Mbowe: Awamu ya Magufuli watu waliporwa mali na fedha

Mbowe: Awamu ya Magufuli watu waliporwa mali na fedha

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
 
Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.

We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Nyie hata hamjui mnalolitaka.

Nchi iko imara kwa sasabu JPM alijenga misingi imara.
 
Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.

We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Wee bibi sheiza tafadhali san acheni unafik! Kwann ile hotel pale mwenge hamjasema arudishe? Au salary ya uwazir ina satisfy kujenga hotel ile? Hakuna msafi Nchi hii zaid ya Hayati Julius kambarage Nyerere! Over
 
Watu au wakwepa kodi sugu na wezi wa mali za uma.

Mbowe amekuwa sawa na mrema tu awamu hii.
kwamba wewe ukimuona mbowe sawa na mrema ndio kila mtu atamuona hivyo, 2025 wapuuz jiandaen kulia na kusaga meno.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
shetani amekufa
 
Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.

We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Wanasiasa wengi wa upinzani wanaokoteza tu ajenda. Hawa jamaa bado wanapambana na JPM ambaye hayupo. Nilitegemea kusikia hali ngumu ya maisha, upandaji wa bei za bidhaa, bei za mafuta, Kilimo kinachosua sua, hali ngumu ya mwananchi. Eti kweli jamani tunazungumzia serikali ya JPM? Nafikiri hawa wanastahili wakizuiwa mikutano.
 
Huyu jambazi tunaye, atasemwa hata kwa miaka 200 kwa uovu aliofanyia Tanzania
Hivi kumuondoa mtumishi aliyeghushi vyeti wewe unaona alikosea? Unatengeneza taifa la wajanja wajanja, taifa la wapiga dili? Taifa la mtu asipotaka kulipa kodi aachwe? Nyie watu mtaona ccm ikitawala karne nyengine ijayo
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Safi tuipigie kura CCM Sasa.Maana hata wapinzani wote tunamuunga mkono Samia.Sugu kule Mbeya,mm ni rafiki wa Samia.Tumepoteza welekeo wa upinzani.CCM milele.
 
Back
Top Bottom