Mbowe aondolewe kwa nguvu kama mwenyekiti wa CHADEMA. Amezoea kufanya biashara za kisiasa, hafai

Nyumbu kaeni mtulie na hilo chama Saccos.
Huyo haondoki kumbuka chama cha mkwewe wanalamba ruzuku tu nyie mtaambulia mate na makelele tu mil 890+ kila mwezi wao wanatafuna tu
 
Nyumbu kaeni mtulie na hilo chama Saccos.
Huyo haondoki kumbuka chama cha mkwewe wanalamba ruzuku tu nyie mtaambulia mate na makelele tu mil 890+ kila mwezi wao wanatafuna tu

Nyumbu matako yako. Punguza kuvuta bangi chooni utawehuka.
 
Mzee wa legacy 🤣🤣🤣 kamanda usiechoka kutoka viunga vya chatlle!!
 
Wewe Kamanda Aliyechoka tunakufahamu vizuri. Wewe si mwenzetu bali kwenu ni Lumumba. Mbona huwasemi John Momose Cheyo na Prof Lipumba ambao wamekuwa wenyeviti wa vyama vyao kwa vipindi virefu kuliko Mbowe?. Sis wanachama damu wa CDM tuna imani na Kamanda Mbowe. Msituingilie!
 
Mbowe hana tofauti na Raila Odinga, as long as ukihakikisha maslahi yake binafsi yanazingatiwa wala hakusumbui.
 
Wanachama waandamane na kutaka Demokrasia kwenye chama chao. CHADEMA wawe mfano wa DEMOKRASIA
 
Straightforward questions:
  • Hivi kwanini Sukuma gang ndiyo wanaumizwa na Mbowe kuwa mwenyekiti CDM ilhali watu/wanachama/supporters wa CDM wanang'ang'ania aendelee?
  • Watu wa CDM wanafaidika nini na Mbowe kuwa mwenyekiti na Sukuma gang wanaathirika nini katika harakati zao za kisiasa Mbowe anapoendelea kuwa mwenyekiti wa CDM?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…