Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 1,271
- 1,604
Slaa aliupata upadre kwa bahati mbaya tusimlaumu sana"Tunaona watu ambao walishaondoka CHADEMA huko miaka ya nyuma kama akina Dkt Wilbroad Slaa ambao walikimbia CHADEMA wakaenda Chama cha Mapinduzi wakapewa na zawadi ya ubalozi, eti leo naye amekuwa ndiye mpiga debe mkubwa wa Makamu Mwenyekiti wangu kutaka apewe Mwenyekiti wa chama na kubeza na kutweza watu na wengine wa vyama vingine vya upinzani"- Freeman Mbowe, Mwenyekiti CHADEMA
View attachment 3197182
View attachment 3197312
Soma, Pia
• Freeman Mbowe: Dkt. Slaa na wanaojiita Tanzania Diaspora wanapanga kufanya mapinduzi ndani ya CHADEMA
• Willibrod Slaa: Anachopigania Tundu Lissu ni kuisafisha CHADEMA