Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Mbowe anaungwa mkono na Wajumbe wapiga kura wengi ndani ya CHADEMA, Lissu anaungwa mkono na umati mkubwa wa wapiga kelele

Kwa wiki hii pekee nadhani hii ni post yako ya kumi na kitu kuhusu CHADEMA na zote zimekuwa post za kizushi majungu uongo mwingi na kila aina ya upuuzi.Hivi huoni haya wala kujisikia vibaya? Maana hakuna hata moja uliloandika limekuwa kweli
gentleman,
bado kuna zaidi ya hoja arobaini ziko tayari kubainishwa humu jukwaani, na una uhuru na haki ya kuzifuatilia au kupuuza,

lakini kiukweli zimejaa madini ya maana sana ya kitaifa na kimataifa, lakini pia mambo mengine ni pamoja na haya ambayo yanahusu chadema iliyogawanyika na uchaguzi wao wa ndani..

hata hivyo,
katika joto la uchaguzi wa ndani wa chadema, kati ya kanda 10 za kiutawala, kanda 4tayari zinamuunga mkono chairmani Mbowe waziwazi kabisa, kwenye azma yake ya kutaka kuingoza chadema kwa awamumu nyingine ya miaka mitano. kanda hizo ni pamoja na ile ya NYASA, PWANI, KASKAZINI NA VICTORIA.

Bado nafatilia kwa karibu ikiwa kuna kanda hata moja ina saporti azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema taifa, zaida ya wanyanturu wachache ambao ninawafahamu, wanamuhadaa kiongozi huyo kwamba eti atashinda uchaguzi huo, hali yakua hana numbers:BASED:
 
Wengi wanataka Mbowe atoke uenyekiti ila Lissu asiwe mwenyekiti.
Wawaazimishe basi hata moja katibu wao aende kuwa mwenyekiti cdm
eleza ni kivipi Tundulisu anaweza kushinda uenyekiti wa chadema taifa in term of numbers of votes za wajumbe wapiga kura? atawin the surpot za wajumbe wa kanda zipi hasa?

ni kivipi mbowe anaweza kuangukia pua kwenye uchaguzi huu wa chadema iliyogawanyika ikiwa tayari, kati ya kanda 10 za kiutawala za chadema, kanda 4 zinamsapoti kindakindaki kwamba yeye ndie pekee anastahili kua mwenyekiti wa chadema taifa? :BASED:
 
Kumiliki ID bandia kusikufanye uandike upuuzi muda wote
gentleman,
lakin mbona huonyeshi uhodari wako katika kuhitback the point kwa mawazo mapya wala fikra mbadala, bora zaidi ya ukweli wa hoja mahususi mezani?

naona unagugumia tu na kualaumu ukweli huo bayana ,
Lisu hana numbers za kumshinda Mbowe kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya uenyekiti wa chadema taifa iliyogawanyika gentleman:pedroP:
 
eleza ni kivipi Tundulisu anaweza kushinda uenyekiti wa chadema taifa in term of numbers of votes za wajumbe wapiga kura? atawin the surpot za wajumbe wa kanda zipi hasa?

ni kivipi mbowe anaweza kuangukia pua kwenye uchaguzi huu wa chadema iliyogawanyika ikiwa tayari, kati ya kanda 10 za kiutawala za chadema, kanda 4 zinamsapoti kindakindaki kwamba yeye ndie pekee anastahili kua mwenyekiti wa chadema taifa? :BASED:
Ccm wengi wanataka mbowe atoke uenyekiti ila hawataki Lissu awe mwenyekiti.
 
Ccm wengi wanataka mbowe atoke uenyekiti ila hawataki Lissu awe mwenyekiti.
unaweza kueleza kwa wadau,
ni namna gani Lisu anaweza kumshinda Mbowe in terms of number of votes, katika kanda10 za kiutawala chadema?

anatakiwa kushinda kwenye kanda zipi kilazima kati ya kanda hizo 10?

na mpaka sasa ana surpoti ya kanda ngapi na ni zipi?

waeleze tu wadau,
kwasababu elections is all about numbers sio makelele na mdomo gentleman:pedroP:
 
unaweza kueleza kwa wadau,
ni namna gani Lisu anaweza kumshinda Mbowe in terms of number of votes, katika kanda10 za kiutawala chadema?

anatakiwa kushinda kwenye kanda zipi kilazima kati ya kanda hizo 10?

na mpaka sasa ana surpoti ya kanda ngapi na ni zipi?

waeleze tu wadau,
kwasababu elections is all about numbers sio makelele na mdomo gentleman:pedroP:
Watajuana wenyewe.
 
Maccm yanaanza piga chapuo kwa Mbowe maana wanajua ,pamoja na misimamo ya Mbowe , ccm huweza kumlaghai kiana ,sasa wanaanza jiuliza Mwenyekiti akiwa lissu ,katibu mkuu akawa John Heche, makam mwenyekiti akawa lema itakuaje?
hapa si suala la mbowe au Lisu as individuals,

suala la muhimu hapa ni nani yupo favored na numbers kuuukwaa uunyekiti huo wa chadema taifa, kwa kuzingatia mgawanyo wa kanda na kura za wajumbe.

mengine hayana maana yoyote gentleaman:pedroP:
 
hapa si suala la mbowe au Lisu as individuals,

suala la muhimu hapa ni nani yupo favored na numbers kuuukwaa uunyekiti huo wa chadema taifa, kwa kuzingatia mgawanyo wa kanda na kura za wajumbe.

mengine hayana maana yoyote gentleaman:pedroP:
Mkuu upo, vipi bado ccm mpo na mpango wa kuchapisha form moja katika kugombea kiti cha Urais?
 
Acha porojo. Hangaika na chawa wenzako huko CCM.

Huko CHADEMA wanahitajika wenye akili timamu, wanaoongea kwa data na siyo kwa ramli na ujuha.
Waliofeli elimu ya sekondari wanawezaje kuwa na akili timamu?Wenje,Sugu,Lema,Mdude na Mzee Mbowe
 
Mkuu upo, vipi bado ccm mpo na mpango wa kuchapisha form moja katika kugombea kiti cha Urais?
gentlema,
ni muhimu sana kumaliza na kuhitimisha kabisa jambo hili muhimu sana kwa ustawi wa demokrasia ndani ya chadema iliyogawanyiga.

ni vema kujiepusha na mawenge ya mambo mengine na kuacha kushuhudia moto mkali uanaowaka muda huu ndani ya chadeama baina ya mafahali wawili waandamizi wasioelewana chadema.

mengine tutayatazama kwa wakati muafaka ufaao, right ? :pedroP:
 
Waliofeli elimu ya sekondari wanawezaje kuwa na akili timamu?Wenje,Sugu,Lema,Mdude na Mzee Mbowe
Gentleman,
hekima na busara imuelekeze kila mdau wa JF kujiepusha na chuki binafs na dhihaka dhidi ya wananchi na waTanzania wengine kwa ujumala na itapendeza zaidi :BASED:
 
Mbowe nae awe na aibu,amefanya chama ni chake,aachie wenzie waongoze….Hichi ndio chama kinataka kuchukua serikali?
gentleaman,
uongozi sio hisani au suala la aibu,
bali uwezo, mipango, hekima na busara ya kuamua katika kuwaongoza wengine,

makelele na mdomo si muhimu sana katiaka harakati za kutafuta uongozi.

chadema ni chama cha kidemokrasia na kwahivy ni muhimu sana demokrasia ikachukua mukondo wake ili kupata hatma njema ya uongozi wa chadema :BASED:
 
Acha porojo. Hangaika na chawa wenzako huko CCM.

Huko CHADEMA wanahitajika wenye akili timamu, wanaoongea kwa data na siyo kwa ramli na ujuha.
chadema ina kanda 10 za kiutawala kweli si kweli?

kati ya hizo kanda4 za Nyasa, Victoria, Pwani, na Kaskazini zinamuunga mkono Mbowe.

na taarifa kutoka vyanzo vyangu vya uhakika ni kwamba,
kanda ya Serengeti pia wameconfirm pasina shaka kumuunga mkono Freeman Aikael Mbowe katika kuiongoza chadema kwa awamu ijayo:BASED:
 
Friends, ladies and gentlemen.

Kwa kifupi kabisa,
ukipima kwa jicho la rohoni kabisa, numbers of votes zinamfavor chairman Mbowe, huku useless mass popularity ikimfavor vice chairman Lisu, ikiwa uchaguzi wa ndani wa chadema utafanyika mwaka huu 2024 au 2025.
There is no way Lisu can beat Mbowe in the ballot box, because Mbowe has real numbers, than Lisu has.

Uchaguzi ni mchakato unaozingatia na kutegemea zaidi numbers kwa washindani ili kushinda.

Ni dhahiri kanda za Pwani, Nyasa, Victoria na Kaskazini ni ngome imara za mwenyekiti wa sasa wa chadema Taifa, na tayari katika ujumla wake zimejipambanua kumuunga mkono.

Kanda ya kati,
nadhani sote tunafahamu uhasama kati ya Lisu na Kigaila. Ni majirani wasioelewana hawa.Tuchukulie kanda hiyo itakua imegawanyika.

Kanda ya Viktoria kwa kamanda Ezekia Wenje, kama kawaida Taifa zima linafahamu, huyo ndie makamu mwenyekiti wa chadema Taifa ajae, ambae pia anamuunga mkono Dr.Freeman Aikaeli Mbowe kua mwenyekiti wa chadema Taifa.

Nguvu ya Ezekia Wenje kisiasa ndani ya chadema, imemlazimisha na kumtoa mtu maarufu sana ulingoni kwenye kinyang'anyiro cha uongozi wa chama Taifa.

Kanda za Serengeti, Magharibi, Kusini n.k ni kama wanatafuta platforms na namna ya kujipambanua wako upande wa Mbowe au Lisu.

Kwa ujumla,
mizizi ya mwenyekiti wa chadema Taifa wa sasa ni mirefu, imara na imejikita sana ndani ya chadema. Kuing"oa yahitajika mipango mikakati ya kisayansi, Lakini pia nguvu, bongo kali, ushawishi wa hali na mali na jitihada za ziada. Asilimia kubwa ya viongozi wa chadema wa kanda, mikoa na wilaya wanatokana na mapendekezo na baraka za mwenyekiti wa chadema wa sasa.

Kwa maoni na mtazamo wako kisiasa, kati ya kanda 10 za kiutawala zilizopo chadema, unadhani ni kanda zipi zinanaweza kuunga mkono azma ya Tundu Lisu kua mwenyekiti wa chadema Taifa badala ya Freeman Mbowe?🐒

Mungu Ibarki Tanzania
Uchawa wa kikabila upo chadema
 
Back
Top Bottom