Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,618
- 4,605
Duuu hasa pale alipotangaza kuwakabidhi za uso.Ccm ni janga sana.
1. Mbowe kalamba asali...maridhiano.
2. Mkipigwa nyundo na Lissu mnamkumbuka Mbowe.
Nimeipenda style ya Lissu kuwapiga nyundo.
Magufuli ni legend wa nini, wa kuigawa nchi? Mungu ni fundi tunamshukuru sana, hii nchi leo ingekuwa na hali mbaya sana ila Mungu ameiponya. Yule alikuwa mbaguzi, katili, muuaji, mkandamizaji. Watanzania wasomi mpaka leo wanaadhirika mitaani kwasababu, lilikuwa shetani. Eti mzalendo, bila hata haya?Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
Hicho ni kikoba cha MboweCdm ni zaid ya chama cha siasa.
Usilinganishe kikundi cha kufisadi rasilimali za nchi ccm na taasisi pendwa cdm.
Kuna kitabu kimeandikwa na mwanazuoni wa Malawi.kitafuteMagufuli ni legend wa nini, wa kuigawa nchi? Mungu ni fundi tunamshukuru sana, hii nchi leo ingekuwa na hali mbaya sana ila Mungu ameiponya. Yule alikuwa mbaguzi, katili, muuaji, mkandamizaji. Watanzania wasomi mpaka leo wanaadhirika mitaani kwasababu, lilikuwa shetani. Eti mzalendo, bila hata haya?
Nchi hii hakuna mnyonge kuna wapambanaji. Anatetea tumbo lakeNaona mnaweweseka baada ya Lissu kusanua kuwa "Mtetezi wa Wanyonge" alikuwa mpigaji!.
Yaani wewe mleta mada unaonyesha dalili zote za Stokholms Syndrome. Ni ugonjwa wa kumpenda mtesi wako hadi kumtetea kwa nguvu zote!
Kwani Magufuli alikuwa Malaika?Hata huyo Lissu ana mapungufu yake.Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
mafisadi yaliyoneemeka kipindi cha magufuli yamechanganyikiwa baada ya siri yaliyokuwa yameificha muda mrefu kufichuliwa na bado mpaka muwe vichaa shenzi nyinyi.Bila shaka huko aliko Mwenyekiti Mbowe anauma mdomo na kugonga meza kwa maboko anayotoa lissu kwenye majukwaa hivi sasa.
Mwenendo,kauli na maneno ya lissu kwenye majukwaa mbalimbali yanaashiria ameathirika kisaikolojia na inawezekana ana magonjwa mawili kati ya haya....
1-PTSD
2-BDD
magonjwa haya yanamuondolea utulivu wa kiakili na kimwili na hivyo kuwa ni kituko mbele ya jamii.
Ushauri wangu:
Mnyika na Mbowe ni muhimu kufanya intervention ya haraka ya kumsaidia ikibidi kumpeleka hospitali na kumuepusha na mazingira yenye stress.
N.B :Huwezi kumkashifu legend Magufuli mbele ya watanzania ukategemea usikilizwe.
Mikutano imedoda na kiki zimegoma.
na bado mpaka muwe vichaaa wajinga nyinyi, lissu shikilia hapohapo mafisadi ya magufuli yamechanganyikiwa.Anababaika sana
We kweli mmawia, yaani wale wamakonde 'very barbaric' kutoka msumbiji.Cdm ni zaid ya chama cha siasa.
Usilinganishe kikundi cha kufisadi rasilimali za nchi ccm na taasisi pendwa cdm.
mmegongwa utosini baada ya kujigundua kuwa mlikuwa mnatumika bure bila mgao kumbe mungu wenu alikuwa anamiliki dollar mamillion ndani wajinga nyinyi.Tuwekee vivid evidence na sisi tujiridhishe kama wewe mkuu,pia iwepo na evidence ya source ya hizo fedha jinsi zilivyopatikana kama ni kweli kuna hela zilipatikana,
Pia ni kina nani hao ambao walikua na authority ya kupekua nyumba ya muhusika? sababu ya wao kupekua nyumba ilikua ni nini? ni Mahakama gani ilitoa hilo agizo na kwa kesi ipi?
Hearsay haiwezi kumfanya mtu aliyestaarabika kuanza kulaumu jambo from nowhere.
na mbowe ameiba sh ngapi ya ruzuku ya chama?Kwakuwa ana mnanga mtukufu wenu?? Ukweli lazima usemwe..dolla milion 42 ni nyingi mno jamani, je madafu itakuwa alificha kiasi gn?? Chadema haiwezi kuteteleka kwa kumsema magufuri kwa maovu ambayo hata raia waliyaona kwa macho yao, na uzuri mhe Lissu hayasemi maovu ya magufuri tu bali hata hayati Baba wa Taifa huwa anamsema kuwa ndo chanzo cha haya yoote yanayoendelea nchini, hivyo Team magufuri vumilieni tu
Sio kila mtu ni shabiki wa hivyo vyama vya siasa,angalia comment zangu zote hapa JF uone kama mimi nipo kwenye huo ubishani wenu wa kisiasa,mimi nimechangia kama mchangiaji huru tu,mmegongwa utosini baada ya kujigundua kuwa mlikuwa mnatumika bure bila mgao kumbe mungu wenu alikuwa anamiliki dollar mamillion ndani wajinga nyinyi.
rudisheni bandari mlizogawa kwa hongo majinga nyinyi na viongoz wenu huko ccm.Tuseme ukweli jamani, chadema ilikua ICU aliyekuja kuiponesha ni mama Samia. Leo 'mganga" aliyewapa mwarubaini na kuwatoa ICU ndiye huyohuyo wanamuona ni mchawi.
Hakuna" kiongozi" yeyote wa chadema sasa hivi anaefanya siasa kwa kuwa labda kuna sera au malengo wanayoyafata. "Viongozi" wote wa chadema sasa hivi ni wakandarasi wa kila mmoja kivyake. Hakuna sera, hakuna mpano, hakuna kuratibu.
Anaemlipa mmoja wao yeyote zaidi ndiye ataetangaziwa anachokitaka. Hili ni wazi kabis.
Sukuma ganga, inawatumia, haya gang inawatumia, wafanya biashara wlaiokuwa wanafaidika na misamaha ya kodi kupitia kanisa wanawatumia. Wafanya biashara walioumizwa bandarini wanawatumia.
Mafaruku ndani ya chadema ni mkubwa sana, kila mmoja sasa hivi amakula kwa urefu wa kamba yake.
Tusitegemee kabisa kuona chadema ikiwa chama cha ushindani wa kisiasa kama wengi wanavyotarajia. Sasa hivi humo ndani kuna ugomvi wa chini kwa chini wa nani hajatoa mgao fulani waliopokea kwa fulani. Kuna mparaganyiko wa hali ya juu ambao kwa kutazama kijuujuu hautauona.
Endelea kusubiri. Serikali haiendeshwi kwa mihemko.rudisheni bandari mlizogawa kwa hongo majinga nyinyi na viongoz wenu huko ccm.
Huyu TL ni mwaanaharakati asie jitambuaTuwekee vivid evidence na sisi tujiridhishe kama wewe mkuu,pia iwepo na evidence ya source ya hizo fedha jinsi zilivyopatikana kama ni kweli kuna hela zilipatikana,
Pia ni kina nani hao ambao walikua na authority ya kupekua nyumba ya muhusika? sababu ya wao kupekua nyumba ilikua ni nini? ni Mahakama gani ilitoa hilo agizo na kwa kesi ipi?
Hearsay haiwezi kumfanya mtu aliyestaarabika kuanza kulaumu jambo from nowhere.
kwan kunufaika na maovu ya huyo magufuli ilihitaji uwe na chama, nyie ndio mliokuwa mnatumika hovyo hovyo bila kujua mungu wenu alikuwa mporaji wa mali za umma lissu ameliumbua hilo jiz lililokufa mmebaki kupuyanga na bado mpaka muwe vichaa kabisa.Sio kila mtu ni shabiki wa hivyo vyama vya siasa,angalia comment zangu zote hapa JF uone kama mimi nipo kwenye huo ubishani wenu wa kisiasa,mimi nimechangia kama mchangiaji huru tu,
Acha kukariri kijana,sio kila mtu yupo kwenye hayo mabishano yenu ya vyama vya siasa.
wewe unajitambuaHuyu TL ni mwaanaharakati asie jitambua
Nasema hivi rudisheni bandar zetu ujinga hatutaki, mamayenu mwambien arudishe hela za warabu alizohongwa ili kutoa bandar zetu.Endelea kusubiri. Serikali haiendeshwi kwa mihemko.