Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

Mbowe anisikilize mimi na si yule mzungu, apige magoti chini kwa mama aje tujenge nchi Taifa linahitaji mchango wake

nyerere ,mwinyi ,mkapa ,kikwete ,magufuli jenerali wote hawakuona mbowe gaidi bimkubwa sikumbili ofisini akagundua ugaidi wa mbowe
 
Huna akili kabisa, kuna Mungu wa nchi, anaweza kuumba hata sisimizi huyo mungu wako.

Usicheze na jina la Mungu kipumbavu hivyo. Hujui kwamba mbele za Mungu huyo Samia ni takataka tu ya kutupwa jalalani.

Stop blaspheming name of the Almighty God.
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
Ni mpuuzi, mbwa, mshenzi, taahira na kichaa tu akayeamini uoumbavu wa yule mpumbavu
 
Huna akili kabisa, kuna Mungu wa nchi, anaweza kuumba hata sisimizi huyo mungu wako.

Usicheze na jina la Mungu kipumbavu hivyo. Hujui kwamba mbele za Mungu huyo Samia ni takataka tu ya kutupwa jalalani.

Stop blaspheming name of the Almighty God.
Usiilimiti akili yako, utakaa hapa duniani hadi ufe utomuona huyo Olumaiti God lakini utamwona Mungu kupitia watu kasome bibli utaelewa.
 
Ushauri mzuri umetoa kiburi si ugwana na ukishindana na aliyeshika mpini na makali wewe uliyeshika kwenye makali utakatwa tu

Ni ushauri bora katika matukio ya kawaida kama ya ugomvi wa watu (individuals) mitaani.

Lakini mpambano uliopo hapa unatambulika kama a HIGH STAKES CLASH. Kule kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA tu Mbowe tayari alishatangaza vita na utawala wa kidikteta wa CCM. Ni ile aina ya vita ambayo ama ushinde au utoweke. Kuumizwa sio suala. Kinachopiganiwa ni high ideals. Ni zaidi ya uhai wa mtu mmoja au kikundi cha watu.

Ben Saanane na Lissu wameshalipa gharama kubwa ya upinzani. Si mara ya kwanza Mbowe na wengine huko CHADEMA kupata tabu kwa msimamo wao waliochagua kuutetea kwa nguvu zote. Leo hii itashangaza sana kama Mbowe atapiga magoti eti kuogopa kukatwa na kisu. Utakuwa usaliti mkubwa.
 
Leo chadomo wamepigwa na kitu chenye ncha kali wametulia kama hawapo

Hivi technology ya sasa ni ile ya kupanga mauji kindezi vile unapiga na masimu unatoa na amri kwa simu watu wanadaka voice note na umesajili line kwa jina lako na simu yako na IMEI

Kumbe mbowe ni kilaza kiasi hiki

USSR
Shuleni alipata div 0 kwani hujui?
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.

Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa? Na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
Mama wa watu ajadili na mtuhumiwa wa Ugaidi. Ngoja kesi imalizike kwanza
 
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri.

Kwa hari tulipo sasa tunakaribia kuingia katika pointi ofu no ritani, hivyo mwenyekiti na kiongozi wetu wa chama taifa Mhs. Aikael Freeman Mbowe akubali kushuka chini kwa kumpigia mama magoti kwani kwa msiofahamu kwa mujibu wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania mama ni kama mungu wa nchi hii ananguvu katika mihimili yote.

Kutii mamlaka ni agizo la Mungu hivyo mimi kama mtoto wa mchungaji sioni haja ya kuisumbua mahakama ngoma irudishwe mezani, kwani hakuna lisilowezakana chini ya jua yote yanawezekana ushauri wa yule mama mzungu wa donti givi apu mimi ninaukataa kwa jina la Yesu kwani umejaa? Na uchochezi na kupoteza mtu. Biblia inasema kuwa tumepungukiwa utukufuku hivyo mi natofautiana na wenzangu wanaomwona Mbowe kama malaika kwani hata ukiingiza gari mpya barabarani trafiki akikukamata na kuanza kukukagua lazima tu atapata kosa tu.

Kama Mbowe atakubali kushuka na kurudi mezani kwa mama na kujenga fito mmoja na si kugawana fito itakuwa historia imeandikwa na wazungu watachanganyikiwa na litakuwa taifa pekee Afrika linaloanza kujitambu kutoka utumwa wa kiakili. Na hili likifanyika katika kilele cha miaka 60 ya uhuru yaani Ufipa na Lumumba meza moja.
Hivi mchungaji alishindwaje kumpeleka manae shule!
 
Yaan aache kumpigia magoyi Mungu akampigie binadamu? Ww utakua sio mzima.
 
Imeandikwa msiwaogope wauao mwili wasiue na roho Bali yule awezaye kuua mwili na roho na kukutupa jehanamu.
 
S
Kitu kizito kipo, huyo shahidi wenu hamna kitu ,ataomba maji ya kunywa Sio muda, vyovyote vile hapigiwi mtu magoti,
Jambo litakalo muokoa mbowe, ile namba isiwe yake na zile pesa alokuwa anamtumia iwe ni uongo na voice talking isiwe kweli,
Vinginevyo atapata tabu sana, iweje yeye Chadema amilipe mtu wa CCM tena kibarua wa mgonvi wake kwa mambo yasiyojulikana?
Hapo ndipo mtatupa majibu
 
Ukombozi huja kwa watu kujotoa mhanga.
Mbowe amejitoa kwa kizazi hiki cha chama cha mazuzu
 
Back
Top Bottom