Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Sasa wewe utaishi milele?Ndo maana wakati mwingine nafurahiaga kuwaona wanaccm na wadhamini wao wa kampeni (mabilionea) wakifa kwa kwa CORONA.
#Live longer COVID 19
Kinachofuatia hapo ni kuvurugika kisaikolojia mpaka watakapokata tamaa kabisa, ogopa unaambiwa kesho mahakamani , ghafla unaambiwa hauendi gari hazipo sawa na huna chochote cha kuwafanya… mala zoom network ipo low… yaani jamaa angechutama tu asubiri hekima za Mama, kukaza na huku unamakandokando yako ni kubaya..yaani watapata shida sana kesi hizi haziishi leo wala kesho watu wazoee tu maisha yaendelee mifano ipo mingi kwa kesi kama hizi kuchukua miaka
Duh...hii kali sanaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kesi ya sabaya hii ya sasa ni ndogo sana bado ya uhijumu uchumi nakuambia hii kesi siyo ya kisha leo wala kesho mbowe pia lazima miaka ikatike yaani mbona mnamsahau muda siyo mrefu na hivi tz tunaishi kutokana na matukio litakuja tukio lingine mbowe tunakuwa tuna msoma kwenye magazeti tu hivi uliona leo kama kulikuwa na watu wanajikusanya tena kwenda mahakamani?kesi ya sabaya week nzima hii inaridima na leo wanaanza kujibu shutuma zao.
Muwe mnashirikisha ubongo kabla hamjaanza kudemka nyimbo mlizotunga wenyewe alafu mnasahau ubeti wa pili.
Kwa mazingira hayo kesi hainabudi kuahirishwa hadi magari yatengenezwe na pia kielektronik imeshindikana kutokana na vifaa husika kuunganisha kutokuwepo au kujitosheleza.
Haikuhusu.Sasa wewe utaishi milele?
hiyo ndiyo busara alitakiwa aifanye lakini hawa chadema wanajifanya wajuaji na wameshaanza kukata pumzi yaani leo kulikuwa hamna hata shamrashamra za watu kwenda mahakamaniKinachofuatia hapo ni kuvurugika kisaikolojia mpaka watakaokata tamaa kabisa, ogopa unaambiwa kesho mahakamani umeshajipanga ghafla unaambiwa hauendi gari hazipo sawa na huna chochote cha kuwafanya… mala zoom network ipo low… yaani jamaa angechutama tu asubiri hekima za Mama, kukaza na huku unamakandokando yako ni kubaya..
HIYO MPAKA MIAKA MITANO ITAISHA KWA MTINDO HUO JAMAA AYAZOEE TU MAISHA YA SERO NDIYO NYUMBANI KWAKE KWA SASA
Kwani kuna shida gani ikiisha haraka mkuu? Usifurahie dhuluma kaka. Usifurahie kuona binadamu mwenzio akitendewa dhuluma.hakuna kesi ya kubambiaka ushahidi upo ila kesi haiwezi kwisha haraka kama unavyofikiri
Kamwe,shujaa huwa hachutami kuomba huruma ya mtesi,daima atasimama kwa ajili ya Wana wa nchi hii.Kinachofuatia hapo ni kuvurugika kisaikolojia mpaka watakapokata tamaa kabisa, ogopa unaambiwa kesho mahakamani , ghafla unaambiwa hauendi gari hazipo sawa na huna chochote cha kuwafanya… mala zoom network ipo low… yaani jamaa angechutama tu asubiri hekima za Mama, kukaza na huku unamakandokando yako ni kubaya..
Kesi za ugaidi azijawahi kuisha mapemahii ni ishara kuwa kesi ni ya kubambikia.
Hakuna jambo zuri zaidi ya kumuona adui yako akianguka, kwa ufupi mateso yao ni faraja kwetu. Ikitokea kwa ndugu yangu nitasikitika.AKIJA KUPATA NDUGUYAKO WA KARIBU AU WEWE MWENYEWE NDIYO UTAKUJA KUIHESHIMU HIYO CORONA
ETI, magari yote mpaka yanayowapeleka wake za maafisa wao saluni, yamaharibika kwa mpigo.