Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Tetesi: Mbowe atuma barua ya siri kwa Rais Magufuli kuomba amuangalie kwa jicho la huruma

Kupitia utaratibu wa mahabusu kuandika ujumbe wowote ule kwenda Ikulu, imepenya barua ndogo ya mheshimiwa mbowe akieleza machungu yake kwa mheshimiwa rais

Ujumbe huo una mazito kwanza akiomba rais Magufuli aweze kutoa mwelekeo wowote dhidi ya kesi inayomhusu , pili kasema pengine zinakuwa ni siasa hawasemi kwa kumaanisha,

Kwa upande mwingine kasema ana mengi ya kumweleza endapo watakutana ana kwa ana,


MBOWE KAKOSEA KUANDIKA KWA RAIS BADALA YA MAHAKAMA, WALA MAGUFULI HATAJISHUGHULISHA NA KI MEMO HICHO MAANA ANAJUA MAHAKAMA IKO HURU NA ANAJUA KWAMBA HAWEZI KUIINGILIA

Source niko masijala ya sehem muhimu - husika


BY EXTERNAL PAYMENT ACCOUNT BENEFICIARY - GEE2PATEL
Mimi nilivyokuelewa unatangazia umma kuwa Mbowe kakuandikia barua ya posa.
Kama barua kamuandikia rais wewe ni nani uje kuongea habari za siri kama hizo?
Wewe in first lady?
Acha ujuaji aisee!!
 
unajua ninyi ccm mnadanganyana sana? ujinga kwenu ndo issue. Mbowe hawezi kufanya upuuzi huo labda mtengeneze kimemo chenu najua kikosi cha Bashite mdo kazi yake ila mtafeli vibaya kama mlivyofeli kumuua Lissu Leo mnaumbuka kweupe
 
Sasa utajuaje uhusika wa kuadimika condom kwenye mada ya Mbowe ilhali umekabidhi kichwa na akili zako kwa polepole hapo balazani... itakuwa ajabu sana ulikijua hili.!!

Ila wenzako waliosmart na akili zao hazijakeremishwa kama wewe, wanajua kuwa kuadimika kwa vifaa hivyo ni matokeo ya kuminywa kwa ruzuku iliyokuwa ikipata Tanzania kwa wafadhili ambayo kwa kiasi kikubwa kumesababishwa na kuminywa kwa demokrasia, haki ya kujieleza na kesi kama hizo za kina Mbowe kwa upinzani...

Sasa bata kama wewe unadhani polepole atakuambia uyajue haya... wewe unachotakiwa kujua ni kwamba Mbowe ni Fisadi, kuwadi wa Mabeberu, Gaidi na mambo kama hayo... tofauti na hivyo uwepo wako duniani kama binadamu utakuwa shakani..

Sepaaaaaaaa.....

BACK TANGANYIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Mijitu mijinga kama wewe ndio huleta shida sana hapa Duniani, mahakama hua haichezewi kijingajinga wewe zomwa. Ukiwekewa dhamana fwata masharti vinginevyo lazima uone kiama. Mbona viongozi wengine waliofwata masharti ya dhamana hawasumbuliwi??? Jinga sana wewe.
 
unajua ninyi ccm mnadanganyana sana? ujinga kwenu ndo issue. Mbowe hawezi kufanya upuuzi huo labda mtengeneze kimemo chenu najua kikosi cha Bashite mdo kazi yake ila mtafeli vibaya kama mlivyofeli kumuua Lissu Leo mnaumbuka kweupe
Kashaandika sasa
 
Back
Top Bottom