Mbowe anakosa sifa muhimu ya kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Ajiuzulu nafasi yake kwa maslahi ya chama na Taifa kwa ujumla

Mbowe anakosa sifa muhimu ya kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Ajiuzulu nafasi yake kwa maslahi ya chama na Taifa kwa ujumla

Imewaumiza sana. Hivi wewe Stroke ndio mwiguru nini?. Mnamuogopa Mbowe mno. Imekula kwako na bado sana ataendelea kuwa mwenyekiti.
 
Kama ambavyo hakuna mahakama iliyomhukumu.
Tuhuma ya Ugaidi bado inabakia pale pale.

Hakuna mahakama iliyomsafisha mbowe.

Unaweza usinielewe sasa ila kwa baadae utakuja kunielewa kwamba.

Rekodi za mahakama zinatambua kwamba mbowe alikutwa na kesi ya kujibu ila hakutoa utetezi wake dhidi ya madai hayo na hivyo hakuna hukumu ambayo inasema kwamba Mbowe sio gaidi.

Tuhuma dhidi yake hazijaondolewa kwa rekodi ya mahakama inabakia hivyo.
 
Kama ambavyo hakuna inayosema ni gaidi.
Mkuu hata ufanye jambo gani.

Rekodi za mahakama bado zinabakia kwamba Mbowe alikutwa na kesi ya kujibu dhidi ya tuhuma za ugaidi.

Hakuwahi kujitetea.

Hakuna hukumu ya mahakama inayosema sio gaidi.

Kwa hizo facts sioni namna anafaa kuendelea na nafasi yake.
 
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
Kwa hyo mandela nae angekosa sifa kuwa mwenyekiti na rais wa ANC
 
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
Unafanana sana na mashahidi wa mchongo.
 
Tuhuma ya Ugaidi bado inabakia pale pale.

Hakuna mahakama iliyomsafisha mbowe.

Unaweza usinielewe sasa ila kwa baadae utakuja kunielewa kwamba.

Rekodi za mahakama zinatambua kwamba mbowe alikutwa na kesi ya kujibu ila hakutoa utetezi wake dhidi ya madai hayo na hivyo hakuna hukumu ambayo inasema kwamba Mbowe sio gaidi.

Tuhuma dhidi yake hazijaondolewa kwa rekodi ya mahakama inabakia hivyo.
Kwani Mbowe ndiye kakimbia mahakama?

Na je wewe kama mwanasheria tuambie tafsiri ya serikali kuweka mpira kwapani maana hapa unaelekea kutupotosha.
 
Hebu acha makelele pumzika mkuu, inaonekana umeumia sana hadi kutuandikia waraka, hukutegemea kama angeachiwa, ndio kashaachiwa na ataendelea kua mwenyekiti wao Chadema, ajiuzulu what for?

Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Ujinga mtupu!
Kwa hiyo na CDM wakimtuhumu Bibi Mikopo kuwa ni gaidi na yeye ajiuzulu?
Kila mwenye akili anajua ile kesi ni ya UONGO, ya kisiasa, ya kughushi!
 
Mkuu hata ufanye jambo gani.

Rekodi za mahakama bado zinabakia kwamba Mbowe alikutwa na kesi ya kujibu dhidi ya tuhuma za ugaidi.

Hakuwahi kujitetea.

Hakuna hukumu ya mahakama inayosema sio gaidi.

Kwa hizo facts sioni namna anafaa kuendelea na nafasi yake.
Kwa hiyo ukaona suluhisho ajiuzulu tu kwa sababu hakusafishwa.
 
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
ndugu Stroke linapokuja suala la kumsema MBOWE jiuzulu au kumsema vibaya mbowe utakula matusi yasiyo na idadi wafuasi wa mbowe nisawa kabisa na wafuasi wa MWAMPOSA au wa MFALME ZUMARIDI yaani hawajulkikani kama wana akili sawasawa au hawana akili kabisa wao ni kuropoka tu na kupandisha mashetani kama wale misukule wa zumaridi waache watakuharibia siku bure
 
Ugaid
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
I
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
Ugaidi aliutenda Magufuri kuua Wazanzibar wasio na hatia alaaniwe ahera na duniani.

Ugaidi aluutenda Mkapa kwa kuwaua wazanzibari wasiohatia, alijutia akaishia kuandika kitabu akijilaumu,

ikiwa alifanya toba ya kweli mbali ya kujilaumu, mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi.

Haya tueleze ugaidi wa Mbowe amemdhuru nani?

Ccm imeongoza mauaji mangapi kwa wapinzani (hawajawa Magaidi)
Chadema wamelipa hata moja?!(Magaidi)
Siku wakilipa pengine mtawaita nani?
 
Wewe na wenzako kajifunze DPP akishasema hana nia ya kuendelea na kesi automatic jaji anaifuta ile kesi moja kwa moja na hautishitakiwa tena na kesi ya namna il.

Ukiona mtu ameachiwa na mahakama akakamatwa tena palepale ujue shitaka dhidi yake litabadilika sio lile alilokamatw nalo awali.
Uwe unafuatilia sharia za nchi hasa za uendeshaji wa kesi.

Kwa sasa sheria imepitungwa na bunge kuwa mtuhumiwa akiachiwa huru na mahakama hatakiwi kukamatwa tena na polisi .
Acha kula ugoro usiku na kuanza kupiga chafya hovyo kanisani
Sukuma gang hawajuagi sheria wanaamini katika manguvu tu!
 
Tuhuma ya Ugaidi bado inabakia pale pale.

Hakuna mahakama iliyomsafisha mbowe.

Unaweza usinielewe sasa ila kwa baadae utakuja kunielewa kwamba.

Rekodi za mahakama zinatambua kwamba mbowe alikutwa na kesi ya kujibu ila hakutoa utetezi wake dhidi ya madai hayo na hivyo hakuna hukumu ambayo inasema kwamba Mbowe sio gaidi.

Tuhuma dhidi yake hazijaondolewa kwa rekodi ya mahakama inabakia hivyo.
Tuhuma siyo hatia ata Rais anatuhumiwa na wananchi kuiba kura lakini hakuna mahakama yoyote ambayo imetia hatiani kwa hiyo tuhuma unaweza kutuhumiwa mda wowote na mtu yoyote lakini utabaki kuwa mtakatifu mpaka pale utakapotiwa hatiani.Mandela alitiwa hatiani na akafungwa na bado alipotoka waafrika kusini walimchagua kuwa Rais.hii inaonyesha uwezo wako mdogo wa maswala ya kisiasa na maswala ya kisheria. Hata kama Mbowe angetiwa hatiani kwa kesi hii bado ulimwengu mzima ungepiga kelele aachiwe na bado angeendelea na harakati za siasa.Tuhuma ni tuhuma na pia hata mtu akitiwa hatiani bado Watu wanaangalia je amefungwa kwa haki au kwa mapungufu ya kisheria.
 
Uadilifu ni sifa kuu na ya msingi anayopaswa kuwa nayo kiongozi yeyote yule wa Taasisi ya uma.

Chadema kama chama kingine cha siasa ni Taasisi ya uma kwa kuwa imesajiliwa kwa kufuata sheria za nchi zinazoongoza vyama vya siasa hapa nchini kwa maana hiyo haikwepi kuwa na vigezo muhimu vya taasisi yeyote ya uma ikiwa na kigezo nilichokitaja awali cha uadilifu wa viongozi wake.

Jana siku ya tarehe 4/03/2022 DPP Kupitia kifungu cha 91 Cha Sheria ya mwenendo wa makosa ya jinai aliamua kufuta mashitaka ya Ugaidi dhidi ya Mwenyekiti wa Chadema na wenzake watatu.

Kwa kupitia kifungu hicho tafsiri yake ni kwamba pale ambapo itaonekana inafaa DPP anaweza yarejesha mashitaka hayo.

Hiyo inamaana kwamba kesi iliondolewa mahakamani bila ya Mbowe kutoa utetezi wake mahakamani na hatimaye mahakama kutoa maamuzi kuhusiana na tuhuma hizo.

Kwakua hakuna hukumu yeyote ile ya mahakama iliyosema kwamba Mbowe hajafanya alichotuhumiwa nacho au kakifanya na kwakua bado. DPP anaweza kurejesha tena kesi mahakamani basi kiufundi tunasema kwamba tuhuma dhidi ya Mbowe zinabakia pale pale.

Kwakua tuhuma bado zipo kwakua hakuna rekodi ya mahakama inayomsafisha Mbowe na tuhuma dhidi yake basi kwa manufaa mapana ya Chadema na Taifa kwa ujumla inampasa Mbowe kujiuzulu nafasi yake ya Uwenyekiti na kukaa mbali na siasa za kiushindani.

Inampasa Mbowe kujiuzulu kwani anakosa sifa muhimu ya uadilifu kwani tuhuma dhidi yake ni kubwa na hatarishi kwa ustawi wa Taifa lolote na haitakuwa afya kwa chama kuongozwa na kiongozi ambaye anaishi na tuhuma hizo.

The good things could have been to let Mbowe testify and the court to rule as to whether Mbowe is guilty or not but so far as we speak the allegations have not been cleared against him thus he must resign.
Wewe Ni wakala wa shetani na pia nimpiga ramli chonganishi nendeni mkatambike kwenye Kaburi ya dikteta uchwara na Mungu wa chaltle
 
Tuhuma siyo hatia ata Rais anatuhumiwa na wananchi kuiba kura lakini hakuna mahakama yoyote ambayo imetia hatiani kwa hiyo tuhuma unaweza kutuhumiwa mda wowote na mtu yoyote lakini utabaki kuwa mtakatifu mpaka pale utakapotiwa hatiani.Mandela alitiwa hatiani na akafungwa na bado alipotoka waafrika kusini walimchagua kuwa Rais.hii inaonyesha uwezo wako mdogo wa maswala ya kisiasa na maswala ya kisheria. Hata kama Mbowe angetiwa hatiani kwa kesi hii bado ulimwengu mzima ungepiga kelele aachiwe na bado angeendelea na harakati za siasa.Tuhuma ni tuhuma na pia hata mtu akitiwa hatiani bado Watu wanaangalia je amefungwa kwa haki au kwa mapungufu ya kisheria.
Kuna tofauti kati ya tuhuma za mitaani na tuhuma ambazo zipo kwa kufuata utaratibu.

Jambo likishakuwa mahakamani linakuwa recorded.

Sasa rekodi za mahakama kuu ya Tanzania zinasema kwamba Mbowe alikutwa na kesi ya kujibu katika tuhuma za ugaidi.

Hakuna rekodi nyingine tofauti na hiyo.

Itoshe kusema kwamba Mbowe na Chadema nzima wamepigwa knock out na serikali ya CCM.
 
Hapa umeshindwa kuelewa point yangu ndogo tu kuwa.

Kwakua kulikua na uamuzi wa mahakama kuwa mbowe ana cha kujibu ilipaswa ajibu ili audhihirishie uma yote hayo unayoyasema kwa ajili ya kuweka rekodi sawa.

Ila rekodi iliyopo mpaka sasa haimpi faida yeye kwani inasomeka kwamba alikutwa na kesi ya kujibu katika tuhuma za ugaidi.

Mawakili na wanachama wangepaswa kumshauri afanye hivyo ila wote wanashangilia.

Hili ni anguko la kisiasa na uzembe wa hali ya juu kwa Chadema.

CCM imeendelea kuonesha ukomavu wa kisiasa na mbinu dhidi ya Chadema.

Kuiondoa sio leo wala kesho bado ipo ipo sana.

Hiyo mahakama Ingekuwa na heshima hiyo wangalau ungekuwa na point ya maana. Hata walioitoa hiyo kesi mahakamani wanajua hakukua na kesi bali siasa chafu ndani ya mahakama. Na kwa taarifa yako hiyo mahakama Ingekuwa huru, hiyo kesi wala isingevuka kwenye zile kesi ndogo ndani ya kesi. Labda hii porojo yako ukawape watu wa huko porini wenye uelewa mdogo ww mambo.
 
Tuhuma ya Ugaidi bado inabakia pale pale.

Hakuna mahakama iliyomsafisha mbowe.

Unaweza usinielewe sasa ila kwa baadae utakuja kunielewa kwamba.

Rekodi za mahakama zinatambua kwamba mbowe alikutwa na kesi ya kujibu ila hakutoa utetezi wake dhidi ya madai hayo na hivyo hakuna hukumu ambayo inasema kwamba Mbowe sio gaidi.

Tuhuma dhidi yake hazijaondolewa kwa rekodi ya mahakama inabakia hivyo.
Pia ufahamu ya kuwa ushahidi wa utetezi nao upo palepale hata mkimfufua kayafa maana yeye ndiye mwl.wenu wa Chuki.
 
Hiyo mahakama Ingekuwa na heshima hiyo wangalau ungekuwa na point ya maana. Hata walioitoa hiyo kesi mahakamani wanajua hakukua na kesi bali siasa chafu ndani ya mahakama. Na kwa taarifa yako hiyo mahakama Ingekuwa huru, hiyo kesi wala isingevuka kwenye zile kesi ndogo ndani ya kesi. Labda hii porojo yako ukawape watu wa huko porini wenye uelewa mdogo ww mambo.
Matatizo yenu ndio hayo siku zote mnafanya maamuzi kwa hisia na kupenda kusikia mnayotaka kusikia kwa aina hiyo ya siasa mtaendelea kubakia wanaharakati siku zote.

CCM itaendelea kuwaburuza kwa muda mrefu ujao.
 
Back
Top Bottom