Uchaguzi 2020 Mbowe anaweza kupata fedheha Uchaguzi huu

Wewe tumeshakujua!! Unajifanya Ole Mushi kumbe ni OLE SABAYA DC mvuta bhangi!! Tunajua mchezo unaoucheza hapo Hai, tusubiri final tarehe 28 Okt,2020.
Just For your info:
Kweli kabisa. Hilo litakuwa li Ole Sabaya linakuja kwa jina la Ole Mushi. Kura hazipigwi hapa JF bali zinapigwa Hai na ukweli unajulikana wazi kuwa Mh Mbowe hana mpinzani kule Hai. Msisikilize maneno ya vijiweni. BAK Erythrocyte Elli Riz-one jingalao
 
NILIANDIKA HAPA THREAD KUSHAURI MBOWE ASIGOMBEE HAI MATOKEO YAKE WAFUASI WA CHADEMA WAKAWEKA PICHA YA MATUSI ILI THREAD IFUTWE.

MBOWE HAKUPASWA KUHANGAIKA NA UBUNGE WAKATI NAIBU WAKE NDIO MGOMBEA URAIS, AMEONESHA UDHAIFU NA UBINAFSI. CCM WALIFURAHIA SANA HILI JAMBO. MISCALCULATION YA KIPUUZI
 
MwanaKulitaka MwanaKulipata😆😆😆😆
 
nlikua napitia pitia youtube nkakutana na hii comment, kweli chadema mmefikia apa?
 
Jambo la msingi ni kama ulivyosema tusubiri tuone.lakini kwa nini TISS hawalali wanahangaika na database ya nec kama wapinzani ni dhaifu?
Ni haki yako kunena unachofikiri ila usizisemee taasisi. Ni hatari kwako pia
 
Ni ule wenye makada wa ccm au mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…