Mbowe: Awamu ya Magufuli watu waliporwa mali na fedha

Mbowe: Awamu ya Magufuli watu waliporwa mali na fedha

Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.

We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Na nyie tukiwauliza mabilioni mliyonayo mmepata wapi mtajibu nn?
 
Wanasiasa wengi wa upinzani wanaokoteza tu ajenda. Hawa jamaa bado wanapambana na JPM ambaye hayupo. Nilitegemea kusikia hali ngumu ya maisha, upandaji wa bei za bidhaa, bei za mafuta, Kilimo kinachosua sua, hali ngumu ya mwananchi. Eti kweli jamani tunazungumzia serikali ya JPM? Nafikiri hawa wanastahili wakizuiwa mikutano.
Kwamba wewe hujui hilo mpaka Mbowe ndiyo aje aseme ?!. WaTanganyika wamerithishwa ujinga kwa faida ya watawala.
 
Kilio cha wengi ni ibada tosha, tulilia mwenyezi Mungu akatusikiliza - kwa sasa pamoja na mapungufu yote haya ila Taifa linapumua.
 
Kwa hiyo Chadema wanapambana na Magufuli kwenye uchaguzi wa 2025 ?
 
Nyie hata hamjui mnalolitaka.

Nchi iko imara kwa sasabu JPM alijenga misingi imara.
Alijenga misingi au alitaka kubomoa misingi miziri iliyowekwa na jk. Halafu eti watu wanasema jpm kajenga barabara, ipi? Barabara zote zimejengwa wakati wa jk.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Watanzania tuna taka Rais kama JPM na tutampata wahuni wote wa msoga tulieni tu muone
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Nimemsikiliza Lema leo aisee kumbe tulikuwa Bagidadi
 
Safi tuipigie kura CCM Sasa.Maana hata wapinzani wote tunamuunga mkono Samia.Sugu kule Mbeya,mm ni rafiki wa Samia.Tumepoteza welekeo wa upinzani.CCM milele.
Usinune Dr Samia anapopongezwa kwa mazuri.
 
Sasa mkuu chama cha mambuzi unachodharau wewe sio ndio kimweka madarakani Dr JPm?

Kwani walimtaka?!

Yule aliwekwa pale by devine order to set the standards…

Waone mambuzi sasa hv yalivyo na wakati mgumu….
 
Shetani baba yako, mbwa wewe, pamoja na familia yako
 
kwamba wewe ukimuona mbowe sawa na mrema ndio kila mtu atamuona hivyo, 2025 wapuuz jiandaen kulia na kusaga meno.
Kweli zama za Mbowe zimeshapita.

Mwenyekiti wenu asipoamua kustaafu atastaafu lazima kwa aibu.

Huwezi amini thread ya kumpa sifa mwenyekiti wenu mpaka usiku huu ndio kwanza ipo page ya pili tena kwa kusuasua.

Watu wameshamshtukia kuwa anaigiza tu hakuna mwenye muda wa kusikiliza sanaa.

Kipindi kile manyumbu mkiwa wa moto mpaka sasa hivi uzi ungekua page ya 400 na picha kibao.
 
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.

Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.

Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.

“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.

Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.

“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.

My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Asante.
Hebu ongeeni yanayowahusu wananchi zaidi. Ya JPM yaacheni tu.
 
Tarehe 17/03 kila mwaka iwe ni siku ya kitaifa ya kuliadhibu kaburi la jiwe
 
Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.

We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Kuna habari ya upatanisho ilitrend sana wakati fulani hivi katika kipindi hiki cha mama.

Hivi nani alikuwa anapatanishwa na nani?

Walifanyiana kitu gani kilipelekea wasipatane?
 
Back
Top Bottom