Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,652
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umeliona hili... kifupi tu huyu kijana ameuza akiliMuongo mkubwa! Ungekuwa masijala panapohusika hii isingekuwa tetesi.
By the way: 1. hakuna afanyawe masijala anayeweza kuja jianika hapa kama ulivyofanya
2. Idadi ya nyuzi ulizoanzisha hapa zinatosha kuonyesha uko kazini na unalipwa kwa hili. Hivyo, endelea na kazi yako!
Hongera kwa kutumia masaburi kufikiriKupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Ahsante sana kwa tamthilia yako. Kwa kweli ina dhamira moja tu, nayo ni mtokeje baada ya kushindwa kuyanywa mliyoyakoroga.Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Sasa Condom zinahusika vipi ktk issue ya Mbowe? Wee nae kumbe jinga sana wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani azoee tu, kuna watu wangapi wapo mahabusu kwa kukeuka taratibu za mahakama? Aendelee kusota ili liwe fundisho la kutenganisha uadilifu na uongo
kwa kosa la kukiuka masharti ya dhamana, au kuja jingine?wamhukumu kunyongwa
Sisi tunalilia mambo ya maana wewe unalilia condom, tumia vile vifuko laini, nonsense
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Nakuapia Jiwe akiandikiwa kimemo/barua ya aina hiyo ataitangaza live kwenye TBC. Kama aliweza kuzisoma na kuziweka wazi za wale waliokuwa wanampigia magoti wakimwomba msamaha huko CCM akina Sophia Simba, aache kuitisha press conference kwa barua ya Mbowe?Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais
Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,
Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,
MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA
Source niko masijala ya sehem muhimu - husika
BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL