Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Muongo mkubwa! Ungekuwa masijala panapohusika hii isingekuwa tetesi.
By the way: 1. hakuna afanyawe masijala anayeweza kuja jianika hapa kama ulivyofanya
2. Idadi ya nyuzi ulizoanzisha hapa zinatosha kuonyesha uko kazini na unalipwa kwa hili. Hivyo, endelea na kazi yako!
Bora umeliona hili... kifupi tu huyu kijana ameuza akili
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Hongera kwa kutumia masaburi kufikiri
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Ahsante sana kwa tamthilia yako. Kwa kweli ina dhamira moja tu, nayo ni mtokeje baada ya kushindwa kuyanywa mliyoyakoroga.

Mfungeni tu maana yeye ajuaye haki ndiye atamtetea kwa haki. Kimungu chenu kule magogoni kinahaha baada ya kukorogo hata kinyesi.
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL

FAKE NEWS!!! kama unajua maana yake?
 
Sasa utajuaje uhusika wa kuadimika condom kwenye mada ya Mbowe ilhali umekabidhi kichwa na akili zako kwa polepole hapo balazani... itakuwa ajabu sana ulikijua hili.!!

Ila wenzako waliosmart na akili zao hazijakeremishwa kama wewe, wanajua kuwa kuadimika kwa vifaa hivyo ni matokeo ya kuminywa kwa ruzuku iliyokuwa ikipata Tanzania kwa wafadhili ambayo kwa kiasi kikubwa kumesababishwa na kuminywa kwa demokrasia, haki ya kujieleza na kesi kama hizo za kina Mbowe kwa upinzani...

Sasa bata kama wewe unadhani polepole atakuambia uyajue haya... wewe unachotakiwa kujua ni kwamba Mbowe ni Fisadi, kuwadi wa Mabeberu, Gaidi na mambo kama hayo... tofauti na hivyo uwepo wako duniani kama binadamu utakuwa shakani..

Sepaaaaaaaa.....

BACK TANGANYIKA
Sasa Condom zinahusika vipi ktk issue ya Mbowe? Wee nae kumbe jinga sana wewe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani azoee tu, kuna watu wangapi wapo mahabusu kwa kukeuka taratibu za mahakama? Aendelee kusota ili liwe fundisho la kutenganisha uadilifu na uongo

be carefully, u never know for tomorrow, a coin has two sides
 
Nimefungwa kwa ajili ya kuwapigania waTz leo nimefungwa sioni mTz hata mmoja alienipigania sasa si bora nimuombe msamaha mhe then nijiunge kwenye chama la wana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi hauna ushahidi lakini unaachwa tu. Hivi na mimi nikiandika Magufuli aomba poo kwa kuwaandikia Accasia barua ya siri. Source masijala eneo muhimu uzi utaachwa?
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL

Wasiojulikana mna taabu sana mkuu. Yaani Lumumba mnajifurahiusha kwa kuleta uzi wa kipuuzi mjazane ku comment upuuzi. Y alisu yamewashinda, pamoja na serekali yenu hamjatoa majibu yeyote kwa tuhuma zake dhidi yenu hadi leo. Mkuu katafute cha kufanya kuliko kutuletea tetesi za kipumbavu. Hivi hizo buku saba mnazopewa zinawafanya muandike chochote kile au sio?
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Nakuapia Jiwe akiandikiwa kimemo/barua ya aina hiyo ataitangaza live kwenye TBC. Kama aliweza kuzisoma na kuziweka wazi za wale waliokuwa wanampigia magoti wakimwomba msamaha huko CCM akina Sophia Simba, aache kuitisha press conference kwa barua ya Mbowe?

Watu wa CCM mna vituko sana.
 
Back
Top Bottom