Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 8,015
- 10,269
Eee. Sikujua kamandaKamanda hujui Chadema ni wafuasi wa Kenyata?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee. Sikujua kamandaKamanda hujui Chadema ni wafuasi wa Kenyata?
Zombie boy toka mwishoni 2015 hadi March 16 2021 huonekani jamvini licha ya thread nyingi za Chadema na Mbowe. Ni nini kimekufanya sasa hivi uwe active wewe mdini, mkabila na mkanda??????!!
Ni kweli amesemaMkuu kwa nini anafanya mikutano ya ndani na watu wamekusanyika wakati huo huo anawakataza watu wasije kwenye mkusanyiko wa msiba wake ?
Nauliza hivi ikiwa kama kweli amesema hayo kama hajasema nabatilisha maswali
Sasa najiuliza kwa nini asianze kukataa mikusanyiko ile ambayo anaifanya siku zote.Ni kweli amesema
Siasa ndugu siasa 😀Sasa najiuliza kwa nini asianze kukataa mikusanyiko ile ambayo anaifanya siku zote.
Mikutano ya kisiasa ya ndani kimesambaza kirusi cha delta covid 19 nchi nzima. Bado wanaona hiyo haitoshi wanalilia wakiwa wamevaa nguo nyekundu, kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima ili kirusi hiki wakisambaze kwa kasi zaidi. Mwamba yeye ana full vaccination ya Pfizer aliyoipata Dubai.Ndugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Nimekusoma mkuu.Siasa ndugu siasa 😀
Wewe ni mpumbavu, usilete ujinga kwenye misiba, mjinga sanaNdugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Mbona anataka kufanya mikutano ya kisiasa?Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe
Watavaa BarakoaSasa anavyosema Chadema wataitisha maandamano watapata kwanza chanjo?
Hoja ipi?Jibu hoja acha kuhoroja
Hopeless kabisa, mikutano ya hadhara wanadai ila mikusanyiko ya misiba hawatakiMbona kwenye ulemkutano wa mdude walijazana?? Ufipani bwana. Kwahiyo watu wasiende kwenye msiba ila mikutano ya kudai katiba ruksa.hizi kiki zingine bwaaana
Covid ilisepa naeNdugu zangu,
Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.
Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni
Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Wapumbavu watupu hawa!Mbona kule kwenye kaukumbi ka kudai katiba walirundika kama kumbikumbi?
Mbowe kwa maigizo,,!
Vipi ile kusanyiko la.katiba walokiwa na chanjo wote?Familia ya mbowe imepata chanjo, hao wengine nao wamepata chanjo? mpuuzi mkubwa wewe