radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,440
- 32,260
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Kumbe mtoa hukumu ni magufuli naona mnaanza kutoa siri kwamba mahakama zipo mfukoni mwa mzee wa chato