#COVID19 Mbowe awataka wananchi wasihudhurie msiba wa Kaka yake kuepuka maambukizi ya COVID-19

#COVID19 Mbowe awataka wananchi wasihudhurie msiba wa Kaka yake kuepuka maambukizi ya COVID-19

Ndugu zangu,

Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.

Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni

Pia soma > TANZIA - Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Ndugu zangu,

Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.

Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni

Pia soma > TANZIA - Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Juzi alikuwa anafanya mikutano anashikana mikono kwenye shwrehe ya bawacha leo anasema tena wasifike kwenye msiba coz ya coranona mbona hii ni double standard
 
Isaya 26:20 Njooni, watu wangu, ingia wewe ndani ya vyumba vyako, ukafunge mlango nyuma yako ujifiche kitambo kidogo, mpaka ghadhabu hii itakapopita.
Serikali ya CCM ipelekwe mahakamani haraka iwezekanavyo wamesababisha maelfu ya watu Kufa kwa ujinga wao..hata biblia ilituambia janga Kama hilo likitokea mjifungie ndani..
 
Wakudadavua utakuta wewe nae hapo Lumumba unaaminika hata kupewa u naibu waziri
 
Huo ukwaju endelea kuufaidi kamanda
Ukwaju wake huupati maana unautafuta kwa udi na uvumba.
Hivi Samia amekusahau? Làbda kwenye uDED, endelea kumkandia Mbowe làbda atakusikia lkn kumbuka huyu siyo Jiwe, hataki kukanyaga watu
 
Mbowe anafikiri watanzania wa sasa ni sawa na wale wa miaka ya 80, ambapo watu walikuwa wakijua au wakipata taarifa kupitia redio Tanzania tu. Jamaa anawadharau sana watanzania.
RTD...
 
Ndugu zangu,

Mbowe amewataka wananchi kutohudhuria msiba na mazishi ya Kaka yake ili kuepuka maambukizi ya ugonjwa wa covid-19.Amesema msiba huo utakuwa "private" kwa familia tu.

Kwa upande mwingine Mbowe anatoka kuendesha mikutano ya kisiasa. Hapa ni funzo kwa wafuasi wa CHADEMA ambao wanakuwa wepesi kuhamasika kufanya ukorofi. Wanahamashishwa kupuyanga mabarabarani, mkipigwa na kuchakaa mwamba atakuwa anawaangalia kwa mbali akichekea tumboni

Pia soma > TANZIA - Kaka wa Freeman Mbowe, Charles Mbowe afariki Dunia

Mwanasiasa akikwambia kumekucha toka nje uhakikisha. Amkeni mabavicha!
Lakini kaamuru wahamiae Usukumani huko kama watakufa ni sawa tu. Siku zote kwao anakuenzi abakutunza, Usukumani halali yao..
 
Back
Top Bottom