Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mpigie simu au umfuate msibani ukale na ubwabwa.ππππKwahyo mbowe nimwongoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie simu au umfuate msibani ukale na ubwabwa.ππππKwahyo mbowe nimwongoo
Ningeeenda. Sasa siametukataza.Mpigie simu au umfuate msibani ukale na ubwabwa.ππππ
Omba wakutumie ubwabwa hapo nyumbani kwenu.πππππNingeeenda. Sasa siametukataza.
Kwakuwa Mimi nikiongozi kwenyechama chake nitaenda na wanachamaOmba wakutumie ubwabwa hapo nyumbani kwenu.πππππ
Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
NdiyoSasa nyie mnaohudhuria mikutano ya Mbowe mmepata chanjo?
Mkuu Wakudadavua nafikiri una kitu fulani binafsi na Mbowe. Ama unamhusudu mno ijapokuwa aliwahi kukuumiza kihisia, ama la sivyo una mpenda kwa kificho cha "sitaki nataka" ili uweze kusikilizia mapigo. Maana, mhh! Si bure.
Umeanza lini kuwa msemaji wa Mbowe na familia yake?
Fake news huwa zinajibiwa au husomwa tu?πππππJibu hoja acha kuhoroja
Lakini ulitakiwa useme ukweli. Mbowe kasema kaka yake amefariki kwa corona. Mbona hilo hujasema?Kamanda Mbowe anakula kodi zetu maneno yake tunayafatilia kama mnavyomshupalia Mhe.Rais Samia
Nenda nao ili ujihakikishie habari πππππKwakuwa Mimi nikiongozi kwenyechama chake nitaenda na wanachama
Fisi mzeeKundi la fisi limeanzisha uzi usioeleweka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zombie boy toka mwishoni 2015 hadi March 16 2021 huonekani jamvini licha ya thread nyingi za Chadema na Mbowe. Ni nini kimekufanya sasa hivi uwe active wewe mdini, mkabila na mkanda??????!!Sasa anavyosema Chadema wataitisha maandamano watapata kwanza chanjo?