Na nyie tukiwauliza mabilioni mliyonayo mmepata wapi mtajibu nn?Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.
We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Kwamba wewe hujui hilo mpaka Mbowe ndiyo aje aseme ?!. WaTanganyika wamerithishwa ujinga kwa faida ya watawala.Wanasiasa wengi wa upinzani wanaokoteza tu ajenda. Hawa jamaa bado wanapambana na JPM ambaye hayupo. Nilitegemea kusikia hali ngumu ya maisha, upandaji wa bei za bidhaa, bei za mafuta, Kilimo kinachosua sua, hali ngumu ya mwananchi. Eti kweli jamani tunazungumzia serikali ya JPM? Nafikiri hawa wanastahili wakizuiwa mikutano.
Alijenga misingi au alitaka kubomoa misingi miziri iliyowekwa na jk. Halafu eti watu wanasema jpm kajenga barabara, ipi? Barabara zote zimejengwa wakati wa jk.Nyie hata hamjui mnalolitaka.
Nchi iko imara kwa sasabu JPM alijenga misingi imara.
Watanzania tuna taka Rais kama JPM na tutampata wahuni wote wa msoga tulieni tu muoneMwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.
Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.
Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.
“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.
Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.
“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.
My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Nimemsikiliza Lema leo aisee kumbe tulikuwa BagidadiMwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.
Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.
Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.
“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.
Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.
“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.
My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Imeisha hiyoWatanzania tuna taka Rais kama JPM na tutampata wahuni wote wa msoga tulieni tu muone
Usinune Dr Samia anapopongezwa kwa mazuri.Safi tuipigie kura CCM Sasa.Maana hata wapinzani wote tunamuunga mkono Samia.Sugu kule Mbeya,mm ni rafiki wa Samia.Tumepoteza welekeo wa upinzani.CCM milele.
Kabisa
Zijenge Taifa au Zikafichwe China?Narudia, hawakuporwa ila walirudisha walichochukuwa kifisadi. Ukishindwa kujieleza pesa umetoa wapi zinarudi serikalini ili zijenge taifa. Big up JPM (RIP).
Sasa mkuu chama cha mambuzi unachodharau wewe sio ndio kimweka madarakani Dr JPm?
Kweli zama za Mbowe zimeshapita.kwamba wewe ukimuona mbowe sawa na mrema ndio kila mtu atamuona hivyo, 2025 wapuuz jiandaen kulia na kusaga meno.
Asante.Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.
Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.
Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.
“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.
Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.
“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.
My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
😅😅😅Kwani walimtaka?!
Yule aliwekwa pale by devine order to set the standards…
Waone mambuzi sasa hv yalivyo na wakati mgumu….
Kuna habari ya upatanisho ilitrend sana wakati fulani hivi katika kipindi hiki cha mama.Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.
We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?