Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Hivi kusini Lindi +Mtwara sio Kanda maana siwasikii viongozi wa chadema tokea huko.
Na wapo upande wa Mwamba VS Lissu.???
 
Hivi kusini Lindi +Mtwara sio Kanda maana siwasikii viongozi wa chadema tokea huko.
Na wapo upande wa Mwamba VS Lissu.???
Gentleman,
nafuatilia kwa karibu sana kupata maoni, mtazamo na uelekeo wa uongozi wa kanda ya kusini ikihusisha maeneo uloyataja na kanda ya magharibi, kujua wanamuunga mkono mwamba wa Kaskazini au huyo mwamba wa kanda ya kati.

Kanda ya Serengeti, wameconmfirm muda si mrefu ulopita kupitia vyombo na vyanzo vyangu vya uhakika kwamba wako bega kwa bega na mwamba wa Kaskazini🐒
 
Point to note: kwanini viongozi wa kanda ya kusini (Lindi +Mtwara)wamepoa hata hawajulikani i mean sio maarufu kama akina wenje +boniyai???
 
Nimefuatilia mtifuano wa Mbowe na Lisu humu jukwani nimegundua vijana wa chadema wanatoaga matusi bafala ya hoja humu jukwaani wapo upande upi? Chadema ya kina Dr. Slaa haikuwa na vijana wa namna hii.
 
Point to note: kwanini viongozi wa kanda ya kusini (Lindi +Mtwara)wamepoa hata hawajulikani i mean sio maarufu kama akina wenje +boniyai???
huko bana,
vyama vyote vya upinzani vinatoshana nguvu kwa kiasi fulani, hakuna mnyonge baina yao,

infact Cuf na ACT wazalendo walifanikiwa kudominate siasa eneo kwa wakati fulani, but powerful ruling party hivi sasa wametake control na wamewaslow down mno kwasasa..

naweza kuhitimisha kwamba,
Chadema inaweza kua nafasi ya4 kwa popularity na powerfullnes katika eneo hilo baada ya CCM, ACT na CUF.

Lakini pia kama ijulikanavyo, chadema haina communications strategies ya kufanya watu wajue kinaendelea nini eaneo gani , wala kujua kirahisi kanda gani ina maoni gani, mathalani kuhusu uchaguzi wa kitaifa unaoendelea hivi sasa
 
Tuache kutabiri, dawa washindanishwe tu kieleweke.
 
Nimefuatilia mtifuano wa Mbowe na Lisu humu jukwani nimegundua vijana wa chadema wanatoaga matusi bafala ya hoja humu jukwaani wapo upande upi? Chadema ya kina Dr. Slaa haikuwa na vijana wa namna hii.
actually,
hata wakiwa upande wa chairman au vice chairman, bado ni wanachadema tu, muhimu zaidi ni kwamba matusi sio kitu kizuri kabisa, waachae mambo hayo kwenye mijadala..


jambo muhimu la kunote ni kwamba,

ukiona mdau anachangia kwa mihemko ujue huyo umemkaba koo, anajaribu kujinasua ili atimue mbio,

na ukiona mdau mwingine anachangia hoja kwa kuporomosha matusi, ujue huyo tayari amefika ukomo wa mawazo mapya na fikra mbadala na kwahivyo analeta fujo ili kufuta yote mliojadiliana na muanze upya.

hata hivyo,
mihemko na matusi ni useless na nonsense kwenye mijadala mbalimbali humu jukwaani. ni muhimu hekima na busara zikatawala
 
Tuache kutabiri, dawa washindanishwe tu kieleweke.
gentleman,
kama mtaalamu mbobevu katiaka sasa za vyama, ni muhimu kutoa uelekeo wa uchaguzi huo kadiri ya viashiria vya wazi kabisa miongoni mwa wahusika, kwamba yupi atafanya vizuri zaidi ya mwingine na kwasababu zipi,,
 
gentleman,
kama mtaalamu mbobevu katiaka sasa za vyama, ni muhimu kutoa uelekeo wa uchaguzi huo kadiri ya viashiria vya wazi kabisa miongoni mwa wahusika, kwamba yupi atafanya vizuri zaidi ya mwingine na kwasababu zipi,,
Tunasubiri tuone hii analysis
 
Huo ndio uhalisia
uhalisia ni kwamba numbers dont lie,

kuna mgombea moja ana naumbers na mwingine ana mamakelele na mdomo tu pale chadema, eti anategemea huruma za wajumbe
 
Kwa mawazo na maoni kama haya, kumbe ni bora CCM iendelee tu kula mema ya nchi. Nyie endeleeni kupiga porojo tu, huku mkiwasindikiza CCM katika kila uchaguzi. Hopeless opposition Party. Mnaendelea kuwavunja moyo Watanzania waliokuwa wanaendelea kuwaamini.

Tuombe tu siku moja CCM watifuane,ili kuje kuanzishwe chama kingine kitakachokuwa na nguvu na iwe mbadala wa Nyie mlioshindwa.
 
Huo ndio ukweli na ole wao wajumbe watuchagulie/watuletee mtu tofauti.
Sijawahi kupigia kura tofauti na CHADEMA chaguzi kuu zoote ila wakifanya hivyo kwa mara ya kwanza wataikosa kura yangu!!.
hekima na busara ikuelekeze kuchagua ushindi,

ukichagua fungu la kukosa utalalama na kumlaumu kila mtu aise..

uchaguzi wa chadema ni muhimu sana kwa ustawi na umadhubuti wa demokrasia ndani ya chadema yenyewe.

ni muhimu kushiriki katika hatua na mchakato wa kidemokrasia bila masharti, numbers dont lie
 
Ila kiuhalisia ukiwauliza ccm watapenda mbowe abaki maana wanakula keki ya nchi pamoja, huyu mwingine akiingie ni vurugu tupu mdomo wake hauna brake kiufupi hana hekima ,busara wala karama ya uongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…