OPEN the Door
Senior Member
- Nov 15, 2024
- 170
- 84
- Thread starter
- #81
Mbowe na Lisu hawawezi kugombana, ni mtazamo wa kisiasa tu inayowatenga Kwa sasa ila baada ya uchaguzi watarudisha uhusiano wao kama Kwa sasa umedorora.Sasa Kama hata Lissu anaogopa kula Kwa mbowe, kuna busara tena?
Inanyesha kidogo sana lakini pia lote linavuja