Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
UVCCM hawana akiliUmechanganya habari mbili tofauti
Mbona kwenye ulemkutano wa mdude walijazana?? Ufipani bwana. Kwahiyo watu wasiende kwenye msiba ila mikutano ya kudai katiba ruksa.hizi kiki zingine bwaaanaNdugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa.Hapa ni funzo kwa wafuasi wa Chadrma ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi.Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani,mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha.Amkeni mabavicha!
Na weye umeamini alichoandika huyo zumbukuku?πππMbona kwenye ulemkutano wa mdude walijazana?? Ufipani bwana. Kwahiyo watu wasiende kwenye msiba ila mikutano ya kudai katiba ruksa.hizi kiki zingine bwaaana
Tazama aliyeandika halafu tulia utafakari.ππππMbona kichwa cha habari kinaonesha utata.Nadhani siyo mbowe katamka
Propaganda hata misibani?
Yaaani huyuTAGA, ni wa kumuhurumia tu!Umechanganya habari mbili tofauti
Kwahyo mbowe nimwongooNa weye umeamini alichoandika huyo zumbukuku?πππ
Badala amkaangie maboga na juisi ya bamia mumewe amekaa anachezea simu.MuhurumieππππYaaani huyuTAGA, ni wa kumuhurumia tu!