Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Usikurupuke, anazungumzia waliokuwa na maduka halali ya kubadili fedha ambao waliporwa na Magufuli, mwisho wa siku wakaambiwa wakachukue mali zao na walipokwenda wakakuta hizo mali ni viti, meza na kakyuleta! Pesa kabaki nazo Sabaya.Kama ulikuwa na mali ambazo hujui umezipataje kisheria lazima zitaifishwe.
We ni meneja au mkurugenzi wa shirika la uma kisha una hotel ya billioni 1. Tunakuuliza umejenga kwa mkopo au nini, hutoi maelezo. Sie tufanyeje?
Utakuwa ulikuwa haujabarehe.Nakubaliana na ww ..maana sio kwa shida hizo jamani .mbowe amefungwa na samia akafunguliwa na samia ila hasira zote ni kwa magufuli mbona kituko jamani
Jk aliweka misingi ya wizi kama ndo unaifurahi hakika tuna hasaraAlijenga misingi au alitaka kubomoa misingi miziri iliyowekwa na jk. Halafu eti watu wanasema jpm kajenga barabara, ipi? Barabara zote zimejengwa wakati wa jk.
Dah bado hamjatishika naye ?? !! Kweli aliwatesa Sana MAFISADI na ndo mliporwa Mali mlizoiibia NchiMwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema miaka saba iliyopita ilikuwa ya bonde la maumivu makali kwa wananchi wote.
Alitaja maumivu hayo akihusisha wale waliofungwa magerezani na watumishi waliofukuzwa kwa kigezo cha vyeti feki.
Mbowe aliyasema hayo jana mkoani Njombe alipokuwa akiwahutubia wananchi mkoani humo, ikiwa ni mwendelezo wa mikutano ya hadhara baada ya kuruhusiwa hivi karibuni.
“Wako walionyang’anywa mali, Tanzania ikageuzwa kuwa Taifa la mateso, wananchi wakaishi kwenye hofu, lakini kwa wiki moja tuliyofanya mikutano ya hadhara, nikiliangalia Jeshi la Polisi silielewi mbona limekuwa na ubinadamu hivyo,”alisema Mbowe.
Alisema miaka saba iliyopita jeshi hilo halikuwa hivyo, lakini wanashukuru kwa sasa hali hiyo imebadilika na wanaamini kiongozi wa nchi anatengeneza vyombo vya dola kwa kuzingatia misingi ya kujali haki kwa wote.
“Tunachokiona leo ni Tanzania tunayoipenda Chadema tukizungumza, polisi wapo wanalinda amani na wanasikiliza sera.Tulifika hatua polisi wetu walionekana maadui kwa wananchi na raia, walikuwa wanawaombea mambo mabaya,”alisema.
My Take
Awamu ya Magufuli ni ya hovyo, ni kama awamu ya Nduli kule Uganda
Kasahau Tayari aliyemnyang'anya kiwanja pale kwenye disco lake alikuwa nani!!! Siasa sometimes ni unafiki sana;Watu au wakwepa kodi sugu na wezi wa mali za uma.
Mbowe amekuwa sawa na mrema tu awamu hii.
Kwani jpm kipindi chake nani alikuwa waziri? Basi sifa zote ziende kwa mbalawa siyo jpmZilijengwa nani akiwa Waziri wa Ujenzi?
Zilezilikuwa kelele tu za jpm ambaye aliona kila mtu ni mwizi ispokuwa yeye tu. Serikali iliendeshwa kwa propaganda nyingi kuliko uhalisia ndo mana hata vyombo vya habari vilizimwa ili visihoji chochoteJk aliweka misingi ya wizi kama ndo unaifurahi hakika tuna hasara
Utuache mana JPm alituumiza sana na nusula atuue wapinzani wote Sasa lazima tumseme mpaka huko aliko aseme poo na mungu nadhani atakuwa anamshangaa sanaHivi tumekosa hoja za kuongelea juu ya taifa letu tume mshikilia marehemu?
Jamani mbona chadema mnarudi nyuma kwa speed kali hivi? Wale wasomi wenu wako wapi? Wale waliokuwa wanachambua wizara kwa wizara ili kuwasema mafisadi?
Duh haki ya Mwenye Enzi Mungu!