Mbowe ameingiwa na hofu. Nini kimempa Hofu na kukata tamaa?

Mbowe ameingiwa na hofu. Nini kimempa Hofu na kukata tamaa?

Sisi tulionya wakashupaza shingo, huku chini mashinani wanachama wengi hawamuelewi Mbowe.
Wanaona chama Chao kinaenda kaburini. Wanataka mabadiliko yafanyike haraka kuokoa chama.
Tatizo la pesa nyingi kutumika makao makuu kwa kulipana posho huku wao wakijitolea kila uchao kuendeleza
chama Linawakera wanachama.
Pili , inshu ya kukopesha chama bila utaratibu wa kueleweka wanaona ni kuendeleza upigaji huku wao wakitoa michango yao na hawadai kurejeshewa.
Huu ni wakati wa mabadiliko.
 
Habari za Sabato!

Nimeona Mbowe Akihojiwa na Kikeke. Kwa kweli hofu ipo dhahiri machoni mwake. Hata body language yake inamkataa akijaribu kuficha hofu yake. Ni kama amekata tamaa pakubwa.

Ingawaje wafuasi wake wanahangaika kupambana, na kumtia moyo lakini jitihada Zao zimefua dafu kuondoa Hofu ya Mbowe.

Mambo mawili yananifanya nifikiri sababu za Hofu yake;
1. Kura za Maoni za watu wengi mtandaoni zimemkatisha tamaa.
Unajua hakuna Jambo Baya kwenye siasa kama kugundua kuwa hukubaliki kuliko mshindani wako.
Yaani watu wengi hawakutaki. Tena wengi wakiwa ni wale unaowongoza.

Kura za JF na X zimerudisha nyuma majeshi ya ujasiri katika moyo wa Mbowe.
Sio Kazi ndogo KUKATALIWA na watu kwa zaidi ya asilimia 80% ni nyingi Sana hizo.

Kumaanisha, Mbowe Hana ushawishi.
Hivi Leo itamaanisha, kama Mbowe akiitisha Harambee watu wachangie Basi asilimia 80% hawatamuunga Mkono.

Kumaanisha Leo Mbowe akiwa kampeni Manager WA Urais wa CHADEMA zaidi ya 80% hawatamchagua.

Hilo pekee limemnyong'onyesha Mbowe. Ingawaje wapambe wake watampa moyo na wengine kumdanganya lakini tayari Mbowe picha Halisi ya vile watu wanavyomchukulia anayo.

2. Mbowe anajuta, MAJUTO.
Nachelea kusema, Mbowe anajuta Kutetea Kiti chake.
Ukimtazama Mbowe kwa umakini, mbali na hofu utagundua sio hofu pekee tuu inayomtafuna Bali Hofu yenye MAJUTO.

Mbowe anajuta kwa Mambo yafuatayo;
1. Kujivua nguo na heshima yake yote kudondoka.
Hii inamaanisha asilimia 80% ya wapiga Kura waliomkataa wengi wameona Mbowe kajidharau.

Kama Mbowe angestaafu kwa heshima angekuwa amecheza vizuri Sana

Heshima ya watu kutaka uendelee lakini wewe useme inatosha. Hiyo ndio heshima sio usubiri kuzomewa na kutukanwa.

2. Anajuta kuona chama kinaweza kumfia Mikononi.
Hatari ya chama kumfia Mikononi Ipo bayana Kabisa.
Watu wengi Makini ndani ya chama hawapo upande wake.

Na wale wanaotegemewa na kusubiriwa watoe tamko bado wako Kimya, hii kwake ni kama taa nyekundu ambayo inampa Hofu na kumfanya ajutie.

3. Anajuta kwa nini hakumteua mtu wake agombee ili yeye amuunge Mkono.
Mbowe hakutegemea kama Lisu angefanya shambulizi la kushtukiza namna hii. Hii ilimnyima nafasi ya KUFIKIRI vizuri na kupanga suluhu yenye Tija.
Anajuta hakuwa na sababu ya kuendelea yeye, Bora angeteua mtu mwingine alafu yeye amuunge Mkono.

4. Anajuta kupingana na Maneno yake, hasa kutetea Demokrasia.
Sio ubishi kwani ni dhahiri hata Mbowe anajua kuwa Mpaka mashinani wanachama wanamtaka LISU na sio yeye.
Demokrasia inahusu uongozi wa watu. Ikiwa watu wengi hawakutaki alafu wewe unalazimisha kuendelea kugombea uenyekiti tafsiri yake wewe ni Dikteta.

Wajumbe 1200 Vs Wanachama zaidi ya Milioni na kitu.
Wanachama wengi wanamuunga Lisu Mkono. Wajumbe bado ni Siri

Sijajua kwa nini CHADEMA hawakufanya Utafiti kujua wanachama wa kawaida wao wanataka Nani awe Mwenyekiti.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kiukweli kama wapiga kura wa mkutano mkuu wa chadema watazingatia maoni ya wananchi walio wengi hawezi kumpa kura mbowe kuwa mwenyekiti wa chadema, Maana chama Cha siasa ni watu, kwa maana wanachama Wako na wafuasi pia
 
Sisi tulionya wakashupaza shingo, huku chini mashinani wanachama wengi hawamuelewi Mbowe.
Wanaona chama Chao kinaenda kaburini. Wanataka mabadiliko yafanyike haraka kuokoa chama.
Tatizo la pesa nyingi kutumika makao makuu kwa kulipana posho huku wao wakijitolea kila uchao kuendeleza
chama Linawakera wanachama.
Pili , inshu ya kukopesha chama bila utaratibu wa kueleweka wanaona ni kuendeleza upigaji huku wao wakitoa michango yao na hawadai kurejeshewa.
Huu ni wakati wa mabadiliko.
Hata kilichofanyika serikali za mitaa wanachama wengi hawajaridhika, nimemwangalia mama mmoja kule katavi anasema aligombea uwenyekiti wa mtaa alishinda akaporwa ushindi wake Hana hamu na mbowe, anasema anawaomba wajumbe wote nchi nzima wampe lissu ushindi wa kishindo
 
Habari za Sabato!

Nimeona Mbowe Akihojiwa na Kikeke. Kwa kweli hofu ipo dhahiri machoni mwake. Hata body language yake inamkataa akijaribu kuficha hofu yake. Ni kama amekata tamaa pakubwa.

Ingawaje wafuasi wake wanahangaika kupambana, na kumtia moyo lakini jitihada Zao zimefua dafu kuondoa Hofu ya Mbowe.

Mambo mawili yananifanya nifikiri sababu za Hofu yake;
1. Kura za Maoni za watu wengi mtandaoni zimemkatisha tamaa.
Unajua hakuna Jambo Baya kwenye siasa kama kugundua kuwa hukubaliki kuliko mshindani wako.
Yaani watu wengi hawakutaki. Tena wengi wakiwa ni wale unaowongoza.

Kura za JF na X zimerudisha nyuma majeshi ya ujasiri katika moyo wa Mbowe.
Sio Kazi ndogo KUKATALIWA na watu kwa zaidi ya asilimia 80% ni nyingi Sana hizo.

Kumaanisha, Mbowe Hana ushawishi.
Hivi Leo itamaanisha, kama Mbowe akiitisha Harambee watu wachangie Basi asilimia 80% hawatamuunga Mkono.

Kumaanisha Leo Mbowe akiwa kampeni Manager WA Urais wa CHADEMA zaidi ya 80% hawatamchagua.

Hilo pekee limemnyong'onyesha Mbowe. Ingawaje wapambe wake watampa moyo na wengine kumdanganya lakini tayari Mbowe picha Halisi ya vile watu wanavyomchukulia anayo.

2. Mbowe anajuta, MAJUTO.
Nachelea kusema, Mbowe anajuta Kutetea Kiti chake.
Ukimtazama Mbowe kwa umakini, mbali na hofu utagundua sio hofu pekee tuu inayomtafuna Bali Hofu yenye MAJUTO.

Mbowe anajuta kwa Mambo yafuatayo;
1. Kujivua nguo na heshima yake yote kudondoka.
Hii inamaanisha asilimia 80% ya wapiga Kura waliomkataa wengi wameona Mbowe kajidharau.

Kama Mbowe angestaafu kwa heshima angekuwa amecheza vizuri Sana

Heshima ya watu kutaka uendelee lakini wewe useme inatosha. Hiyo ndio heshima sio usubiri kuzomewa na kutukanwa.

2. Anajuta kuona chama kinaweza kumfia Mikononi.
Hatari ya chama kumfia Mikononi Ipo bayana Kabisa.
Watu wengi Makini ndani ya chama hawapo upande wake.

Na wale wanaotegemewa na kusubiriwa watoe tamko bado wako Kimya, hii kwake ni kama taa nyekundu ambayo inampa Hofu na kumfanya ajutie.

3. Anajuta kwa nini hakumteua mtu wake agombee ili yeye amuunge Mkono.
Mbowe hakutegemea kama Lisu angefanya shambulizi la kushtukiza namna hii. Hii ilimnyima nafasi ya KUFIKIRI vizuri na kupanga suluhu yenye Tija.
Anajuta hakuwa na sababu ya kuendelea yeye, Bora angeteua mtu mwingine alafu yeye amuunge Mkono.

4. Anajuta kupingana na Maneno yake, hasa kutetea Demokrasia.
Sio ubishi kwani ni dhahiri hata Mbowe anajua kuwa Mpaka mashinani wanachama wanamtaka LISU na sio yeye.
Demokrasia inahusu uongozi wa watu. Ikiwa watu wengi hawakutaki alafu wewe unalazimisha kuendelea kugombea uenyekiti tafsiri yake wewe ni Dikteta.

Wajumbe 1200 Vs Wanachama zaidi ya Milioni na kitu.
Wanachama wengi wanamuunga Lisu Mkono. Wajumbe bado ni Siri

Sijajua kwa nini CHADEMA hawakufanya Utafiti kujua wanachama wa kawaida wao wanataka Nani awe Mwenyekiti.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Mbowe ni sikio la kufa.

Washirika wake ni sugu, Boni yai, MMM, Wenje na wa namna hiyo nao ni sikio la kufa.

Mitandaoni nao ni hao hao sikio la kufa.

IMG_20250104_144245.jpg


Ngoja tuone.
 
Kiukweli kama wapiga kura wa mkutano mkuu wa chadema watazingatia maoni ya wananchi walio wengi hawezi kumpa kura mbowe kuwa mwenyekiti wa chadema, Maana chama Cha siasa ni watu, kwa maana wanachama Wako na wafuasi pia

Sijui kwa kweli nini Kinaenda kutokea
 
Ni busara kuu kama angestaafu Kwa heshima kabla ya kutaka kustaafishwa na sanduku la kura

Ngoja tuone namna atakavyoutoboa mtumbwi wanaosafiria na ndo azma iliyo bayana unapomwamgalia kwenye macho na mwili wake ktk yale mahojiano
Akina mtei wamekaa pembeni , na waasis wengine wa upinzani. Bado wanatambulika, anacho ogopa huyu bwana ni nini?
 
Sisi tulionya wakashupaza shingo, huku chini mashinani wanachama wengi hawamuelewi Mbowe.
Wanaona chama Chao kinaenda kaburini. Wanataka mabadiliko yafanyike haraka kuokoa chama.
Tatizo la pesa nyingi kutumika makao makuu kwa kulipana posho huku wao wakijitolea kila uchao kuendeleza
chama Linawakera wanachama.
Pili , inshu ya kukopesha chama bila utaratibu wa kueleweka wanaona ni kuendeleza upigaji huku wao wakitoa michango yao na hawadai kurejeshewa.
Huu ni wakati wa mabadiliko.

Intelejensia ya chama haikuona hilo
 
Back
Top Bottom