Mbowe ameingiwa na hofu. Nini kimempa Hofu na kukata tamaa?

Mbowe ameingiwa na hofu. Nini kimempa Hofu na kukata tamaa?

NI HESHIMA KUBWA SANA BW MBOWE UJITOE KWENYE KINYANGANYIRO CHA UCHAGUZI BADO NAFASI YA KUTETEA HESHIMA YAKO IPO
 
Kura za maoni sehem kubwa FAM kachemka!
Sasa unaenda kuwa chairman wa wajumbe au wananch? Wananchi wasiokuwa na iman na wewe, kwa kifupi, FAM akichukua uenyekiti,chadema itapasuka na it will never be the same,lawama zote zitaenda kwa FAM.
Binafsi naona bado anaweza kumuunga mkono Lissu 2025 pawe pamoto.
 
Kura za maoni sehem kubwa FAM kachemka!
Sasa unaenda kuwa chairman wa wajumbe au wananch? Wananchi wasiokuwa na iman na wewe, kwa kifupi, FAM akichukua uenyekiti,chadema itapasuka na it will never be the same,lawama zote zitaenda kwa FAM.
Binafsi naona bado anaweza kumuunga mkono Lissu 2025 pawe pamoto.

Kura za maoni zaidi ya 80% hazimuungi Mkono hiyo kwake ingetakiwa aitumie kufanya maamuzi sahihi ya busara
 
Habari za Sabato!

Nimeona Mbowe Akihojiwa na Kikeke. Kwa kweli hofu ipo dhahiri machoni mwake. Hata body language yake inamkataa akijaribu kuficha hofu yake. Ni kama amekata tamaa pakubwa.

Ingawaje wafuasi wake wanahangaika kupambana, na kumtia moyo lakini jitihada Zao zimefua dafu kuondoa Hofu ya Mbowe.

Mambo mawili yananifanya nifikiri sababu za Hofu yake;
1. Kura za Maoni za watu wengi mtandaoni zimemkatisha tamaa.
Unajua hakuna Jambo Baya kwenye siasa kama kugundua kuwa hukubaliki kuliko mshindani wako.
Yaani watu wengi hawakutaki. Tena wengi wakiwa ni wale unaowongoza.

Kura za JF na X zimerudisha nyuma majeshi ya ujasiri katika moyo wa Mbowe.
Sio Kazi ndogo KUKATALIWA na watu kwa zaidi ya asilimia 80% ni nyingi Sana hizo.

Kumaanisha, Mbowe Hana ushawishi.
Hivi Leo itamaanisha, kama Mbowe akiitisha Harambee watu wachangie Basi asilimia 80% hawatamuunga Mkono.

Kumaanisha Leo Mbowe akiwa kampeni Manager WA Urais wa CHADEMA zaidi ya 80% hawatamchagua.

Hilo pekee limemnyong'onyesha Mbowe. Ingawaje wapambe wake watampa moyo na wengine kumdanganya lakini tayari Mbowe picha Halisi ya vile watu wanavyomchukulia anayo.

2. Mbowe anajuta, MAJUTO.
Nachelea kusema, Mbowe anajuta Kutetea Kiti chake.
Ukimtazama Mbowe kwa umakini, mbali na hofu utagundua sio hofu pekee tuu inayomtafuna Bali Hofu yenye MAJUTO.

Mbowe anajuta kwa Mambo yafuatayo;
1. Kujivua nguo na heshima yake yote kudondoka.
Hii inamaanisha asilimia 80% ya wapiga Kura waliomkataa wengi wameona Mbowe kajidharau.

Kama Mbowe angestaafu kwa heshima angekuwa amecheza vizuri Sana

Heshima ya watu kutaka uendelee lakini wewe useme inatosha. Hiyo ndio heshima sio usubiri kuzomewa na kutukanwa.

2. Anajuta kuona chama kinaweza kumfia Mikononi.
Hatari ya chama kumfia Mikononi Ipo bayana Kabisa.
Watu wengi Makini ndani ya chama hawapo upande wake.

Na wale wanaotegemewa na kusubiriwa watoe tamko bado wako Kimya, hii kwake ni kama taa nyekundu ambayo inampa Hofu na kumfanya ajutie.

3. Anajuta kwa nini hakumteua mtu wake agombee ili yeye amuunge Mkono.
Mbowe hakutegemea kama Lisu angefanya shambulizi la kushtukiza namna hii. Hii ilimnyima nafasi ya KUFIKIRI vizuri na kupanga suluhu yenye Tija.
Anajuta hakuwa na sababu ya kuendelea yeye, Bora angeteua mtu mwingine alafu yeye amuunge Mkono.

4. Anajuta kupingana na Maneno yake, hasa kutetea Demokrasia.
Sio ubishi kwani ni dhahiri hata Mbowe anajua kuwa Mpaka mashinani wanachama wanamtaka LISU na sio yeye.
Demokrasia inahusu uongozi wa watu. Ikiwa watu wengi hawakutaki alafu wewe unalazimisha kuendelea kugombea uenyekiti tafsiri yake wewe ni Dikteta.

Wajumbe 1200 Vs Wanachama zaidi ya Milioni na kitu.
Wanachama wengi wanamuunga Lisu Mkono. Wajumbe bado ni Siri

Sijajua kwa nini CHADEMA hawakufanya Utafiti kujua wanachama wa kawaida wao wanataka Nani awe Mwenyekiti.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Hii ni fair analysis kabisa. Mbowe bado ana muda wa kuibuka shujaa. Amuunge mkono TAL
 
Binaadamu ni viumbe visivyo na shukurani, haya matusi anayotukanwa Mbowe dah nashindwa kuamini
 
Kila zama na kitabu chake. FAM akubali tu hana ushawishi tena akae pembeni.! Akishupaza shingo na wajumbe wakampitisha hio trh 21, chama alichokijenga kwa jasho na damu anaenda kukizika rasmi mwenyewe. !
 
Kila zama na kitabu chake. FAM akubali tu hana ushawishi tena akae pembeni.! Akishupaza shingo na wajumbe wakampitisha hio trh 21, chama alichokijenga kwa jasho na damu anaenda kukizika rasmi mwenyewe. !

Hata Lipumba hakuelewa kuzisoma alama za nyakati:

GfuY-ekXQAAK7pI.jpeg
 
Habari za Sabato!

Nimeona Mbowe Akihojiwa na Kikeke. Kwa kweli hofu ipo dhahiri machoni mwake. Hata body language yake inamkataa akijaribu kuficha hofu yake. Ni kama amekata tamaa pakubwa.

Ingawaje wafuasi wake wanahangaika kupambana, na kumtia moyo lakini jitihada Zao zimefua dafu kuondoa Hofu ya Mbowe.

Mambo mawili yananifanya nifikiri sababu za Hofu yake;
1. Kura za Maoni za watu wengi mtandaoni zimemkatisha tamaa.
Unajua hakuna Jambo Baya kwenye siasa kama kugundua kuwa hukubaliki kuliko mshindani wako.
Yaani watu wengi hawakutaki. Tena wengi wakiwa ni wale unaowongoza.

Kura za JF na X zimerudisha nyuma majeshi ya ujasiri katika moyo wa Mbowe.
Sio Kazi ndogo KUKATALIWA na watu kwa zaidi ya asilimia 80% ni nyingi Sana hizo.

Kumaanisha, Mbowe Hana ushawishi.
Hivi Leo itamaanisha, kama Mbowe akiitisha Harambee watu wachangie Basi asilimia 80% hawatamuunga Mkono.

Kumaanisha Leo Mbowe akiwa kampeni Manager WA Urais wa CHADEMA zaidi ya 80% hawatamchagua.

Hilo pekee limemnyong'onyesha Mbowe. Ingawaje wapambe wake watampa moyo na wengine kumdanganya lakini tayari Mbowe picha Halisi ya vile watu wanavyomchukulia anayo.

2. Mbowe anajuta, MAJUTO.
Nachelea kusema, Mbowe anajuta Kutetea Kiti chake.
Ukimtazama Mbowe kwa umakini, mbali na hofu utagundua sio hofu pekee tuu inayomtafuna Bali Hofu yenye MAJUTO.

Mbowe anajuta kwa Mambo yafuatayo;
1. Kujivua nguo na heshima yake yote kudondoka.
Hii inamaanisha asilimia 80% ya wapiga Kura waliomkataa wengi wameona Mbowe kajidharau.

Kama Mbowe angestaafu kwa heshima angekuwa amecheza vizuri Sana

Heshima ya watu kutaka uendelee lakini wewe useme inatosha. Hiyo ndio heshima sio usubiri kuzomewa na kutukanwa.

2. Anajuta kuona chama kinaweza kumfia Mikononi.
Hatari ya chama kumfia Mikononi Ipo bayana Kabisa.
Watu wengi Makini ndani ya chama hawapo upande wake.

Na wale wanaotegemewa na kusubiriwa watoe tamko bado wako Kimya, hii kwake ni kama taa nyekundu ambayo inampa Hofu na kumfanya ajutie.

3. Anajuta kwa nini hakumteua mtu wake agombee ili yeye amuunge Mkono.
Mbowe hakutegemea kama Lisu angefanya shambulizi la kushtukiza namna hii. Hii ilimnyima nafasi ya KUFIKIRI vizuri na kupanga suluhu yenye Tija.
Anajuta hakuwa na sababu ya kuendelea yeye, Bora angeteua mtu mwingine alafu yeye amuunge Mkono.

4. Anajuta kupingana na Maneno yake, hasa kutetea Demokrasia.
Sio ubishi kwani ni dhahiri hata Mbowe anajua kuwa Mpaka mashinani wanachama wanamtaka LISU na sio yeye.
Demokrasia inahusu uongozi wa watu. Ikiwa watu wengi hawakutaki alafu wewe unalazimisha kuendelea kugombea uenyekiti tafsiri yake wewe ni Dikteta.

Wajumbe 1200 Vs Wanachama zaidi ya Milioni na kitu.
Wanachama wengi wanamuunga Lisu Mkono. Wajumbe bado ni Siri

Sijajua kwa nini CHADEMA hawakufanya Utafiti kujua wanachama wa kawaida wao wanataka Nani awe Mwenyekiti.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Shida ya Mbowe, pale anapohisi kwamba chama kimefika pale kwa juhudi zake binafsi bila viongonzi wenzie au wanachama.

Anasema yeye ndo aliwaleta wakina lisu na wengine , ndio alifanya kazi nzuri sana.

Ila lengo si ilikua kuwa na taasisi imara ,na badae kuwa viongozi imara shida nini sasa wakati umeisha watengeneza vijana wa kuweka chama sawa na kuendeleza alipo ishia
 
Back
Top Bottom