwa sababu wanaoyaratibu na viongozi wao huruhusu kukamatwa mapema kabla picha halijaanza.

3. Kiongozi wa kisiasa ni muhimu kuwa na Mafunzo ya kijeshi na elimu ya Kijasusi.

Yesu hakufanikiwa kufanya jambo lolote la maana kisiasa na alishindwa kukomboa taifa la Kiyahudi kwa sababu hakuwa na mafunzo ya kivita, kijeshi na mambo ya Kijasusi. Ingawaje washabiki na wafuasi wake humtetea kwa kusema ilimbidi auawe ili wakombolewe kiroho lakini kisiasa hizo tunaita porojo au propaganda za kuwapa moyo mashabiki wake.

Hii ni tofauti na Ma legend wengine kama Musa, Daudi, Ibrahim, Yusufu, Yakobo n.k. hawa wote walikuwa viongozi na walikuwa wanamafunzo ya kivita, kijeshi, na intellijensia.

Na wote misheni zao zilifanikiwa.

Kwa sababu Jeshi, ujasusi, mapigano ni sehemu ya field katika Utawala na Mamlaka.

Ni rahisi kwa mwanajeshi, mwanasheria, jasusi, Polisi, au jeshi kwa aina zake kufanikiwa kutawala au kuchukua Utawala kuliko mtu ambaye wa fani kama Ualimu, udaktari, uinjinia, n.k.

Daudi kabla hajawa Mfalme alikuwa naye na wafuasi wake. Yaani Daudi alikuwa Mwenyekiti katika genge ambalo lilikuwa linamuamini.

Daudi kitaaluma alikuwa mchungaji wa mifugo, mwanamuziki lakini kumbe kwa Siri huko porini alikuwa anajifunza mapigano ya kivita.

Hii ni kusema hata siku anakutana na Goliath hakuwa amekurupuka, alijua kuwa anauwezo wa kupigana na Goliath na Mungu angemsaidia.

Ukitaka ujue kuwa Daudi pia alikuwa Jasusi na kapteni sio tuu tukio la kumuangusha Goliath bali hata harakati za kukabiliana na Mfalme Sauli ambaye hakutaka kumuachia Ufalme kwa njia ya Amani. Daudi alijiepusha sana na Dola, alikimbia na kuepuka mitego yote ya Dola ambapo kwa mtu wa kawaida angekuwa ameshapigwa mapema.

Tundu Lisu na Mbowe wanachokosea ni kudhani kuwa siasa wanazozifanya ni sahihi wakati sio sahihi.
Siasa za Mbowe na Lisu ni sahihi katika ulimwengu wa Dunia ya kwanza huko kwa Wazungu wenye mambo ya Demokrasia. Lakini kwa Afrika sio sahihi kabisa kwa sababu;

Mosi, Afrika Bado ipo nyuma kwa karibu Karne mbili nyuma ya Wazungu. Yaani tupo nyuma ya Wakati.

Pili, Waafrika pia akili, mitazamo, na Mila zetu Bado ipo nyuma.

Sio ajabu Watanzania wengi hawawezi kuelewa kile wanachokifanya Mbowe na Lissu.

Watanzania na Waafrika wengi hawaelewi Uhuru ni kitu gani, Haki ni nini, Mila potofu ni zipo,
Lakini tumaini ni kuwa kidogokidogo mambo yatabadilika.

Kwa hiyo njia pekee ambayo Watanzania na Waafrika huilewa ni njia ya mabavu na maguvu.

Watu wasiotambia Haki zao, uhuru wao, kipi kizuri na kipi kibaya huwezi kuwaongoza kwa njia za kidemokrasia. Ubabe, udikteta, maguvu ndio njia sahihi.

Huwezi kuleta Demokrasia kwa ulimwengu ambao Bado unaamini katika Mwanamke anatakiwa kutolewa Mahari. Alafu ukiwaambia wakupe hoja hakuna hata Moja ya maana.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu ambao wanaaminj hawafanikiwi kwa sababu wamelogwa au Kuna mtu kamtupia Jini. Hiyo Demokrasia ya kazi gani?

Huwezi leta Demokrasia au kuwapa watu uhuru wanaoamini kuwa Mzazi anaweza kukutamkia maneno mabaya(Laana) Ati yakashika au baraka ikashika jambo ambalo ni uongo wa mchana Kabisa.

Huwezi leta au kupigania Demokrasia kwenye jamii ambayo Albino wanauliwa kisa mambo ya kishirikina.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao wanaamini kiongozi wa dini akiwapa mafuta au kitu Fulani watafanikiwa. Hizi ni akili za wakati wa Yesu, zama za zamani sana.

Ambapo miaka hiyo Wafalme walidanganya wanaowatawala kuwa wao ni miungu na wanauwezo wa kimungu.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao huona mzazi au mkubwa Hakosei. Hiyo jamii Bado ipo gizani.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu wanaoamini mwanamke ni kumbe cha kukaa nyumbani. Kiumbe kisicho na Haki kama Mtu.
Na wanawake wenyewe wanaoamini vivyohivyo. Huwezi peleka Demokrasia huko.

Huwezi kupeleka Demokrasia kwa watu hao kwa Sababu zifuatazo:
1. Wataitumia vibaya Demokrasia na uhuru utakaowapa.

Waafrika tunashuhudia wakilalamika Kila pembe ya Afrika kuwa mbona walipigania uhuru lakini mambo ni kama yamewashinda. Uhuru unapiganiwa na watu waliojiandaa na waliokomaa.

Hata mtoto mdogo ukimpa uhuru kabla ya Wakati wake sio ajabu ukamkuta anavuta mibangi, madawa ya kulevya na kufanya mambo ndivyosivyo.

2. Kundi dogo kukandamiza kundi Kubwa.
Demokrasia ni watu wengi ndio husikilizwa na kunufaishwa. Lakini watu ambao hawajaandaliwa kupata Demokrasia huwa kinyume chake, kwamba kundi dogo kusikilizwa na kuneemeka dhidi ya kundi Kubwa.

3. Kutokueleweka.
Unamwambia Mtu wewe ni mtu lazima ufanye kazi ili uwe Huru, unahaki ya kuchagua au kuchaguliwa kiongozi, hakuelewi.

Unamwambia Mtu hutakiwi kutolewa Mahari, hawezi kukuelewa na hana Makosa kwa sababu amefungwa macho yake. Anaona kiza mbele.

4. Machafuko.
Uhuru, Demokrasia na Haki haiwafai watu ambao hawajajiandaa kwa Sababu huweza kusababisha machafuko.

Sio ajabu watu wanaona mbona ndoa siku hizi zinapasuka vipandevipande, wanasema mwanamke kapewa Uhuru au suala la HAKI Sawa.

Mtu anapopewa uhuru kabla hajaandaliwa kinachofuata ni machafuko.

Lazima mtu aandaliwe kuwa Huru.

Kumpa mtu uhuru kabla hujamuandaa ni sawa na Ndama aliyekata Kamba.

Katika Level ya Familia,
Wazazi Bora hujua kabisa Uhuru na Demokrasia ni muhimu sana kwa mtu. Hivyo huwaandaa watoto wao hatua kwa hatua namna ya kuwa watu Huru na watu wa Haki na Demokrasia.

Mtoto akipewa uhuru bila kuandaliwa sio ajabu akifika chuo kikuu anaanza kuparangana huko kwenye ma-club na makasino bila AKILI. Kuparamia wanawake hovyo, kunywa mapombe na mavyakula pasipo AKILI.
Mwishowe mtoto huweza kudhurika na wakati mwingine kufa kabla ya Wakati

Uhuru unaenda kwa Hatua. Uhuru unaenda sambamba na AKILI.

Uhuru bila AKILI yaani uhuru ambao haujaandaliwa huleta machafuko na anguko.

Zipo hatua za watu kupigania au kupewa Uhuru. Hilo litakuwa Somo jingine. Kwa sababu uhuru nao ukicheleweshwa huleta machafuko na maanguko.

Taikon nimeandika mpaka nimepotea njia lakini naamini nilichoandika ukitulia kitatusaidia wote.
Lakini kama hakijakusaidia au hakitakusaidia nakupa Pole sana.

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Soma vizuri Biblia usikurupuke.
Yohana 18
8 Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.

9 Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.
 
Soma vizuri Biblia usikurupuke.
Yohana 18
8 Yesu akajibu, Nimekwisha kuwaambieni ya kwamba ni mimi; basi ikiwa mnanitafuta mimi, waacheni hawa waende zao.

9 Ili litimizwe lile neno alilolisema, Wale ulionipa sikumpoteza hata mmoja wao.

Unafikiri kwa nini Petro alimkana Yesu kama hawakumkimbia?
 
😀😀
Hatari sana.

Mengine sio yakuongea
GJnsAZtaIAEmHF9.jpg
 
Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.
Bado sijasoma andiko zima; lakini nimeangalia michango yote iliyo wasilishwa hadi sasa kwenye mada yenyewe na jinsi ulivyo fuatilia na kuweka maoni yako kwenye michango hiyo.

Wakati nikianza tena kusoma mada yenyewe; nilipofika tu kwenye mistari hiyo niliyo nyanyua hapa; mara nikaanza kupoteza hamu ya kuendelea na andiko lote.
Nadhani nime hitimisha na kujiridhisha sasa ninavyo yaelewa maandishi yako humu.

Unajitambulisha mwenyewe kuwa ni "Mwandishi na Mtunzi"! Utambulisho huo pekee una maana pana sana; ikiwemo uandishi makini au utunzi tu wa mambo kadri yanavyo kuingia kichwani.

Kwa hiyo, nimejiridhisha sana, hapa hakuna la kuchukulia kwa uzito unaostahili kwenye maswala kama haya yanayo ikabili nchi yetu sasa hivi. Hakuna uzito katika maandishi yako unao endana na maswala mazito yaliyo mbele yetu. Ni uandishi tu wa makala zinazoyumba yumba; zisizo na msimamo maalum.

Haya ndiyo maoni yangu ya mwisho kuhusiana na makala zako hizi humu JF. Wakti nikiagana na uandishi wako huu, nimekumbuka kama huko nyuma pia niliwahi kukusoma; na pengine maoni yangu hayakuwa tofauti sana juu ya makala hizo na haya ya leo.
Nimalize kwa kurudi pale pale pa mwanzo. Tanzania imeingia katika awamu mpya kabisa. Sina shaka hata kidogo kwamba hatimae mabadiliko makubwa yatafuata. Hakuna wa kuyazuia mabadiliko haya katika muda wa uhai wa kizazi hiki.
 
Unafikiri kwa nini Petro alimkana Yesu kama hawakumkimbia?
Umesema Petro!
Unaelewa maana ya maneno haya;

Marko 14
27 Yesu akawaambia, Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji, na kondoo watatawanyika.
 
Watanzania ni watu. Usiwa underestimate.
Polisi sio wajinga kufanya wiki nzima HIKI walichokifanya.

Mtu ni mtu Mkuu.
Ukipuuza kidogo mambo huweza kubadilika kwa namna itakayokushangaza
"Ukicheka na nyani utavuna mabua".

CDM walipewa 4R, kesi za kubambikiziwa na Magufuli zikafutwa, waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakarudi, walikuwa wanadai fidia ya hela walizonyang'anywa wakapewa.

Ila walimkosea sana Rais kwa namna ya haiba yake, wakasahau kuwa URais ni Taasisi. Kuna wakati wamekuwa wanatoa matamko utadhani CDM ndiyo wako Ikulu

Sasa nawataarifu tu kuwa wana deal na TAASISI
 
Uanjua
"Ukicheka na nyani utavuna mabua".

CDM walipewa 4R, kesi za kubambikiziwa na Magufuli zikafutwa, waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakarudi, walikuwa wanadai fidia ya hela walizonyang'anywa wakapewa.

Ila walimkosea sana Rais kwa namna ya haiba yake, wakasahau kuwa URais ni Taasisi. Kuna wakati wamekuwa wanatoa matamko utadhani CDM ndiyo wako Ikulu

Sasa nawataarifu tu kuwa wana deal na TAASISI
Yaani tatizo kubwa saan la CDM ni kutokuwa na watu wa mikakati wenye kuweza kudadvua issues.Nafasi waliopewa na Mama ilikuwa ni bahati ambayo haitaka itokee tena.
 
"Ukicheka na nyani utavuna mabua".

CDM walipewa 4R, kesi za kubambikiziwa na Magufuli zikafutwa, waliokuwa ukimbizini Canada na Belgium wakarudi, walikuwa wanadai fidia ya hela walizonyang'anywa wakapewa.

Ila walimkosea sana Rais kwa namna ya haiba yake, wakasahau kuwa URais ni Taasisi. Kuna wakati wamekuwa wanatoa matamko utadhani CDM ndiyo wako Ikulu

Sasa nawataarifu tu kuwa wana deal na TAASISI

Hatari Sana
 
Umesema Petro!
Unaelewa maana ya maneno haya;

Marko 14
27 Yesu akawaambia, Mtakunguwazwa ninyi nyote kwa ajili yangu usiku huu; kwa kuwa imeandikwa, Nitampiga mchungaji, na kondoo watatawanyika.

Hujanijibu lakini
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni.

Wapo wapi anaowapigania?

Wapo wapi waliopatwa na madhila, majanga ambao Mbowe na viongozi wenzake anawasemea na kuwapigania?

Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.

Lakini siku alipokutana na Mkono wa Dola, watu wote walimkimbia.
Sio wanafunzi wake.
Sio wale aliowaponya,
Sio wale ambao aliwafufua,
Sio wale aliowalisha chakula.
Wote walimkimbia, zaidi ya yote alisulubishwa.

Kuna mambo ya kujifunza katika mambo haya. Hasa unapoingia katika mambo Ya kisiasa;

1. Usitegemee watu walionyuma yako, hakikisha unajiweza.
Elewa kuwa walionyuma na chini yako wewe ndiye kiongozi wao hivyo endapo utapoteana basi hata wafuasi wako watapoteana.

Kiongozi hategemei Waliochini yake. Kiongozi anategemewa.

2. Kiongozi lazima uwe na Way forward ya namna ya kukabiliana na adui zako..
Maandamano hayawezi kufanikiwa kwa sababu wanaoyaratibu na viongozi wao huruhusu kukamatwa mapema kabla picha halijaanza.

3. Kiongozi wa kisiasa ni muhimu kuwa na Mafunzo ya kijeshi na elimu ya Kijasusi.

Yesu hakufanikiwa kufanya jambo lolote la maana kisiasa na alishindwa kukomboa taifa la Kiyahudi kwa sababu hakuwa na mafunzo ya kivita, kijeshi na mambo ya Kijasusi. Ingawaje washabiki na wafuasi wake humtetea kwa kusema ilimbidi auawe ili wakombolewe kiroho lakini kisiasa hizo tunaita porojo au propaganda za kuwapa moyo mashabiki wake.

Hii ni tofauti na Ma legend wengine kama Musa, Daudi, Ibrahim, Yusufu, Yakobo n.k. hawa wote walikuwa viongozi na walikuwa wanamafunzo ya kivita, kijeshi, na intellijensia.

Na wote misheni zao zilifanikiwa.

Kwa sababu Jeshi, ujasusi, mapigano ni sehemu ya field katika Utawala na Mamlaka.

Ni rahisi kwa mwanajeshi, mwanasheria, jasusi, Polisi, au jeshi kwa aina zake kufanikiwa kutawala au kuchukua Utawala kuliko mtu ambaye wa fani kama Ualimu, udaktari, uinjinia, n.k.

Daudi kabla hajawa Mfalme alikuwa naye na wafuasi wake. Yaani Daudi alikuwa Mwenyekiti katika genge ambalo lilikuwa linamuamini.

Daudi kitaaluma alikuwa mchungaji wa mifugo, mwanamuziki lakini kumbe kwa Siri huko porini alikuwa anajifunza mapigano ya kivita.

Hii ni kusema hata siku anakutana na Goliath hakuwa amekurupuka, alijua kuwa anauwezo wa kupigana na Goliath na Mungu angemsaidia.

Ukitaka ujue kuwa Daudi pia alikuwa Jasusi na kapteni sio tuu tukio la kumuangusha Goliath bali hata harakati za kukabiliana na Mfalme Sauli ambaye hakutaka kumuachia Ufalme kwa njia ya Amani. Daudi alijiepusha sana na Dola, alikimbia na kuepuka mitego yote ya Dola ambapo kwa mtu wa kawaida angekuwa ameshapigwa mapema.

Tundu Lisu na Mbowe wanachokosea ni kudhani kuwa siasa wanazozifanya ni sahihi wakati sio sahihi.
Siasa za Mbowe na Lisu ni sahihi katika ulimwengu wa Dunia ya kwanza huko kwa Wazungu wenye mambo ya Demokrasia. Lakini kwa Afrika sio sahihi kabisa kwa sababu;

Mosi, Afrika Bado ipo nyuma kwa karibu Karne mbili nyuma ya Wazungu. Yaani tupo nyuma ya Wakati.

Pili, Waafrika pia akili, mitazamo, na Mila zetu Bado ipo nyuma.

Sio ajabu Watanzania wengi hawawezi kuelewa kile wanachokifanya Mbowe na Lissu.

Watanzania na Waafrika wengi hawaelewi Uhuru ni kitu gani, Haki ni nini, Mila potofu ni zipo,
Lakini tumaini ni kuwa kidogokidogo mambo yatabadilika.

Kwa hiyo njia pekee ambayo Watanzania na Waafrika huilewa ni njia ya mabavu na maguvu.

Watu wasiotambia Haki zao, uhuru wao, kipi kizuri na kipi kibaya huwezi kuwaongoza kwa njia za kidemokrasia. Ubabe, udikteta, maguvu ndio njia sahihi.

Huwezi kuleta Demokrasia kwa ulimwengu ambao Bado unaamini katika Mwanamke anatakiwa kutolewa Mahari. Alafu ukiwaambia wakupe hoja hakuna hata Moja ya maana.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu ambao wanaaminj hawafanikiwi kwa sababu wamelogwa au Kuna mtu kamtupia Jini. Hiyo Demokrasia ya kazi gani?

Huwezi leta Demokrasia au kuwapa watu uhuru wanaoamini kuwa Mzazi anaweza kukutamkia maneno mabaya(Laana) Ati yakashika au baraka ikashika jambo ambalo ni uongo wa mchana Kabisa.

Huwezi leta au kupigania Demokrasia kwenye jamii ambayo Albino wanauliwa kisa mambo ya kishirikina.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao wanaamini kiongozi wa dini akiwapa mafuta au kitu Fulani watafanikiwa. Hizi ni akili za wakati wa Yesu, zama za zamani sana.

Ambapo miaka hiyo Wafalme walidanganya wanaowatawala kuwa wao ni miungu na wanauwezo wa kimungu.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao huona mzazi au mkubwa Hakosei. Hiyo jamii Bado ipo gizani.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu wanaoamini mwanamke ni kumbe cha kukaa nyumbani. Kiumbe kisicho na Haki kama Mtu.
Na wanawake wenyewe wanaoamini vivyohivyo. Huwezi peleka Demokrasia huko.

Huwezi kupeleka Demokrasia kwa watu hao kwa Sababu zifuatazo:
1. Wataitumia vibaya Demokrasia na uhuru utakaowapa.

Waafrika tunashuhudia wakilalamika Kila pembe ya Afrika kuwa mbona walipigania uhuru lakini mambo ni kama yamewashinda. Uhuru unapiganiwa na watu waliojiandaa na waliokomaa.

Hata mtoto mdogo ukimpa uhuru kabla ya Wakati wake sio ajabu ukamkuta anavuta mibangi, madawa ya kulevya na kufanya mambo ndivyosivyo.

2. Kundi dogo kukandamiza kundi Kubwa.
Demokrasia ni watu wengi ndio husikilizwa na kunufaishwa. Lakini watu ambao hawajaandaliwa kupata Demokrasia huwa kinyume chake, kwamba kundi dogo kusikilizwa na kuneemeka dhidi ya kundi Kubwa.

3. Kutokueleweka.
Unamwambia Mtu wewe ni mtu lazima ufanye kazi ili uwe Huru, unahaki ya kuchagua au kuchaguliwa kiongozi, hakuelewi.

Unamwambia Mtu hutakiwi kutolewa Mahari, hawezi kukuelewa na hana Makosa kwa sababu amefungwa macho yake. Anaona kiza mbele.

4. Machafuko.
Uhuru, Demokrasia na Haki haiwafai watu ambao hawajajiandaa kwa Sababu huweza kusababisha machafuko.

Sio ajabu watu wanaona mbona ndoa siku hizi zinapasuka vipandevipande, wanasema mwanamke kapewa Uhuru au suala la HAKI Sawa.

Mtu anapopewa uhuru kabla hajaandaliwa kinachofuata ni machafuko.

Lazima mtu aandaliwe kuwa Huru.

Kumpa mtu uhuru kabla hujamuandaa ni sawa na Ndama aliyekata Kamba.

Katika Level ya Familia,
Wazazi Bora hujua kabisa Uhuru na Demokrasia ni muhimu sana kwa mtu. Hivyo huwaandaa watoto wao hatua kwa hatua namna ya kuwa watu Huru na watu wa Haki na Demokrasia.

Mtoto akipewa uhuru bila kuandaliwa sio ajabu akifika chuo kikuu anaanza kuparangana huko kwenye ma-club na makasino bila AKILI. Kuparamia wanawake hovyo, kunywa mapombe na mavyakula pasipo AKILI.
Mwishowe mtoto huweza kudhurika na wakati mwingine kufa kabla ya Wakati

Uhuru unaenda kwa Hatua. Uhuru unaenda sambamba na AKILI.

Uhuru bila AKILI yaani uhuru ambao haujaandaliwa huleta machafuko na anguko.

Zipo hatua za watu kupigania au kupewa Uhuru. Hilo litakuwa Somo jingine. Kwa sababu uhuru nao ukicheleweshwa huleta machafuko na maanguko.

Taikon nimeandika mpaka nimepotea njia lakini naamini nilichoandika ukitulia kitatusaidia wote.
Lakini kama hakijakusaidia au hakitakusaidia nakupa Pole sana.

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
IMG-20240923-WA0050.jpg
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni.

Wapo wapi anaowapigania?

Wapo wapi waliopatwa na madhila, majanga ambao Mbowe na viongozi wenzake anawasemea na kuwapigania?

Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.

Lakini siku alipokutana na Mkono wa Dola, watu wote walimkimbia.
Sio wanafunzi wake.
Sio wale aliowaponya,
Sio wale ambao aliwafufua,
Sio wale aliowalisha chakula.
Wote walimkimbia, zaidi ya yote alisulubishwa.

Kuna mambo ya kujifunza katika mambo haya. Hasa unapoingia katika mambo Ya kisiasa;

1. Usitegemee watu walionyuma yako, hakikisha unajiweza.
Elewa kuwa walionyuma na chini yako wewe ndiye kiongozi wao hivyo endapo utapoteana basi hata wafuasi wako watapoteana.

Kiongozi hategemei Waliochini yake. Kiongozi anategemewa.

2. Kiongozi lazima uwe na Way forward ya namna ya kukabiliana na adui zako..
Maandamano hayawezi kufanikiwa kwa sababu wanaoyaratibu na viongozi wao huruhusu kukamatwa mapema kabla picha halijaanza.

3. Kiongozi wa kisiasa ni muhimu kuwa na Mafunzo ya kijeshi na elimu ya Kijasusi.

Yesu hakufanikiwa kufanya jambo lolote la maana kisiasa na alishindwa kukomboa taifa la Kiyahudi kwa sababu hakuwa na mafunzo ya kivita, kijeshi na mambo ya Kijasusi. Ingawaje washabiki na wafuasi wake humtetea kwa kusema ilimbidi auawe ili wakombolewe kiroho lakini kisiasa hizo tunaita porojo au propaganda za kuwapa moyo mashabiki wake.

Hii ni tofauti na Ma legend wengine kama Musa, Daudi, Ibrahim, Yusufu, Yakobo n.k. hawa wote walikuwa viongozi na walikuwa wanamafunzo ya kivita, kijeshi, na intellijensia.

Na wote misheni zao zilifanikiwa.

Kwa sababu Jeshi, ujasusi, mapigano ni sehemu ya field katika Utawala na Mamlaka.

Ni rahisi kwa mwanajeshi, mwanasheria, jasusi, Polisi, au jeshi kwa aina zake kufanikiwa kutawala au kuchukua Utawala kuliko mtu ambaye wa fani kama Ualimu, udaktari, uinjinia, n.k.

Daudi kabla hajawa Mfalme alikuwa naye na wafuasi wake. Yaani Daudi alikuwa Mwenyekiti katika genge ambalo lilikuwa linamuamini.

Daudi kitaaluma alikuwa mchungaji wa mifugo, mwanamuziki lakini kumbe kwa Siri huko porini alikuwa anajifunza mapigano ya kivita.

Hii ni kusema hata siku anakutana na Goliath hakuwa amekurupuka, alijua kuwa anauwezo wa kupigana na Goliath na Mungu angemsaidia.

Ukitaka ujue kuwa Daudi pia alikuwa Jasusi na kapteni sio tuu tukio la kumuangusha Goliath bali hata harakati za kukabiliana na Mfalme Sauli ambaye hakutaka kumuachia Ufalme kwa njia ya Amani. Daudi alijiepusha sana na Dola, alikimbia na kuepuka mitego yote ya Dola ambapo kwa mtu wa kawaida angekuwa ameshapigwa mapema.

Tundu Lisu na Mbowe wanachokosea ni kudhani kuwa siasa wanazozifanya ni sahihi wakati sio sahihi.
Siasa za Mbowe na Lisu ni sahihi katika ulimwengu wa Dunia ya kwanza huko kwa Wazungu wenye mambo ya Demokrasia. Lakini kwa Afrika sio sahihi kabisa kwa sababu;

Mosi, Afrika Bado ipo nyuma kwa karibu Karne mbili nyuma ya Wazungu. Yaani tupo nyuma ya Wakati.

Pili, Waafrika pia akili, mitazamo, na Mila zetu Bado ipo nyuma.

Sio ajabu Watanzania wengi hawawezi kuelewa kile wanachokifanya Mbowe na Lissu.

Watanzania na Waafrika wengi hawaelewi Uhuru ni kitu gani, Haki ni nini, Mila potofu ni zipo,
Lakini tumaini ni kuwa kidogokidogo mambo yatabadilika.

Kwa hiyo njia pekee ambayo Watanzania na Waafrika huilewa ni njia ya mabavu na maguvu.

Watu wasiotambia Haki zao, uhuru wao, kipi kizuri na kipi kibaya huwezi kuwaongoza kwa njia za kidemokrasia. Ubabe, udikteta, maguvu ndio njia sahihi.

Huwezi kuleta Demokrasia kwa ulimwengu ambao Bado unaamini katika Mwanamke anatakiwa kutolewa Mahari. Alafu ukiwaambia wakupe hoja hakuna hata Moja ya maana.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu ambao wanaaminj hawafanikiwi kwa sababu wamelogwa au Kuna mtu kamtupia Jini. Hiyo Demokrasia ya kazi gani?

Huwezi leta Demokrasia au kuwapa watu uhuru wanaoamini kuwa Mzazi anaweza kukutamkia maneno mabaya(Laana) Ati yakashika au baraka ikashika jambo ambalo ni uongo wa mchana Kabisa.

Huwezi leta au kupigania Demokrasia kwenye jamii ambayo Albino wanauliwa kisa mambo ya kishirikina.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao wanaamini kiongozi wa dini akiwapa mafuta au kitu Fulani watafanikiwa. Hizi ni akili za wakati wa Yesu, zama za zamani sana.

Ambapo miaka hiyo Wafalme walidanganya wanaowatawala kuwa wao ni miungu na wanauwezo wa kimungu.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao huona mzazi au mkubwa Hakosei. Hiyo jamii Bado ipo gizani.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu wanaoamini mwanamke ni kumbe cha kukaa nyumbani. Kiumbe kisicho na Haki kama Mtu.
Na wanawake wenyewe wanaoamini vivyohivyo. Huwezi peleka Demokrasia huko.

Huwezi kupeleka Demokrasia kwa watu hao kwa Sababu zifuatazo:
1. Wataitumia vibaya Demokrasia na uhuru utakaowapa.

Waafrika tunashuhudia wakilalamika Kila pembe ya Afrika kuwa mbona walipigania uhuru lakini mambo ni kama yamewashinda. Uhuru unapiganiwa na watu waliojiandaa na waliokomaa.

Hata mtoto mdogo ukimpa uhuru kabla ya Wakati wake sio ajabu ukamkuta anavuta mibangi, madawa ya kulevya na kufanya mambo ndivyosivyo.

2. Kundi dogo kukandamiza kundi Kubwa.
Demokrasia ni watu wengi ndio husikilizwa na kunufaishwa. Lakini watu ambao hawajaandaliwa kupata Demokrasia huwa kinyume chake, kwamba kundi dogo kusikilizwa na kuneemeka dhidi ya kundi Kubwa.

3. Kutokueleweka.
Unamwambia Mtu wewe ni mtu lazima ufanye kazi ili uwe Huru, unahaki ya kuchagua au kuchaguliwa kiongozi, hakuelewi.

Unamwambia Mtu hutakiwi kutolewa Mahari, hawezi kukuelewa na hana Makosa kwa sababu amefungwa macho yake. Anaona kiza mbele.

4. Machafuko.
Uhuru, Demokrasia na Haki haiwafai watu ambao hawajajiandaa kwa Sababu huweza kusababisha machafuko.

Sio ajabu watu wanaona mbona ndoa siku hizi zinapasuka vipandevipande, wanasema mwanamke kapewa Uhuru au suala la HAKI Sawa.

Mtu anapopewa uhuru kabla hajaandaliwa kinachofuata ni machafuko.

Lazima mtu aandaliwe kuwa Huru.

Kumpa mtu uhuru kabla hujamuandaa ni sawa na Ndama aliyekata Kamba.

Katika Level ya Familia,
Wazazi Bora hujua kabisa Uhuru na Demokrasia ni muhimu sana kwa mtu. Hivyo huwaandaa watoto wao hatua kwa hatua namna ya kuwa watu Huru na watu wa Haki na Demokrasia.

Mtoto akipewa uhuru bila kuandaliwa sio ajabu akifika chuo kikuu anaanza kuparangana huko kwenye ma-club na makasino bila AKILI. Kuparamia wanawake hovyo, kunywa mapombe na mavyakula pasipo AKILI.
Mwishowe mtoto huweza kudhurika na wakati mwingine kufa kabla ya Wakati

Uhuru unaenda kwa Hatua. Uhuru unaenda sambamba na AKILI.

Uhuru bila AKILI yaani uhuru ambao haujaandaliwa huleta machafuko na anguko.

Zipo hatua za watu kupigania au kupewa Uhuru. Hilo litakuwa Somo jingine. Kwa sababu uhuru nao ukicheleweshwa huleta machafuko na maanguko.

Taikon nimeandika mpaka nimepotea njia lakini naamini nilichoandika ukitulia kitatusaidia wote.
Lakini kama hakijakusaidia au hakitakusaidia nakupa Pole sana.

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Nyie wazee wa falsafa na teolojia bana. Ila thanks kwa andiko murua, hujawahi kuniangusha katika kuupa ubongo tafakuri jadidi.
 
U
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kuna watu wanauliza Wafuasi wa Mbowe(Wanachadema) walikuwa wapi wakati kiongozi wao anakamatwa na Askari pale kwenye Magomeni.

Wapo wapi anaowapigania?

Wapo wapi waliopatwa na madhila, majanga ambao Mbowe na viongozi wenzake anawasemea na kuwapigania?

Yesu naye alikuwa mwenyekiti kama alivyo Mbowe, Yesu aliwatendea watu wengi miujiza na kufanya makubwa sana ambayo yalivuma na kuwa maarufu katika Judea, Samaria, mama nchi jirani.

Lakini siku alipokutana na Mkono wa Dola, watu wote walimkimbia.
Sio wanafunzi wake.
Sio wale aliowaponya,
Sio wale ambao aliwafufua,
Sio wale aliowalisha chakula.
Wote walimkimbia, zaidi ya yote alisulubishwa.

Kuna mambo ya kujifunza katika mambo haya. Hasa unapoingia katika mambo Ya kisiasa;

1. Usitegemee watu walionyuma yako, hakikisha unajiweza.
Elewa kuwa walionyuma na chini yako wewe ndiye kiongozi wao hivyo endapo utapoteana basi hata wafuasi wako watapoteana.

Kiongozi hategemei Waliochini yake. Kiongozi anategemewa.

2. Kiongozi lazima uwe na Way forward ya namna ya kukabiliana na adui zako..
Maandamano hayawezi kufanikiwa kwa sababu wanaoyaratibu na viongozi wao huruhusu kukamatwa mapema kabla picha halijaanza.

3. Kiongozi wa kisiasa ni muhimu kuwa na Mafunzo ya kijeshi na elimu ya Kijasusi.

Yesu hakufanikiwa kufanya jambo lolote la maana kisiasa na alishindwa kukomboa taifa la Kiyahudi kwa sababu hakuwa na mafunzo ya kivita, kijeshi na mambo ya Kijasusi. Ingawaje washabiki na wafuasi wake humtetea kwa kusema ilimbidi auawe ili wakombolewe kiroho lakini kisiasa hizo tunaita porojo au propaganda za kuwapa moyo mashabiki wake.

Hii ni tofauti na Ma legend wengine kama Musa, Daudi, Ibrahim, Yusufu, Yakobo n.k. hawa wote walikuwa viongozi na walikuwa wanamafunzo ya kivita, kijeshi, na intellijensia.

Na wote misheni zao zilifanikiwa.

Kwa sababu Jeshi, ujasusi, mapigano ni sehemu ya field katika Utawala na Mamlaka.

Ni rahisi kwa mwanajeshi, mwanasheria, jasusi, Polisi, au jeshi kwa aina zake kufanikiwa kutawala au kuchukua Utawala kuliko mtu ambaye wa fani kama Ualimu, udaktari, uinjinia, n.k.

Daudi kabla hajawa Mfalme alikuwa naye na wafuasi wake. Yaani Daudi alikuwa Mwenyekiti katika genge ambalo lilikuwa linamuamini.

Daudi kitaaluma alikuwa mchungaji wa mifugo, mwanamuziki lakini kumbe kwa Siri huko porini alikuwa anajifunza mapigano ya kivita.

Hii ni kusema hata siku anakutana na Goliath hakuwa amekurupuka, alijua kuwa anauwezo wa kupigana na Goliath na Mungu angemsaidia.

Ukitaka ujue kuwa Daudi pia alikuwa Jasusi na kapteni sio tuu tukio la kumuangusha Goliath bali hata harakati za kukabiliana na Mfalme Sauli ambaye hakutaka kumuachia Ufalme kwa njia ya Amani. Daudi alijiepusha sana na Dola, alikimbia na kuepuka mitego yote ya Dola ambapo kwa mtu wa kawaida angekuwa ameshapigwa mapema.

Tundu Lisu na Mbowe wanachokosea ni kudhani kuwa siasa wanazozifanya ni sahihi wakati sio sahihi.
Siasa za Mbowe na Lisu ni sahihi katika ulimwengu wa Dunia ya kwanza huko kwa Wazungu wenye mambo ya Demokrasia. Lakini kwa Afrika sio sahihi kabisa kwa sababu;

Mosi, Afrika Bado ipo nyuma kwa karibu Karne mbili nyuma ya Wazungu. Yaani tupo nyuma ya Wakati.

Pili, Waafrika pia akili, mitazamo, na Mila zetu Bado ipo nyuma.

Sio ajabu Watanzania wengi hawawezi kuelewa kile wanachokifanya Mbowe na Lissu.

Watanzania na Waafrika wengi hawaelewi Uhuru ni kitu gani, Haki ni nini, Mila potofu ni zipo,
Lakini tumaini ni kuwa kidogokidogo mambo yatabadilika.

Kwa hiyo njia pekee ambayo Watanzania na Waafrika huilewa ni njia ya mabavu na maguvu.

Watu wasiotambia Haki zao, uhuru wao, kipi kizuri na kipi kibaya huwezi kuwaongoza kwa njia za kidemokrasia. Ubabe, udikteta, maguvu ndio njia sahihi.

Huwezi kuleta Demokrasia kwa ulimwengu ambao Bado unaamini katika Mwanamke anatakiwa kutolewa Mahari. Alafu ukiwaambia wakupe hoja hakuna hata Moja ya maana.

Huwezi leta Demokrasia kwenye jamii ya watu ambao wanaaminj hawafanikiwi kwa sababu wamelogwa au Kuna mtu kamtupia Jini. Hiyo Demokrasia ya kazi gani?

Huwezi leta Demokrasia au kuwapa watu uhuru wanaoamini kuwa Mzazi anaweza kukutamkia maneno mabaya(Laana) Ati yakashika au baraka ikashika jambo ambalo ni uongo wa mchana Kabisa.

Huwezi leta au kupigania Demokrasia kwenye jamii ambayo Albino wanauliwa kisa mambo ya kishirikina.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao wanaamini kiongozi wa dini akiwapa mafuta au kitu Fulani watafanikiwa. Hizi ni akili za wakati wa Yesu, zama za zamani sana.

Ambapo miaka hiyo Wafalme walidanganya wanaowatawala kuwa wao ni miungu na wanauwezo wa kimungu.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu ambao huona mzazi au mkubwa Hakosei. Hiyo jamii Bado ipo gizani.

Huwezi leta Demokrasia kwa watu wanaoamini mwanamke ni kumbe cha kukaa nyumbani. Kiumbe kisicho na Haki kama Mtu.
Na wanawake wenyewe wanaoamini vivyohivyo. Huwezi peleka Demokrasia huko.

Huwezi kupeleka Demokrasia kwa watu hao kwa Sababu zifuatazo:
1. Wataitumia vibaya Demokrasia na uhuru utakaowapa.

Waafrika tunashuhudia wakilalamika Kila pembe ya Afrika kuwa mbona walipigania uhuru lakini mambo ni kama yamewashinda. Uhuru unapiganiwa na watu waliojiandaa na waliokomaa.

Hata mtoto mdogo ukimpa uhuru kabla ya Wakati wake sio ajabu ukamkuta anavuta mibangi, madawa ya kulevya na kufanya mambo ndivyosivyo.

2. Kundi dogo kukandamiza kundi Kubwa.
Demokrasia ni watu wengi ndio husikilizwa na kunufaishwa. Lakini watu ambao hawajaandaliwa kupata Demokrasia huwa kinyume chake, kwamba kundi dogo kusikilizwa na kuneemeka dhidi ya kundi Kubwa.

3. Kutokueleweka.
Unamwambia Mtu wewe ni mtu lazima ufanye kazi ili uwe Huru, unahaki ya kuchagua au kuchaguliwa kiongozi, hakuelewi.

Unamwambia Mtu hutakiwi kutolewa Mahari, hawezi kukuelewa na hana Makosa kwa sababu amefungwa macho yake. Anaona kiza mbele.

4. Machafuko.
Uhuru, Demokrasia na Haki haiwafai watu ambao hawajajiandaa kwa Sababu huweza kusababisha machafuko.

Sio ajabu watu wanaona mbona ndoa siku hizi zinapasuka vipandevipande, wanasema mwanamke kapewa Uhuru au suala la HAKI Sawa.

Mtu anapopewa uhuru kabla hajaandaliwa kinachofuata ni machafuko.

Lazima mtu aandaliwe kuwa Huru.

Kumpa mtu uhuru kabla hujamuandaa ni sawa na Ndama aliyekata Kamba.

Katika Level ya Familia,
Wazazi Bora hujua kabisa Uhuru na Demokrasia ni muhimu sana kwa mtu. Hivyo huwaandaa watoto wao hatua kwa hatua namna ya kuwa watu Huru na watu wa Haki na Demokrasia.

Mtoto akipewa uhuru bila kuandaliwa sio ajabu akifika chuo kikuu anaanza kuparangana huko kwenye ma-club na makasino bila AKILI. Kuparamia wanawake hovyo, kunywa mapombe na mavyakula pasipo AKILI.
Mwishowe mtoto huweza kudhurika na wakati mwingine kufa kabla ya Wakati

Uhuru unaenda kwa Hatua. Uhuru unaenda sambamba na AKILI.

Uhuru bila AKILI yaani uhuru ambao haujaandaliwa huleta machafuko na anguko.

Zipo hatua za watu kupigania au kupewa Uhuru. Hilo litakuwa Somo jingine. Kwa sababu uhuru nao ukicheleweshwa huleta machafuko na maanguko.

Taikon nimeandika mpaka nimepotea njia lakini naamini nilichoandika ukitulia kitatusaidia wote.
Lakini kama hakijakusaidia au hakitakusaidia nakupa Pole sana.

Mimi acha nipumzike, leo nitakula ugali, mlenda na Samaki wa kuchoma.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam
Umejenga hoja critically japo mimi nina maoni tofauti kidogo.

Kwanza uelewe mtu asiye na silaha hawezi kupambana na mwenye silaha na hastahili kulaumiwa kwa sababu askari akikupiga kirungu utavunjika au akikupiga risasi utakufax huwezi kujifuta. Hivyo lazima muandamanaji atumie busara sio kujipeleka.

Pili polisi waliblock barabara zote zinazoenda kwenye assembly points za maandamano hao waandamanaji wangefikaje pale?

Mbowe na wenzake walijua kabisa hiki kikichotokea leo kuwa kingetokea wao sio wageni wa hatua za watawala lakini bado walisisitiza kuandamana kwa sababu walikusudia dunia ione jinsi serikali inavyominya demokrasia kwa kutumia mabavu na serikali imeingia mtegoni, tayari taswira ya serikali kimataifa imechafuka. Unawezaje kutumia silaha nzito dhidi ya raia wako ambao hawana silaha na wanaandama kuonyesha hisia zao ,, hapo serikali imeingizwa kingi.

Mchi za magharibi zimeona kuwa uchaguzi unakaribia hivyo serikali ya CCM imeamua kuwafanyia violence wapinzani ili wasiweze kujiandaa kushiriki uchaguzi au uchaguzi usiwe huru na haki.

Serikali ilitakiwa iwaache CHADEMA waandamane ili kuhadaa ulimwengu kuwa Tanzania kuna demokrasia lakini kwa ilichofanya hasa ukizingatia maanda.ano yalikuwa ni kupinga watu kutekwa, kupotezwa na kuuawa jambo ambalo pia nchi za magharibi wanalipigua kelele basi serikali isingezuia maandamano ili kuwahadaa nchi za magharibi.

CHADEMA leo wameibuka washindi kwa kudraw sympathy ya ulimwengu wa kidemokrasia wakati serikali imeadhirika na pia kutakuwa na cost. kiuchumi
 
Hujanijibu lakini
Hakumkimbia.
Ndio maana wakati wamekuja kumkamata Yesu Petro ndio aliyemkata sikio mmoja wa wale waliokuja kumkamata Yesu.

Peter alimfuata aone mwisho wake.

Mathayo 26
58 Na Petro akamfuata kwa mbali mpaka behewa ya Kuhani Mkuu, akaingia ndani, akaketi pamoja na watumishi, auone mwisho.
 
Back
Top Bottom