Mbowe anavyozidi kumshukuru Rais Samia tunajifunza nini?

Mbowe siku hizi uwezo wake UMESHUKA sana.

Hana HOJA Kabisa.

Sijui ni UZEE au waliokuwa wanasaidia hawapo siku hizi.

Yupo kwenye deteriorating mode.

Hata kina Sugu, Msigwa na Mnyika hawana hoja.

Mara nyingi wanaongea wakiwa mitumbo mikubwa wanahrmea juu juu Kama wanataka kuanguka.

Sasa hivi CDM inategemeana umaarufu tu. Hoja HAKUNA
 
Hebu tupe wazo lako alitakiwa afanyeje? Akidiss uongoz itakua CDM wana kauli mbaya, wakisema ukwel hata kama unauma wataambiwa waseme kwa stara, wakizungumza wanachokiamin wanaambiwa wana vurugu hawaitakii amani nchi yetu!! Sasa hapa kutoa pongezi nalo linajadiliwa.... This is bongo nyoso!!
 
Alibembeleza sana asaidiwe kwenye kesi yake.. Na akasaidiwa..

Chadema kwishnehi
 
Labda rais atawaingiza Chadema katika serikali. Nakumbuka wakati wa Bill Clinton,waziri wa ulinzi alikuwa Republican. Hapa sidhani mpinzani anaweza kupewa cheo kikubwa,lakini the only explanation kwa watu hawa kumsifu rais ni kwamba they want to keep the door open in case someone wants to approach them.
 


Mkuu 'benzemeah', binafsi sioni ubaya wowote wa Mbowe kutoa shukrani kwa mazuri yanayoonekana anayeshukuriwa kayafanya, kama hilo la kuwapumzisha polisi kuwakandamiza vyama vya upinzani.
Lakini naona wewe, kama ilivyo wengi wetu tumepofushwa na hayo mazuri, na kusahau kwamba CHADEMA tayari wametekwa, kupitia kwa Mwenyekiti wao.

Inashangaza kwamba hukumbuki kutuwekea ya msingi yaliyozungumzwa kwenye mikutano hiyo (kama yapo), mbali ya hizo sifa unazosema Mbowe anazimwaga.

Hebu tueleze kuhusu hayo mengineyo yanayoihusu CHADEMA yenyewe, mbali au nje ya mazungumzo ya maafikiano yanayosemwa sana na hiki chama cha upinzani.
Ninakusikiliza mkuu.
 
Ninaweza kusema, bila ya woga wowote wa kujikanganya, kwamba kuna kila sababu ya Lissu kurudi alikotokea haraka haraka.
Ile CHADEMA iliyokuwepo, haipo tena.
 
Kuwa mpinzani sio kupinga kila kitu
Hata sumu inaua na kuokoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…