Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

mtoto wa mchungaji

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2020
Posts
279
Reaction score
480
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.

Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa? Na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
Acha mambo Yako we timu bambikizi .
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
Kitu kizito kipo, huyo shahidi wenu hamna kitu ,ataomba maji ya kunywa Sio muda, vyovyote vile hapigiwi mtu magoti
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.
Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa ??? !!! na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
Yaani unambambikia mtu kesi, ili baadae aje magoti! Sisi tunataka tuone namna kile kibibi chako kitakavyo kuja kuumbuka baada ya kulishwa matango pori na wachumia tumbo wake.
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.
Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa ??? !!! na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
“Mama ni kama Mungu wa nchi hii”?! Una wazimu wewe siyo bure.
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.
Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa ??? !!! na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
Utumwa wa kizanzibari huo, Mbowe Mandela!
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.
Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa ??? !!! na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
Ushauri wa kimalaya kabisa huu. Hii kesi iendelee hivi ili mzidi kuvuliwa nguo hadharani. CCM ni Chama Cha kipumbavu sana.
 
Siajuia kunahekima gani, kwa mtu mwenye akili ukubali umpigie magoti juha kWa vile tu juha siku hiyo ameshika fimbo mkononi. Wenye akili wanastahili kumdhibiti juha ili asiwadhuru watu na siyo kumshangilia.
 
Ushauri mzuri umetoa kiburi si ugwana na ukishindana na aliyeshika mpini na makali wewe uliyeshika kwenye makali utakatwa tu
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
Nidokeze, naona niko nyuma ya wakati. Kuna voice ya mazungumzo ya kishenzi kama hayo toka kwa Mbowe? can we hear what he said/commanded to be done?
 
Back
Top Bottom