Pre GE2025 Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Pre GE2025 Mbowe arudisha fomu ya kugombea Uenyekiti CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo ndio maana hutaki uchaguzi, unataka mgombea apite bila kupingwa, asipigiwe kura? Wagombeaji wanafahamu nani anapiga kura na nani apigi, wanafahamu taratibu za uchaguzi na wasimamizi wa uchaguzi. Usianze kujenga hoja mfu kwasababu unahisi mgombea fulani atashinda.

Huyo mnayemtaka ata akishinda mtakuja na visingizio tu.

Kulalamika ni sehemu ya maisha yenu.
Kwanza wewe moja kwa moja utakuwa ni mpuuzi; umeona wapi nikisema "sitaki uchaguzi";
Unao uwezo wa kusoma na kuelewa kilicho andikwa?

Mtu wa aina yako; unaye amini CCM imeshinda kihalali kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, siwezi kupoteza nguvu zangu na wakati kujaribu kukuelewesha chochote, kwa sababu akili zipo tumboni.
 
Kwanza wewe moja kwa moja utakuwa ni mpuuzi; umeona wapi nikisema "sitaki uchaguzi";
Unao uwezo wa kusoma na kuelewa kilicho andikwa?

Mtu wa aina yako; unaye amini CCM imeshinda kihalali kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, siwezi kupoteza nguvu zangu na wakati kujaribu kukuelewesha chochote, kwa sababu akili zipo tumboni.
Huna akili alafu unadhani unazo. Unaandika upuuzi halafu unata ujibiwe.

"Tafuta nilipoandika naamini ccm imeshinda kihalali uchaguzi wa serikali za mitaa" ndio ulete urgument zako unaoko wapi sijui, unazileta humu halafu unatafuta wa kubishana naye, halafu unajiona mzima na unaakili.

Soma ilichokiandika mwanzo, na ulichokianfika sasa, kisha rudia kusoma nilichokiandika, utajiona usivyojua kujenga hoja na hujui kujibu hoja. Halafu unajiona unavijiakili sijui hata unadanganywa na nani?

Mjadala umeukuta, ukaudandia kwa emotions zako, ukaleta visivyokuwemo, ukataka nivijibu, sikujibu, una rudia yale yale, eti naamini ccm walishinda kihalali, wapu nimeandika hayo?
 
Mjadala umeukuta, ukaudandia kwa emotions zako, ukaleta visivyokuwemo, ukataka nivijibu, sikujibu, una rudia yale yale, eti naamini ccm walishinda kihalali, wapu nimeandika hayo?
Kwani Mbowe huoni alisha anga mikakati ile ile inayo tumika CCM kujitangaza mshindi?
Wewe akili yako imelala sehemu moja haina uwezo wa kuanuka na kuona kinacho linganishwa?

Chaguzi za wenye viti wa kanda zote Mbowe amekuwa akianga safu yake; hao kuna jambo gani gumu kulielewa. Lakini amoja na hayo yote, akiweo na utdhibiti wa mwenendo mzuroi wa uchaguzi; Mbowe kamwe hawezi tena kushinda kura ndani ya CHADEMA.
Hilo ndilo usilo taka kulisikia na kulielewa.

Tambua tu, ninao kutana na watu wauuzi aina yako, huwa siwaachi; kwa hiyo tuo amoja sana kila nikiona ujinga unaoweka humu JF ni lazima niunyooshe.
 
Kwani Mbowe huoni alisha anga mikakati ile ile inayo tumika CCM kujitangaza mshindi?
Wewe akili yako imelala sehemu moja haina uwezo wa kuanuka na kuona kinacho linganishwa?

Chaguzi za wenye viti wa kanda zote Mbowe amekuwa akianga safu yake; hao kuna jambo gani gumu kulielewa. Lakini amoja na hayo yote, akiweo na utdhibiti wa mwenendo mzuroi wa uchaguzi; Mbowe kamwe hawezi tena kushinda kura ndani ya CHADEMA.
Hilo ndilo usilo taka kulisikia na kulielewa.

Tambua tu, ninao kutana na watu wauuzi aina yako, huwa siwaachi; kwa hiyo tuo amoja sana kila nikiona ujinga unaoweka humu JF ni lazima niunyooshe.
HIyo mipango ya ushindi iko wapi?
Yeye ndiye alikuwa mwenyekiti, hao wanaochaguliwa huko kwenye kanda kama ni recruit wake ni sawa, anajenga chama.

Sasa ulitaka nani awatafute wagombea huko kwenye kanda?
WEwe huoni zinapofika chaguzi kila chama kina tafuta wagombea?

Hivyo ulitaka nani awatafute wagombea huko kwenye kanda, au ulitaka wasiwepo, nani angekuwa mpiga kura?

kama huutaki utaratibu huo, badirisheni katiba, ili mpate mnachotaka.

Lisu aliingia kwenye uchaguzi hayo yote anayafahamu, na alikuwa mtaalam wa sheria wa chama muda mrefu kabla hajawa makamu mwenyekiti, lakini hajalalamika, ila wewe unajua zaidi.

Acheni uoga, tusubiri uchaguzi na matokeo.

Hivyo Lisu akishinda, utakataa matomeo, kwa mtizamo wako huo?
 
HIyo mipango ya ushindi iko wapi?
Yeye ndiye alikuwa mwenyekiti, hao wanaochaguliwa huko kwenye kanda kama ni recruit wake ni sawa, anajenga chama.
Anajenga chama cha ufisadi.
Yeye anajenga chama cha kujinufaisha mwenyewe?
 
HIyo mipango ya ushindi iko wapi?
Yeye ndiye alikuwa mwenyekiti, hao wanaochaguliwa huko kwenye kanda kama ni recruit wake ni sawa, anajenga chama.

Sasa ulitaka nani awatafute wagombea huko kwenye kanda?
WEwe huoni zinapofika chaguzi kila chama kina tafuta wagombea?

Hivyo ulitaka nani awatafute wagombea huko kwenye kanda, au ulitaka wasiwepo, nani angekuwa mpiga kura?

kama huutaki utaratibu huo, badirisheni katiba, ili mpate mnachotaka.

Lisu aliingia kwenye uchaguzi hayo yote anayafahamu, na alikuwa mtaalam wa sheria wa chama muda mrefu kabla hajawa makamu mwenyekiti, lakini hajalalamika, ila wewe unajua zaidi.

Acheni uoga, tusubiri uchaguzi na matokeo.

Hivyo Lisu akishinda, utakataa matomeo, kwa mtizamo wako huo?
Mkuu 'Nanye'; haya yote unayo sema haa sasa hayatasaidia kitu.

Kinacho subiriwa tu ni uchaguzi "HURU na wa HAKI"; ambao umekwisha elezwa, kwenye uchaguzi wa namna hiyo, hakuna yeyote atakaye lalamika wala kulalamikiwa.

Kama 'sponsors' wa Mbowe (Samia na genge lake), hawataingilia kuchafua uchaguzi huu; Mbowe hana nafasi tena ya kuendelea kuiongoza CHADEMAtena.
Kwa hiyo sasa tuvute tu subira, mambo yatajirekebisha yenyewe. y
 
Mkuu 'Nanye'; haya yote unayo sema haa sasa hayatasaidia kitu.

Kinacho subiriwa tu ni uchaguzi "HURU na wa HAKI"; ambao umekwisha elezwa, kwenye uchaguzi wa namna hiyo, hakuna yeyote atakaye lalamika wala kulalamikiwa.

Kama 'sponsors' wa Mbowe (Samia na genge lake), hawataingilia kuchafua uchaguzi huu; Mbowe hana nafasi tena ya kuendelea kuiongoza CHADEMAtena.
Kwa hiyo sasa tuvute tu subira, mambo yatajirekebisha yenyewe. y
Vyovyote iwavyo, uchaguzi ndio utakao amua mshindi, chadema siyo ccm, hakuna figisu mle ndani.

Tutulie wafanye kampeni zao na uchaguzi ufanyike, kura zitaamua.

Msianze habari ya Mbowe na genge lake, hiyo ni kutokujiamini.
 
Anajenga chama cha ufisadi.
Yeye anajenga chama cha kujinufaisha mwenyewe?
Kwani ulitaka ajenge nani hicho chama?

CHama gani cha ufisadi, na ufisadi gani ambao hamna ushahidi nao?

Katiba ya chadema inampa mwenyekiti privallage fulani na ni wajibu kuzitekeleza, hakufanya kama Mbowe bali mwenyekiti wa chadema.
 
Msianze habari ya Mbowe na genge lake, hiyo ni kutokujiamini.
Hili siyo swala la "kutojiamini" hata kidogo.
Wewe na mimi tunaujuwa vyema uwezo wa CCM na vyombo vyake katika maswala kama haya.
Na jambo ambalo halikujificha hadi sasa ni jinsi Mbowe anavyo tegemewa kubaki madarakani na hao marafiki zake wa CCM. Hili lio wazi.

Kwa hiyo, wakati tukiendelea kuwa na matumaini ya uweo wa UHURU na HAKI kwa wana CHADEMA kuamua hatma ya chama chao; katu hatuwezi kuondokwa na wasiwasi wa washirika wa Mbowe kuvuruga uchaguzi wakiona 'roject' yao inaingia matatani.
Hili hata ulikane, ni jambo ambalo linatia hofu kubwa kwa waebnda mabadiliko.
 
Kwani ulitaka ajenge nani hicho chama?

CHama gani cha ufisadi, na ufisadi gani ambao hamna ushahidi nao?

Katiba ya chadema inampa mwenyekiti privallage fulani na ni wajibu kuzitekeleza, hakufanya kama Mbowe bali mwenyekiti wa chadema.
Chama cha siasa hakijengwi na mtu mmoja.

Hata hivyo, sitapenda kumwondolea Mbowe sifa alizo zistahili kama kiongozi wa CHADEMA kwa juhudi zake alizo zifanya huko nyuma kabla hajanaswa kwenye mitego ya wajanja, akina Samia.
Mbowe kajivuruga sana kuingia kwenye mitego ya kijinga kabisa na kusahau malengo ya chama aliyo yapigania kwa muda mrefu. Amejiondolea heshima aliyo ijenga kwa muda mrefu na kwa maumivu makubwa..
 
Hili siyo swala la "kutojiamini" hata kidogo.
Wewe na mimi tunaujuwa vyema uwezo wa CCM na vyombo vyake katika maswala kama haya.
Na jambo ambalo halikujificha hadi sasa ni jinsi Mbowe anavyo tegemewa kubaki madarakani na hao marafiki zake wa CCM. Hili lio wazi.

Kwa hiyo, wakati tukiendelea kuwa na matumaini ya uweo wa UHURU na HAKI kwa wana CHADEMA kuamua hatma ya chama chao; katu hatuwezi kuondokwa na wasiwasi wa washirika wa Mbowe kuvuruga uchaguzi wakiona 'roject' yao inaingia matatani.
Hili hata ulikane, ni jambo ambalo linatia hofu kubwa kwa waebnda mabadiliko.
Huo wasi wasi unao wewe, na hakuna usgahidi kwamba ccm wanamtaka Mbowe abakie kwenye nafadi hiyo, hayo maneno yako tu, hakuna uwazi kwenye hilo, uwazi uliopo ni hisia zako tu.
Mabadiriko hsyaji kwa kumdingizia mtu uongo, tutafute namna bora ya kutokumkubali mtu, au la ulete ushahidi, tuachane na hisia.

Lisu anaufahamu utaratibu wote wa uchaguzi hadi wanaoshiriki kupiga kura, lakini alichukuwa fomu na akagombea. Yeye hana wasiwasi, ila wewe na wapambe wake, hamtulii kuanzisha taarifa hata hazipo.

Lisu anaweza kushinda, hivyo acheni wasiwasi, tulieni afanye kampeni awafikie wajumbe, kisha wataamua.

Mbowe siyo Mungu ni binadamu.
 
Huo wasi wasi unao wewe, na hakuna usgahidi kwamba ccm wanamtaka Mbowe abakie kwenye nafadi hiyo, hayo maneno yako tu, hakuna uwazi kwenye hilo, uwazi uliopo ni hisia zako tu.
CCM, 'specifically' Samia, amewekeza sana kwa Mbowe kwa matumaini ya kumwezesha yeye Samia kubaki madarakani. Hili lipo wazi
Haya mengine tutabaki na mizunguko tu ya kuyajadili; lakini la muhimu ni hilo moja. Mbowe kwa sasa hivi ni 'project' muhimu sana ya Samia.
 
Chama cha siasa hakijengwi na mtu mmoja.

Hata hivyo, sitapenda kumwondolea Mbowe sifa alizo zistahili kama kiongozi wa CHADEMA kwa juhudi zake alizo zifanya huko nyuma kabla hajanaswa kwenye mitego ya wajanja, akina Samia.
Mbowe kajivuruga sana kuingia kwenye mitego ya kijinga kabisa na kusahau malengo ya chama aliyo yapigania kwa muda mrefu. Amejiondolea heshima aliyo ijenga kwa muda mrefu na kwa maumivu makubwa..
Mbowe bado ana heshoma yake, hiyo unayomuondolea ni wewe tu kwa mitizamo yako.

Kuna vyama 19 vilivyosajiriwa, lakini Mbowe tu ndiye anayeharibu chama, sasa aluyekijenga ni nani?

Huyo Lisu angekuwa CHAUMA angepata umaarufu alionao, au mnapoamua kumkataa mtu huwa mnaziba macho na akili kabisa?

Kwanini Samia asimuhonge Zitto, au Lipumba?
 
CCM, 'specifically' Samia, amewekeza sana kwa Mbowe kwa matumaini ya kumwezesha yeye Samia kubaki madarakani. Hili lipo wazi
Haya mengine tutabaki na mizunguko tu ya kuyajadili; lakini la muhimu ni hilo moja. Mbowe kwa sasa hivi ni 'project' muhimu sana ya Samia.
Wewe una shida sana, yani unaamini Samia anakaa madarakani kwa Ridhaa ya Mbowe?

Yaani mechanism ya ccm yote inamtegemea Mbowe ili Samia abakie madarakani?

Polisi, Tume ya uchaguzi, wakurugenzi, usalama wa taifa wote wanapojea amri kutoka kwa Mbowe?

Huyu Mbowe mnamkuza sana, hana lolote naye ni surviver tu, ila ana bidii.
Naye anaweza kushindwa vile vile.
 
Mbowe bado ana heshoma yake, hiyo unayomuondolea ni wewe tu kwa mitizamo yako.

Kuna vyama 19 vilivyosajiriwa, lakini Mbowe tu ndiye anayeharibu chama, sasa aluyekijenga ni nani?

Huyo Lisu angekuwa CHAUMA angepata umaarufu alionao, au mnapoamua kumkataa mtu huwa mnaziba macho na akili kabisa?

Kwanini Samia asimuhonge Zitto, au Lipumba?
Dah, naona sasa unatafuta kunichosha tu mkuu 'Nanye'. Mbona unauliza maswali ya ajabu haya. Lipumba na Zitto wana tishio gani kwa Samia kubaki madarakani?

CHADEMA ilikuwa tishio kabla ya Mbowe kuvurugwa; na CHADEMA itakuwa tishio zaidi wakati huu bila uwepo wa Mbowe, ndiyo sababu ni muhimu Mbowe aendelee kuwepo chamani kama Mwenyekiti.
 
Dah, naona sasa unatafuta kunichosha tu mkuu 'Nanye'. Mbona unauliza maswali ya ajabu haya. Lipumba na Zitto wana tishio gani kwa Samia kubaki madarakani?

CHADEMA ilikuwa tishio kabla ya Mbowe kuvurugwa; na CHADEMA itakuwa tishio zaidi wakati huu bila uwepo wa Mbowe, ndiyo sababu ni muhimu Mbowe aendelee kuwepo chamani kama Mwenyekiti.
Wakati CHADEMA ilipokuwa tishio nani alikuwa mwenyekiti?
Uchaguzi unaganyika tutulie tiache hisia za Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti, bali tusubiri mshindi.
 
Wewe una shida sana, yani unaamini Samia anakaa madarakani kwa Ridhaa ya Mbowe?

Yaani mechanism ya ccm yote inamtegemea Mbowe ili Samia abakie madarakani?

Polisi, Tume ya uchaguzi, wakurugenzi, usalama wa taifa wote wanapojea amri kutoka kwa Mbowe?

Huyu Mbowe mnamkuza sana, hana lolote naye ni surviver tu, ila ana bidii.
Naye anaweza kushindwa vile vile.
Sijui kama nimekwisha kueleza humu tokea tumeanza; kwamba wewe ni mtu unaye tazama mambo juu juu; huna upeo wa kudadizi na kuona kinacho tengenezwa. Unasubiri hadi uone matokeo ndipo uanze kuchambua ilivyo tokea! Hilo ni tatizo.
 
Back
Top Bottom