Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL

Kumbe mtoa hukumu ni magufuli naona mnaanza kutoa siri kwamba mahakama zipo mfukoni mwa mzee wa chato
 
huo ni ujinga wa mbowe badala ya kuandika barua kwa jaji mkuu au mahakamani anaipeleka kusiko husika, ndo maana nasema hakuna changes zozote zitatokea maana hata Magufuli hana la kufanya kwa ishu ya Mbowe
Pumbavu kabisa wewe... kwahiyo hao wafungwa wanaomwandikia hivyo vimemo huyo magufuli huwa wanamuandikia vya mapenzi sio!? Kama huwa haiingilii huo uhuru wa mahakama kwanini hao mahabusu na wafungwa wamuandikie vimemo? Unadhani wanataka nini kwake? Acheni kujiabisha na kumuaibisha huyo rais wenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huo ni ujinga wa mbowe badala ya kuandika barua kwa jaji mkuu au mahakamani anaipeleka kusiko husika, ndo maana nasema hakuna changes zozote zitatokea maana hata Magufuli hana la kufanya kwa ishu ya Mbowe

Sio ujinga kagundua mahakama ipo chini ya mzee wa chato kule mahakamani ni mashati tu kuna vitu huwa mnaanzisha hamjui impact yake mnatuonesha sasa udhaifu wa mahakama wenyewe wagonga meza
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Lumumbaaaaa karambe buku 7
 
Kutuma kimemo si mbaya ila tunamuomba Mh. Rais asiingilie mhimili wa Mahakama ili uweze kutenda haki haiwezekani adharau mahakama huruma akaombe serikali kuu tafadhali Mh. Rais potezea apate haki yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods nadhani Ni vema mleta mada akatendewa Haki kwa kuleta habari za uongo humu. Huyu Ni pumbav.u Kama wengine wa Aina Yake. Mods tendeni Haki, Hakuna Ushahidi wowote wa alichokileta hapa. Na threads zake nyingine zimeshatufumbua macho huyu Ni mtu wa namna gani!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Leo uko zamu [emoji12][emoji3][emoji23][emoji1787].
Na umejitoa ufahamu kweli kweli [emoji87][emoji40][emoji2960]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
kumbe mnamwonea mkidhani atajipendekeza?? Mtasubiri sana Mbowe sio Jiwe. Yule ni akili mingi. Mahabusu kwake anapata muda wa kutafakari zaidi maisha ya duniani na akhera. Katumwa na Mungu Yule.
 
Lakini ile picha ya mitandaoni ndo ilionyesha kwamba kasema uongo. Angepiga picha lakini asipositi kwenye mtandao wasingeshutuka kwamba kadanganya. Hapo aliingia kwenye mdomo wa mamba mwenyewe.
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Acha propaganda za kupaka watu matope, weka hiyo memo hapa iwe ushahidi, Mbowe hawezi kumnyenyekea Magufuli mnatafuta namna ya kumpaka matope baada ya kushindwa kumnunua, Mbowe hababaiki na lolote, yeye si wa kwanza kufungwa kisiasa unadhani Magufuli hawezi kufungwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie watu laiti mngejua hasira mnazopandikiza kwa raia mngeacha kupost up upuuzi huu..!!

Mbowe hana sababu ya kumuomba huyo mtu amwangalie yeye kwa jicho la huruma. Isipokuwa huyo Nyapara ndie wa kumuomba Mbowe amwangalie yeye kwa jicho hilo.. Hivi hamjiulizi kitu kidogo tu kama condom kuadimika mitaani, just kifaa cha kufanyia starehe kinaadimika na ku make headline Tanzania nzima..!! Nyie mnakutana kwenye mibaraza ya lumumba mnapapasana kisha mnakenua mnajisikia raha kwa vi elfu kadhaa mnavyopewa kwa muda mfupi kisha vinaisha .

Nawaambia hamjui impact ya upumbavu mnaopumbazwa kwenye mabalaza yenu endeleeni kuchekeshana huko... Mwanga hauko mbali.

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hawa wapumbavu waache tupo sehemu tumejichimbia tutakuja kuuwasha moto ambao hautazimika na Jiwe litatoswa Baharini na Tanzania kuwa huru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Uzushi wa kizee huu
 
Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Sawa JITU TAPELI.
 
Back
Top Bottom