Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni hasara kubwa sn kwa taifaHarafu cha ajabu hizo rushwa wanazopewa eti magari na nyumba ambayo wanaweza kuleta hata kwa kuomba vibali bila kulipa kodi wao wanaona wakipewa VX wamepewa vitu vya maana sana majinga kabisa haya sema viongozi wengi wametoka kwenye Umasikini ndio maana naona vitu vidogo vibawatoa Imani kabisa...
Wabunge fake wale walipandishwa ndege kwenda kuchukua rushwaMkataba ulishasainiwa kitambo unataka uchambuwe nini yaani wewe upikiwe ugali uletewe mezani halafu uanze kutafuta unga na kuni inaingia akilini?
Halafu wanakuja na ngojera za kutufumba macho.Wabunge fake wale walipandishwa ndege kwenda kuchukua rushwa
Mkataba ulishasainiwa kitambo unataka uchambuwe nini yaani wewe upikiwe ugali uletewe mezani halafu uanze kutafuta unga na kuni inaingia akilini?
Bunge gani hili la kuteuliwa na Mwendazake,hapo tumepigwa mchana kweupe.Ungekua hauwezi kubadilishwa usingepelekwa bungeni.ndio maana nasema wengi hamjui kitu zaid ya kumezeshwa,wamekubaliana mkataba lazima upitishwe bungeni ndio utumike
Mfumo wa CCM ni mbaya sn unanuka rushwa tupuHalafu wanakuja na ngojera za kutufumba macho.
Mfumo wa CCM ni mbaya sn unanuka rushwa tupuHalafu wanakuja na ngojera za kutufumba macho.
Hakika.Mfumo wa CCM ni mbaya sn unanuka rushwa tupu
Kama shida yako ni Mbowe basi endelea kuuza nchi kwa Waarabu.Bunge litaitisha huo mkataba na Mbowe hatofanya chochote..Mikataba mingi ilikuwa ikiitishwa bila ya kuelekwa Bungeni na watu walipiga kimya
Bunge gani hili la kuteuliwa na Mwendazake,hapo tumepigwa mchana kweupe.
Hakuna kitu amini usiaminiWakat wanaujadil ndio tutaujua kwa kina..mbunge wako ndio muwakilishi wako [emoji23]ingawa wabunge ni wamchongo
Usisikilize mitandao. Kwani TICTS ni Watanzania? Sikiliza Bunge Kesho usiacheHaya
Unajiongelesha!Usisikilize mitandao. Kwani TICTS ni Watanzania? Sikiliza Bunge Kesho usiache
Sasa akili zimeanza kurudi au dumu la asali limekwisha. Hawa wazanzibar wataliingiza taifa kwenye matatizo makubwa kwa ulafi wao 10%.Wamalize muda wao waondoke tupate kina JPM wengine.Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Acha kujadili TETESI za kwenye mitandao; sikiliza Bunge kesho!hata kama sijawahi kuandamana, chadema wakikisanua hiki, nabeba bango.
Acha kujadili tetesi; utaonekana huna hekima. Kesho Bunge linajadili LIVE; sikiliza Bunge; acha kusilkiliza mawazo mufilisi ya kwenye mitandaoWamewachukulia Watanzania wajinga kabisa kila kukicha mikataba ya hovyo hovyo..
Hakuna kitu amini usiamini
Mbona Magu alishatuuza kwa waarabu wa Morroco kitambo tu na hakukuwa na mba mba mba.. Mbowe kelele nyingi vitendo sufuri akianzisha maandamano atangulie mbeleKama shida yako ni Mbowe basi endelea kuuza nchi kwa Waarabu.