Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

Mbowe atumia lugha chafu. Amuita DC Ilemela mjinga, hana Wilaya

Hizi chanjo zitakuwa na madhara kwa afya ya akili. Mwenyekiti aangaliwe vizuri atakuwa hayuko sawa. Mtu aliyekuwa na utulivu akianza mambo ya namna hii sio dalili njema kabisa (asomaye na afahamu).
 
Hizi chanjo zitakuwa na madhara kwa afya ya akili. Mwenyekiti aangaliwe vizuri atakuwa hayuko sawa. Mtu aliyekuwa na utulivu akianza mambo ya namna hii sio dalili njema kabisa (asomaye na afahamu).
naye si amechanjwa dubai lazima ndiyo zinaanza kufanya kazi na bado ataropoka sana
 
Ni kwel ile lugha ni chafu, mbowe angepaswa kutumia lugha ya staha kama ya marehemu mkapa, angesema yule DC ni lofa na ni mpambavu basi ingetosha tu.
What?
Tangu lini neno mjinga likawa tusi?
Let us be serious.
Mjinga wewe!
 
huyu mzee mbona kacharuka baada ya sabaya kuachiwa huru
Kwani yeye ana hasara gani kama sabaya ataachiwa huru?kwani makonda sasa hivi si yuko huru lakini mbona wengi wanafurahi?!!yaani yule sabaya hata leo akiachiwa huru akaishi bila madaraka ni adhabu tosha kabisa kwake, kwani madaraka waliyaona kama ni Umungu fulani hivi!!
 
"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowet
===
View attachment 1860888
Yuko sahihi, mtu anayesema maneno ya kijinga ni mjinga tu
 
Panya sii hatari kama fisi,hivyo yafaa kupambana nao kwanza.
Fisi yuko porini, Panya anaweza haribu kila kitu nyumban huyu ndio hatari maana tunaishi nao, ndio maana tunamtafutia Paka, sasa Paka kaondoka Panya kajimilikisha nyumba , huyu atakuwa Panya buku
 
Mrudisheni mwenyekiti kwenye lockdown
Corona ni hatari atiiii

Huyu tumekukabidhi wewe uhangaike naye. Maana kwa kasi hii kawa danger kabisa! Wakati wowote ule kishindo cha mlipuko chaweza sikika!
 
Mrudisheni mwenyekiti kwenye lockdown
Corona ni hatari atiiii
Yeye kachanjwa Dubai. Tena chanjo ya nguvu kuliko zote duniani , ya Pfizer. Hao anaowakusanya kwenye makongamano anataka waambukizane na kuisambaza hii corona ya delta, watanzania wapukutike huku yeye achikelea. Tusikubali mikusanyiko ya makongamano yake. Eti wanadai katiba ya Waryoba? Si watengeneze ya kwao halafu ndiyo waidai tuipitishe? Hiyo ya Waryoba ilikataliwa: sasa ikirudishwa tena si itakataliwa tena kwani wabunge walio wengi bado ni wale wale wa ccm. Si itakuwa ni kupoteza muda na pesa bure kwani katiba haitungwi na chadema?
 
"Watu wanadai katiba its about our life, RAIS anaita chokochoko, na sasa wameibuka na viongozi wa ajabu mfano kuna DC mjinga mjinga hapa ilemela aliita waandishi wa habari kuwaambia kuwa haruhusu mikutano ya hadhara wilayani kwangu. Wewe una wilaya yako?" @freemanmbowet
===
View attachment 1860888
Kamanda usiechoka kutoka Lumumba FC, kuna mwenzako wa uvccm anakutafuta mkuu!!
 
Back
Top Bottom