Uchaguzi 2020 Mbowe anaweza kupata fedheha Uchaguzi huu

Uchaguzi 2020 Mbowe anaweza kupata fedheha Uchaguzi huu

Acha uongo wewe.
Wewe ndio ulikuwa kinara wa kuandika sijui CDM imekuwa mara 2020 uchaguzi mwepesi kwa CCM. Mara sijui LISSU hawez kurudi TZ akirudi anakesi liko wapi??

Saasisha huyo hata kuongea tuu jana ndio kwa mara ya kwanza kufungua mdomo utafananisha na Mbowe?
Achana naye huyo mchumia Tumbo ambaye amejua kucheza na hisia za watu hafi kulifanya jina lake liwe maarufu kama la huyu jamaa wa JF anayeutwa Pascal. Wote wanatumia mbinu ya aina moja.
Wenye akili wanaweza kuliona hili, JPM ziara yake ndio ameimaliza zaidi CCM Kilimanjaro kuliko alivyoikuta.
Kiukweli jpm hajui mbinu za kisiasa na hata majina aliyoitwa na kina Kinana na Makamba hawakuwa wanamuonea. Mshamba
 
MBOWE ANAWEZA KUPATA FEDHEHA UCHAGUZI HUU

Na Thadei Ole Mushi

Mwaka huu Mh Mbowe kabla hata ya Kampeni kuanza alifanya mkutano mmoja kwenye Jimbo lake la Hai maeneo ya Tambarare akaulizwa Swali Moja na wakazi wa Tambarare kuwa umetufanyia nini kwa miaka kumi ya Ubunge? Swali lile hakuweza kulijibu na badala yake paliibuka vurugu kubwa hadi mkutano kuvurugika Kabisa.

Ni Mara Chache Sana kwa Mkoa wa Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo kukaa kwa zaidi ya miaka kumi kwenye Jimbo Hilo hilo. Nilidhani Mbowe baada ya kukutana na Swali lile la umetufanyia nini angelichukua hatua mapema ya kutafuta mrithi wa Jimbo Hilo kupitia Chadema.

Kadri Muda unavyozidi kwenda asilimia za Mbowe kurudi Bungeni zinaendelea kupungua. Mfano Kura zingepigwa leo Mafue mgombea wa CCM anashinda kwa asilimia zaidi ya 60. Ukiachana na Siasa za kiitikadi watu wa Hai wana mahitaji yao ya msingi ambayo wanataka yatimizwe au yatatuliwe.

Kwenye Urais Hali ya Mambo imeshajionyesha kuwa mshindi ni JPM, Kama nilivyowaambia kuwa Kabila la wachaga ni Opportunist wanajua kabisa kuwa kumchagua Mbowe Ni kukaa nje ya Mfumo kwa miaka mingine mitano. Watakaa nje kwa miaka mitano kwa kuwa Rais Magufuli ameshatamka wazi wazi kuwa msimu huu Ni win win Situation "Nipe Nikupe".

Itakuwa Fedheha Sana Mbowe kustaafishwa Siasa kwa kushindwa kwenye box la Kura. Dalili zipo wazi kabisa hata Lissu alipokwenda Hai Mapokezi na mikutano yake haikuwa na watu wengi. Dalili nyingine ya kushindwa ni JPM kuungwa mkono na watu wenye Ushawishi Kama Askofu Shoo. Kibaya zaidi wafanyabiashara wa Hai mwaka huu wapo kimya na shughuli zao hivyo Mbowe kabakia Mwenyewe na team yake tu.

Uchagani huwa tunasema Mangi huwa hanuniwi. Mambo si marahisi Sana Hai kama ilivyozoeleka, ule upepo wa Kaka Mbowe Kama mwaka huu hauvumi. Ujio wa JPM mkoani Kilimanjaro umeibomoa kabisa Ngome ya Upinzani.

Tusubiri tuone!

Ole Mushi
0712792602
Kwa wizi wa kura sawa lakini kwa haki..huyu mgombea wa ccm hapati kitu kwanza nani anamjua.. brand recognition is zero...Subaya's stooge
 
Jambo la msingi ni kama ulivyosema tusubiri tuone.lakini kwa nini TISS hawalali wanahangaika na database ya nec kama wapinzani ni dhaifu?
Habari iloyopo huko ndani Ni kuwa hata mzee Kuna dalili ya kupoteza Urais Hiyo ndiyo inawaumiza akili TISS,JW wao wapo Tayari kwa Rais yeyote.
 
MBOWE ANAWEZA KUPATA FEDHEHA UCHAGUZI HUU

Na Thadei Ole Mushi

Mwaka huu Mh Mbowe kabla hata ya Kampeni kuanza alifanya mkutano mmoja kwenye Jimbo lake la Hai maeneo ya Tambarare akaulizwa Swali Moja na wakazi wa Tambarare kuwa umetufanyia nini kwa miaka kumi ya Ubunge? Swali lile hakuweza kulijibu na badala yake paliibuka vurugu kubwa hadi mkutano kuvurugika Kabisa.

Ni Mara Chache Sana kwa Mkoa wa Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo kukaa kwa zaidi ya miaka kumi kwenye Jimbo Hilo hilo. Nilidhani Mbowe baada ya kukutana na Swali lile la umetufanyia nini angelichukua hatua mapema ya kutafuta mrithi wa Jimbo Hilo kupitia Chadema.

Kadri Muda unavyozidi kwenda asilimia za Mbowe kurudi Bungeni zinaendelea kupungua. Mfano Kura zingepigwa leo Mafue mgombea wa CCM anashinda kwa asilimia zaidi ya 60. Ukiachana na Siasa za kiitikadi watu wa Hai wana mahitaji yao ya msingi ambayo wanataka yatimizwe au yatatuliwe.

Kwenye Urais Hali ya Mambo imeshajionyesha kuwa mshindi ni JPM, Kama nilivyowaambia kuwa Kabila la wachaga ni Opportunist wanajua kabisa kuwa kumchagua Mbowe Ni kukaa nje ya Mfumo kwa miaka mingine mitano. Watakaa nje kwa miaka mitano kwa kuwa Rais Magufuli ameshatamka wazi wazi kuwa msimu huu Ni win win Situation "Nipe Nikupe".

Itakuwa Fedheha Sana Mbowe kustaafishwa Siasa kwa kushindwa kwenye box la Kura. Dalili zipo wazi kabisa hata Lissu alipokwenda Hai Mapokezi na mikutano yake haikuwa na watu wengi. Dalili nyingine ya kushindwa ni JPM kuungwa mkono na watu wenye Ushawishi Kama Askofu Shoo. Kibaya zaidi wafanyabiashara wa Hai mwaka huu wapo kimya na shughuli zao hivyo Mbowe kabakia Mwenyewe na team yake tu.

Uchagani huwa tunasema Mangi huwa hanuniwi. Mambo si marahisi Sana Hai kama ilivyozoeleka, ule upepo wa Kaka Mbowe Kama mwaka huu hauvumi. Ujio wa JPM mkoani Kilimanjaro umeibomoa kabisa Ngome ya Upinzani.

Tusubiri tuone!

Ole Mushi
0712792602
Umewadharau sana wachaga. Yaani unadhani wachaga ni washamba kiasi hicho mpaka waende kumlamba miguu Meko wenu??? Kilimanjaro hii hii iliyokuwa sehemu ya kwanza Tanzania kuwa na barabara ya Rami???
Sasa majibu yake utayapata hapo wiki ijayo. Wait and see
 
Tumesha liona hilo wana Hai, Mbowe ajiandae kisaikolojia ubunge hai baaasi
 
I am concerned that if election officials do not take these steps, Tanzania’s democracy will lose credibility in the eyes of the international community. More important, the declared winner may lack legitimacy in the eyes of Tanzanians themselves.

By U.S. Embassy Dar es Salaam | 22 October, 2020 | Topics: Op-Eds, Press Releases
 
Mbowe anajutia kumpa msaliti wa Nchi Lissu apeperushe bendera ya Chadema Akiwaletea Chadema hata wabunge wawili mkatambike
 
MBOWE ANAWEZA KUPATA FEDHEHA UCHAGUZI HUU

Na Thadei Ole Mushi

Mwaka huu Mh Mbowe kabla hata ya Kampeni kuanza alifanya mkutano mmoja kwenye Jimbo lake la Hai maeneo ya Tambarare akaulizwa Swali Moja na wakazi wa Tambarare kuwa umetufanyia nini kwa miaka kumi ya Ubunge? Swali lile hakuweza kulijibu na badala yake paliibuka vurugu kubwa hadi mkutano kuvurugika Kabisa.

Ni Mara Chache Sana kwa Mkoa wa Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo kukaa kwa zaidi ya miaka kumi kwenye Jimbo Hilo hilo. Nilidhani Mbowe baada ya kukutana na Swali lile la umetufanyia nini angelichukua hatua mapema ya kutafuta mrithi wa Jimbo Hilo kupitia Chadema.

Kadri Muda unavyozidi kwenda asilimia za Mbowe kurudi Bungeni zinaendelea kupungua. Mfano Kura zingepigwa leo Mafue mgombea wa CCM anashinda kwa asilimia zaidi ya 60. Ukiachana na Siasa za kiitikadi watu wa Hai wana mahitaji yao ya msingi ambayo wanataka yatimizwe au yatatuliwe.

Kwenye Urais Hali ya Mambo imeshajionyesha kuwa mshindi ni JPM, Kama nilivyowaambia kuwa Kabila la wachaga ni Opportunist wanajua kabisa kuwa kumchagua Mbowe Ni kukaa nje ya Mfumo kwa miaka mingine mitano. Watakaa nje kwa miaka mitano kwa kuwa Rais Magufuli ameshatamka wazi wazi kuwa msimu huu Ni win win Situation "Nipe Nikupe".

Itakuwa Fedheha Sana Mbowe kustaafishwa Siasa kwa kushindwa kwenye box la Kura. Dalili zipo wazi kabisa hata Lissu alipokwenda Hai Mapokezi na mikutano yake haikuwa na watu wengi. Dalili nyingine ya kushindwa ni JPM kuungwa mkono na watu wenye Ushawishi Kama Askofu Shoo. Kibaya zaidi wafanyabiashara wa Hai mwaka huu wapo kimya na shughuli zao hivyo Mbowe kabakia Mwenyewe na team yake tu.

Uchagani huwa tunasema Mangi huwa hanuniwi. Mambo si marahisi Sana Hai kama ilivyozoeleka, ule upepo wa Kaka Mbowe Kama mwaka huu hauvumi. Ujio wa JPM mkoani Kilimanjaro umeibomoa kabisa Ngome ya Upinzani.

Tusubiri tuone!

Ole Mushi
0712792602
Kwa akili matope inaonekana hivyo lakini ukweli utajulikana J5
 
Nini maana ya uchaguzi sasa kwa akili zako,kwani kushindwa ndio fedheha au?
 
..kampeni za CCM Kilimanjaro zimethibitisha kwamba Magufuli ni mbaguzi.

..Magufuli alitakiwa azungumze lugha ya upatanisho badala ya kuzungumza maneno ya vitisho, na ubaguzi.

..Wananchi walihitaji kupewa MATUMAINI, badala yake wameambulia VITISHO.

Kupatana na nani? Kwani kuna tatizo gani?
 
MBOWE ANAWEZA KUPATA FEDHEHA UCHAGUZI HUU

Na Thadei Ole Mushi

Mwaka huu Mh Mbowe kabla hata ya Kampeni kuanza alifanya mkutano mmoja kwenye Jimbo lake la Hai maeneo ya Tambarare akaulizwa Swali Moja na wakazi wa Tambarare kuwa umetufanyia nini kwa miaka kumi ya Ubunge? Swali lile hakuweza kulijibu na badala yake paliibuka vurugu kubwa hadi mkutano kuvurugika Kabisa.

Ni Mara Chache Sana kwa Mkoa wa Kilimanjaro Mbunge wa Jimbo kukaa kwa zaidi ya miaka kumi kwenye Jimbo Hilo hilo. Nilidhani Mbowe baada ya kukutana na Swali lile la umetufanyia nini angelichukua hatua mapema ya kutafuta mrithi wa Jimbo Hilo kupitia Chadema.

Kadri Muda unavyozidi kwenda asilimia za Mbowe kurudi Bungeni zinaendelea kupungua. Mfano Kura zingepigwa leo Mafue mgombea wa CCM anashinda kwa asilimia zaidi ya 60. Ukiachana na Siasa za kiitikadi watu wa Hai wana mahitaji yao ya msingi ambayo wanataka yatimizwe au yatatuliwe.

Kwenye Urais Hali ya Mambo imeshajionyesha kuwa mshindi ni JPM, Kama nilivyowaambia kuwa Kabila la wachaga ni Opportunist wanajua kabisa kuwa kumchagua Mbowe Ni kukaa nje ya Mfumo kwa miaka mingine mitano. Watakaa nje kwa miaka mitano kwa kuwa Rais Magufuli ameshatamka wazi wazi kuwa msimu huu Ni win win Situation "Nipe Nikupe".

Itakuwa Fedheha Sana Mbowe kustaafishwa Siasa kwa kushindwa kwenye box la Kura. Dalili zipo wazi kabisa hata Lissu alipokwenda Hai Mapokezi na mikutano yake haikuwa na watu wengi. Dalili nyingine ya kushindwa ni JPM kuungwa mkono na watu wenye Ushawishi Kama Askofu Shoo. Kibaya zaidi wafanyabiashara wa Hai mwaka huu wapo kimya na shughuli zao hivyo Mbowe kabakia Mwenyewe na team yake tu.

Uchagani huwa tunasema Mangi huwa hanuniwi. Mambo si marahisi Sana Hai kama ilivyozoeleka, ule upepo wa Kaka Mbowe Kama mwaka huu hauvumi. Ujio wa JPM mkoani Kilimanjaro umeibomoa kabisa Ngome ya Upinzani.

Tusubiri tuone!

Ole Mushi
0712792602
Chadema watapinga!
 
Tangu lini Polisi OCD aamue kura za mgombea wa Ubunge?
Nyie subirini matokeo 28 Okt,2020 na Ole WENU: Ole Sabaya, Ole Mushi na Ole OCD matokeo yoyote kinyume na matakwa ya Wananchi Hai VIDEO YA OCD NI EVIDENCE TOSHA ITAKAYOTUMIKA ICC KUWASHUGHULIKIA!!
Tusitishane we kama umechoka kuishi bong TZ hamia Congo huko ni kama Europe
 
Hakuna mtu yeyote kutoka ccm au polisi wa kumuangusha Mbowe Hai , chukua hii kama angalizo
Mama unachekesha na baada ya tarehe 28 0ct. sitegemei kuona una comment chochote humu maana utafedheheka na utakuwa mdogo kama piliton
 
Bukoba nao waamke. Ama waendelee kukaa nje ya mfumo au waweke hasira pembeni.
 
..kampeni za CCM Kilimanjaro zimethibitisha kwamba Magufuli ni mbaguzi.

..Magufuli alitakiwa azungumze lugha ya upatanisho badala ya kuzungumza maneno ya vitisho, na ubaguzi.

..Wananchi walihitaji kupewa MATUMAINI, badala yake wameambulia VITISHO.
Hapa ndipo tatizo lilipo. Mwenye macho huona. Ubaguzi hauna shirika na Mungu.
 
Nyie sidhani kama mnawajua wachaga. wachaga hawawezi kumpa kura eti maguful;i na kumwacha kijana wao Mbowe! Kamwe hili haliwezekeni! Kwanza utawala huu umewahujumu sana watu wa mkoa huu!
 
Back
Top Bottom