Mbowe amejitahidi kuifufua CHADEMA ila Lissu ndio kapigia jeneza msumari wa mwisho!

Mbowe amejitahidi kuifufua CHADEMA ila Lissu ndio kapigia jeneza msumari wa mwisho!

Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.

N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
Magufuli ni legend wa nini, wa kuigawa nchi? Mungu ni fundi tunamshukuru sana, hii nchi leo ingekuwa na hali mbaya sana ila Mungu ameiponya. Yule alikuwa mbaguzi, katili, muuaji, mkandamizaji. Watanzania wasomi mpaka leo wanaadhirika mitaani kwasababu, lilikuwa shetani. Eti mzalendo, bila hata haya?
 
Magufuli ni legend wa nini, wa kuigawa nchi? Mungu ni fundi tunamshukuru sana, hii nchi leo ingekuwa na hali mbaya sana ila Mungu ameiponya. Yule alikuwa mbaguzi, katili, muuaji, mkandamizaji. Watanzania wasomi mpaka leo wanaadhirika mitaani kwasababu, lilikuwa shetani. Eti mzalendo, bila hata haya?
Kuna kitabu kimeandikwa na mwanazuoni wa Malawi.kitafute
 
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.

N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
Kwani Magufuli alikuwa Malaika?Hata huyo Lissu ana mapungufu yake.
 
Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.

Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.

Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.

N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
mafisadi yaliyoneemeka kipindi cha magufuli yamechanganyikiwa baada ya siri yaliyokuwa yameificha muda mrefu kufichuliwa na bado mpaka muwe vichaa shenzi nyinyi.
 
Tuseme ukweli jamani, chadema ilikua ICU aliyekuja kuiponesha ni mama Samia. Leo 'mganga" aliyewapa mwarubaini na kuwatoa ICU ndiye huyohuyo wanamuona ni mchawi.

Hakuna" kiongozi" yeyote wa chadema sasa hivi anaefanya siasa kwa kuwa labda kuna sera au malengo wanayoyafata. "Viongozi" wote wa chadema sasa hivi ni wakandarasi wa kila mmoja kivyake. Hakuna sera, hakuna mpano, hakuna kuratibu.

Anaemlipa mmoja wao yeyote zaidi ndiye ataetangaziwa anachokitaka. Hili ni wazi kabis.

Sukuma ganga, inawatumia, haya gang inawatumia, wafanya biashara wlaiokuwa wanafaidika na misamaha ya kodi kupitia kanisa wanawatumia. Wafanya biashara walioumizwa bandarini wanawatumia.

Mafaruku ndani ya chadema ni mkubwa sana, kila mmoja sasa hivi amakula kwa urefu wa kamba yake.

Tusitegemee kabisa kuona chadema ikiwa chama cha ushindani wa kisiasa kama wengi wanavyotarajia. Sasa hivi humo ndani kuna ugomvi wa chini kwa chini wa nani hajatoa mgao fulani waliopokea kwa fulani. Kuna mparaganyiko wa hali ya juu ambao kwa kutazama kijuujuu hautauona.
 
Tuwekee vivid evidence na sisi tujiridhishe kama wewe mkuu,pia iwepo na evidence ya source ya hizo fedha jinsi zilivyopatikana kama ni kweli kuna hela zilipatikana,

Pia ni kina nani hao ambao walikua na authority ya kupekua nyumba ya muhusika? sababu ya wao kupekua nyumba ilikua ni nini? ni Mahakama gani ilitoa hilo agizo na kwa kesi ipi?

Hearsay haiwezi kumfanya mtu aliyestaarabika kuanza kulaumu jambo from nowhere.
mmegongwa utosini baada ya kujigundua kuwa mlikuwa mnatumika bure bila mgao kumbe mungu wenu alikuwa anamiliki dollar mamillion ndani wajinga nyinyi.
 
Kwakuwa ana mnanga mtukufu wenu?? Ukweli lazima usemwe..dolla milion 42 ni nyingi mno jamani, je madafu itakuwa alificha kiasi gn?? Chadema haiwezi kuteteleka kwa kumsema magufuri kwa maovu ambayo hata raia waliyaona kwa macho yao, na uzuri mhe Lissu hayasemi maovu ya magufuri tu bali hata hayati Baba wa Taifa huwa anamsema kuwa ndo chanzo cha haya yoote yanayoendelea nchini, hivyo Team magufuri vumilieni tu
na mbowe ameiba sh ngapi ya ruzuku ya chama?
 
mmegongwa utosini baada ya kujigundua kuwa mlikuwa mnatumika bure bila mgao kumbe mungu wenu alikuwa anamiliki dollar mamillion ndani wajinga nyinyi.
Sio kila mtu ni shabiki wa hivyo vyama vya siasa,angalia comment zangu zote hapa JF uone kama mimi nipo kwenye huo ubishani wenu wa kisiasa,mimi nimechangia kama mchangiaji huru tu,

Acha kukariri kijana,sio kila mtu yupo kwenye hayo mabishano yenu ya vyama vya siasa.
 
Tuseme ukweli jamani, chadema ilikua ICU aliyekuja kuiponesha ni mama Samia. Leo 'mganga" aliyewapa mwarubaini na kuwatoa ICU ndiye huyohuyo wanamuona ni mchawi.

Hakuna" kiongozi" yeyote wa chadema sasa hivi anaefanya siasa kwa kuwa labda kuna sera au malengo wanayoyafata. "Viongozi" wote wa chadema sasa hivi ni wakandarasi wa kila mmoja kivyake. Hakuna sera, hakuna mpano, hakuna kuratibu.

Anaemlipa mmoja wao yeyote zaidi ndiye ataetangaziwa anachokitaka. Hili ni wazi kabis.

Sukuma ganga, inawatumia, haya gang inawatumia, wafanya biashara wlaiokuwa wanafaidika na misamaha ya kodi kupitia kanisa wanawatumia. Wafanya biashara walioumizwa bandarini wanawatumia.

Mafaruku ndani ya chadema ni mkubwa sana, kila mmoja sasa hivi amakula kwa urefu wa kamba yake.

Tusitegemee kabisa kuona chadema ikiwa chama cha ushindani wa kisiasa kama wengi wanavyotarajia. Sasa hivi humo ndani kuna ugomvi wa chini kwa chini wa nani hajatoa mgao fulani waliopokea kwa fulani. Kuna mparaganyiko wa hali ya juu ambao kwa kutazama kijuujuu hautauona.
rudisheni bandari mlizogawa kwa hongo majinga nyinyi na viongoz wenu huko ccm.
 
Hao hao kina mbowe ndiyo wamemtegeshea, wanajua akili ya kukurupuka..

We fikiria kati ya mikutano ya mwenyekiti na ya Lissu ipi ilizidi kuwa maarufu kadri siku zinavyoenda?

Lissu alikuwa anamuharibia Mbowe hata kwenye makubaliano yake na Samia. Lakini alianza kumfunika kwa upande wa maarufu.

Ilikuwa lazima wamtafutie lissu fupa gumu wamdanganye nyama ili ameze bila kutafuna.

Nae kabugia tu.
 
Tuwekee vivid evidence na sisi tujiridhishe kama wewe mkuu,pia iwepo na evidence ya source ya hizo fedha jinsi zilivyopatikana kama ni kweli kuna hela zilipatikana,

Pia ni kina nani hao ambao walikua na authority ya kupekua nyumba ya muhusika? sababu ya wao kupekua nyumba ilikua ni nini? ni Mahakama gani ilitoa hilo agizo na kwa kesi ipi?

Hearsay haiwezi kumfanya mtu aliyestaarabika kuanza kulaumu jambo from nowhere.
Huyu TL ni mwaanaharakati asie jitambua
 
Sio kila mtu ni shabiki wa hivyo vyama vya siasa,angalia comment zangu zote hapa JF uone kama mimi nipo kwenye huo ubishani wenu wa kisiasa,mimi nimechangia kama mchangiaji huru tu,

Acha kukariri kijana,sio kila mtu yupo kwenye hayo mabishano yenu ya vyama vya siasa.
kwan kunufaika na maovu ya huyo magufuli ilihitaji uwe na chama, nyie ndio mliokuwa mnatumika hovyo hovyo bila kujua mungu wenu alikuwa mporaji wa mali za umma lissu ameliumbua hilo jiz lililokufa mmebaki kupuyanga na bado mpaka muwe vichaa kabisa.
 
Back
Top Bottom