Mbowe anavyozidi kumshukuru Rais Samia tunajifunza nini?

Mbowe anavyozidi kumshukuru Rais Samia tunajifunza nini?

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

Mbowe.jpeg
 
Mboe sie kama mwalimu wa sekondari ambaye akistaafu anapata pensheni. Mwacheni mwenzenu apambane kujipatia mkate wa kila siku...
 
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

View attachment 2529543

..Ni sahihi kumsifia-sifia ili asije akakurupuka na kuanza kutumia majeshi na vyombo vya ulinzi dhidi ya vyama vya upinzani.

..ukumbuke kuna watu serikalini na ktk Ccm ambao walishiriki uovu ktk awamu ya 5 na wasingependa wananchi waone uhalisia wa siasa za haki kwa vyama vyote.
 
..Ni sahihi kumsifia-sifia ili asije akakurupuka na kuanza kutumia majeshi na vyombo vya ulinzi dhidi ya vyama vya upinzani.

..ukumbuke kuna watu serikalini na ktk Ccm ambao walishiriki uovu ktk awamu ya 5 na wasingependa wananchi waone uhalisia wa siasa za haki kwa vyama vyote.
A good insight
 
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

View attachment 2529543
Mbowe alifeli shule, biashara,ndoa na sasa anafeli siasa


USSR
 
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

View attachment 2529543
kwani kuna ubaya gani? Samia angeliweza kuendelea kuwa kama magufuli na tusingelithubutu kufanya mikutano maana polisi ni wauaji. Hatuko kama Iran ambako wanakufa kila siku lakini wanapinga uonevu wa ma Ayatollah ya kufunika kichwa. hatuna uthubutu kama huo wa kujitoa muhanga kufa na hivyo si vibaya ku appreciate mazuri bila ku COMPROMISE MADAI YA KATIBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI. Au ewe unaonaje? Akianza ku compromise hilo, then hapo tunaweza kumlaumu, lakini mpaka sasa he is on the right track, a very right track! Erythrocyte
 
Sasa wewe umejuaje ambacho mimi ningetaka?
Ungetakiwa useme marehemu alichokifanya Kwa kutumia Jeshi la polisi kuzuia mikutano ya hadhara na mwenzake aliyeruhusu mikutano je hukutaka ashukuriwe? Au ulitaka nn kiandike hapa
 
Ungetakiwa useme marehemu alichokifanya Kwa kutumia Jeshi la polisi kuzuia mikutano ya hadhara na mwenzake aliyeruhusu mikutano je hukutaka ashukuriwe? Au ulitaka nn kiandike hapa
Wewe sema unachotaka USINIPANGIE MIMI, EBOOO
 
..ukumbuke kuna watu serikalini na ktk Ccm ambao walishiriki uovu ktk awamu ya 5 na wasingependa wananchi waone uhalisia wa siasa za haki kwa vyama vyote.
Samia Suluhu Hassan, makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Joseph Pombe Magufuli[ 2015 - 2021 ].
 
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

View attachment 2529543
Sasa ndio umefura bila sababu?
 
Mbowe ni mwanasiasa anayejitambua. Ameshaelewa nini maana ya Rais na mwenyekiti wa CCM. Nampongeza sana huyu mwenyekiti wa CHADEMA kumsifu mwenyekiti wa CCM hadharani. Siasa sio uadui
 
Sote tunakumbuka katika mkutano wa kwanza wa tangu kuruhusiwa tena kwa mikutano ya kisiasa nchini, Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Aikaeli Mbowe, alitumia muda mrefu sana kumshukuru na kumuongelea Rais Samia Suluhu Hassam, maswali yalikuwa mengi miongoni mwa wana-CHADEMA na Watanzania wanaofuatilia siasa lakini hilo lilipita.

Baada ya Mikutano kadhaa, CHADEMA wamefika kwenye moja ya maeneo ambayo wamekuwa na wafuasi wengi kiasi, huko TUNDUMA mkoa wa MBEYA ambapo hapa napo Mwenyekiti Mbowe amemwagia sifa Rais Samia kwa kuruhusu mikutano ya hadhara ambayo ameeleza kuwa ina tija si tu kwa wanachama wa chama chake bali pia kwa wananchi wote. Pia Mbowe amelitaka amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kusimamia amani ya nchi kwa kuilinda mikutano yao bila kutumia nguvu.

Je, Mwenyekiti Mbowe kuendelea kutumia majukwaa ya CHADEMA kumpongeza na kumshukuru Rais Samia ni sawa.? na je tunajifunza nini kwa anayoyafanya Mbowe?

View attachment 2529543
Ni haki yake
Ni maoni yake
Nichaguo lake kushukuru

Lakini siamini kwamba mkutano mziima anatoa neno la shukran tu.
Leta na hoja zingine anazozitoa
 
Back
Top Bottom