Mbowe amejitahidi kuifufua CHADEMA ila Lissu ndio kapigia jeneza msumari wa mwisho!

Mbowe amejitahidi kuifufua CHADEMA ila Lissu ndio kapigia jeneza msumari wa mwisho!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.

N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
 
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
Ccm ni janga sana.
1. Mbowe kalamba asali...maridhiano.

2. Mkipigwa nyundo na Lissu mnamkumbuka Mbowe.

Nimeipenda style ya Lissu kuwapiga nyundo.
 
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Kwakuwa ana mnanga mtukufu wenu?? Ukweli lazima usemwe..dolla milion 42 ni nyingi mno jamani, je madafu itakuwa alificha kiasi gn?? Chadema haiwezi kuteteleka kwa kumsema magufuri kwa maovu ambayo hata raia waliyaona kwa macho yao, na uzuri mhe Lissu hayasemi maovu ya magufuri tu bali hata hayati Baba wa Taifa huwa anamsema kuwa ndo chanzo cha haya yoote yanayoendelea nchini, hivyo Team magufuri vumilieni tu
 
Naona mnaweweseka baada ya Lissu kusanua kuwa "Mtetezi wa Wanyonge" alikuwa mpigaji!.

Yaani wewe mleta mada unaonyesha dalili zote za Stokholms Syndrome. Ni ugonjwa wa kumpenda mtesi wako hadi kumtetea kwa nguvu zote!
 
Naona mnaweweseka baada ya Lissu kusanua kuwa "Mtetezi wa Wanyonge" alikuwa mpigaji!.

Yaani wewe mleta mada unaonyesha dalili zote za Stokholms Syndrome. Ni ugonjwa wa kumpenda mtesi wako hadi kumtetea kwa nguvu zote!
Nyie mmepata Ugonjwa unaitwa BDD.
 
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
Kwa madhila na unyama AMBAO alifanyiwa lissu AKILI YAKE KUWA SAWA NI NGUMU SANA,ALIPASWA KUWA MSTAAFU WA CHADEMA HUKU AKILA POSHO ZA KUELEWEKA,MPAKA PALE AKILI YAKE ITAKAPOSTABLIZE.
->MH.RAIS USIWEKE HASIRA JUU YA KIUMBE HUYU,KWANI NI MGONJWA WA AKILI.
°ASANTE MBOWE KWA KWA PASSION YAKO!, NAONA AKILI YOTE MBAYA YA MUSIC IMEONDOKA.
 
Tuwekee vivid evidence na sisi tujiridhishe kama wewe mkuu,pia iwepo na evidence ya source ya hizo fedha jinsi zilivyopatikana kama ni kweli kuna hela zilipatikana,

Pia ni kina nani hao ambao walikua na authority ya kupekua nyumba ya muhusika? sababu ya wao kupekua nyumba ilikua ni nini? ni Mahakama gani ilitoa hilo agizo na kwa kesi ipi?

Hearsay haiwezi kumfanya mtu aliyestaarabika kuanza kulaumu jambo from nowhere.
Evidence gani unahitaji??
 
Kwa madhila na unyama AMBAO alifanyiwa lissu AKILI YAKE KUWA SAWA NI NGUMU SANA,ALIPASWA KUWA MSTAAFU WA CHADEMA HUKU AKILA POSHO ZA KUELEWEKA,MPAKA PALE AKILI YAKE ITAKAPOSTABLIZE
Chadema wamuwahi na kumpumzisha na pia kumuwezesha aendelee na phases nyingine za tiba
 
Back
Top Bottom