Uchaguzi 2020 Mbowe anavyomfitini Tundu Lissu, Nyalandu ashinda kura za maoni

Kama kuna upigaji wa kura ulifanyika kihalalai unalalamika nini.
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
*IDADI YA KURA ZILIZOPIGWA - 29*
*KURA ILIYOHARIBIKA - 1*
*IDADI YA KURA HALALI -28*
πŸ‘Ž

*Lazaro S. Nyalandu - 28* ( 100%)
*Tundu Antipasi Lissu - 24* (86%)
*Dr. Mayrose K. Majinge - 23* ( 82%)


idadi ya kura 29.. nyalandu kapata 28... inabaki moja iliyoharibika. sasa LISU kazipata wapi kura 24? na MAJINGE kazipata wapi kura 23?
 

Kwa hizo kura na mgawanyo wake inabidi wakuwaishe Hospitali ya Mirembe
 
 
Jumamosi iliyopita njiani tokea Moshi nilikutana na bus limepimpiwa kama mgombea waurais CHADEMA NYALANDU 2020.
 
Kwa habari za uvunguni, Mwandishi wa hii habari kasema kweli kuhusu matokeo, mengine sina hakika nayo.
 
Hela za ccm zinaliwa kijinga sana ! nadhani ndio hizi zilizovunwa kutoka kwa watia nia wachovu waliobwagwa
Tusimbeze huku Moshi tayari zimevuja kama alivyo andika kuwa Nyalandu anaongoza, hasa kuhusu nani kashinda kura ya maoni. Hayo mengine ya namba au asili mia huku hatuyajui.
 
Usichojua ni hiki: NYALANDU NDIYE MBUNGE PEKEE WA CCM ALIYEACHA UBUNGE BAADA YA TUNDU LISU KUPIGWA RISASI.

NYALANDU NDIYE MBUNGE PEKEE WA CCM ALIYEENDA NAIROBI KUMUONA LISU.

NYALANDU NI MNYATURU NA TUNDU LISU NI MNYATURU...HUWEZI KUWACHONGANISHA.

NYALANDU=TUNDU LISU.
 
Nakuuliza mleta hoja, Mbowe, Lema na Bulaya waliahidi kumpigia kura Lissu? Halafu ulijuaje kuwa hawakumpigia kura? Kwani balot paper zilikuwa na majina ya wapiga kura?

Vv
 
Mbowe ni mfanyabiashara tena wa kichaga halafu mtoto wa mjini.

Kama ni kweli then,TL anaponzwa na ukapuku tu.

1.Anajua fika hata watambike Ila kushindwa kuko palepale.(awe Lisu au Nyalandu)

2.Nyalandu anajiweza kifedha,anaweza kugharamia kampeni zake hata kwa Choppa bila kukitegemea chama wala kutembeza bakuli.


Kwa muktadha huo, Mbowe hawezi kufanya hiyo biashara kichaa kisa mihemko ya "ghost supporters" wa mitandaoni.
 
Huyu taira kaandika utopolp gani humu iv watu kama hawa wanaruhuxiwa vip kuleta uzi wa uzuxhi kam huu et idaiya kura 29 ilio haribika ni moja nyalandu 28.Lisu 24 mwingine23 kalculeti hizo namba uone uzuxhi wako ulovyo.
 

Huyu ni mpumbavu sana!eti kura 28(100%)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…