DINHO
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 880
- 1,750
Mkuu umeusoma mkataba?????Mkataba huu wa bandari ndiyo ile cheche tuliyokuwa tunaisubiri kuulipua huu muungano wa mchongo. Mimi niko tayari kuhesabiwa Tanganyika kwanza !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeusoma mkataba?????Mkataba huu wa bandari ndiyo ile cheche tuliyokuwa tunaisubiri kuulipua huu muungano wa mchongo. Mimi niko tayari kuhesabiwa Tanganyika kwanza !!!
Ukombozi wanini wakati IQ yenyewe hafifu.Ukisubiri ukombolewe na Waarabu utabaki hivyo hivyo mtu mwenye akili timamu hujikomboa mwenyewe.
Bora maisha ya amani,upendo,mshikamano hata kama IQ yenyewe ni hafifu IQ ya Sudan,Iraq,Syria,Urusi,Somalia ya kupigana mabomu na kukatana mapanga hiyo haina faida.Babu zetu waliishi katika mapango lakini waliishi kwa upendo,mshikamano,udugu na amani,hawakuwa na njaa,njaa yao ilikuwa pesa lakini vingine walipambana kwa akili yao na wakatulea bila shida.Sasa hivi tuna Serikali,Bunge na Mahakama.Sasa hivi tuna Wafanyabiashara wakubwa wa Kitanzania,una wasomi wazuri wa Kitanzania,tuna viongozi wa Kitanzania,tuna hospitali za Watanzania,tuna shule za Watanzania,tuna barabara za lami karibia Tanzania yote,hiyo IQ yako ina faida gani zaidi ya kuhamasisha biashara ya Utumwa Tanzania.Ukombozi wanini wakati IQ yenyewe hafifu.
Upendo gani wakati walikuwa wanalogana na kuuzana utumwa kila siku.faida.Babu zetu waliishi katika mapango lakini waliishi kwa upendo,mshikamano,udugu
Tulishatoka huko kitambo sisi tunasonga mbele.Upendo gani wakati walikuwa wanalogana na kuuzana utumwa kila siku.
Leo hii aibu Duniani Afrika ya kusini tumeshindwa hata umeme tu, tuseme ukweli kuwa IQ zetu za kiafrika ni hafifu.Tulishatoka huko kitambo sisi tunasonga mbele.
kama mkeo umempa mimba usidhani kila mtu ana mimba k*nge weUmeusoma mkataba? Au hayo maudhi yanatokana na mimba yako changa?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] una mimba changa wewe sio bure.kama mkeo umempa mimba usidhani kila mtu ana mimba k*nge we
kama mkeo💩[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] una mimba changa wewe sio bure.
Maisha yanasonga na Mungu anatubgarikiLeo hii aibu Duniani Afrika ya kusini tumeshindwa hata umeme tu, tuseme ukweli kuwa IQ zetu za kiafrika ni hafifu.
Tunachoweza kwa weledi wa hali ya juu ni kulogana.Maisha yanasonga na Mungu anatubgariki
Daah mkuu mbona umenivamia kwani mimi nilienda Dubai na wakina Msukuma au unataka nichambue nini ili uelewe...sihitaji kujisifia akili wakati Taifa linatapeliwa na wenye akili wapo Kimya tuu...
Yote heri tuthamini Uafrika wetu bila kuingiliwa.Tunachoweza kwa weledi wa hali ya juu ni kulogana.
AtaamshajeMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe ameitaka Serikali kuondoa Mkataba huo kwenye majadiliano Bungeni kwasababu unakwenda kuiingiza Nchi kwenye migogoro usio na faida.
Pia, amewataka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Bandari, Plasduce Mikeli Mbossa kujitafakari kama wana hadi ya kuendelea kubaki kwenye ofisi za Umma kutokana na kuiingiza Nchi kwenye Mkataba huo.
Aidha, amesema ifike wakati sasa badala ya kutoa Kinga kwa Viongozi, wengine waanze kushtakiwa kwa makosa wanayofanya kwa kutumia Mamlaka yao vibaya na kuiingiza Nchi katika mikataba ya ovyo.
Tubadilishe mindset zetu.Yote heri tuthamini Uafrika wetu bila kuingiliwa.
Mindset za kuuza utu wetu na rasilamali zetu tulikataa tangu 09.12.1961 na hata hali ya utumwa ilipotaka kurudi 2016 hadi 2021 tulikataa tena tarehe 17.03.2021 kwa sala na maombi ya Watanzania na Mungu akatujibu.Tubadilishe mindset zetu.
Miungu yenyewe tunayoiabudu ni ya watu wa Sham sala gani itakayopokelewa.Mindset za kuuza utu wetu na rasilamali zetu tulikataa tangu 09.12.1961 na hata hali ya utumwa ilipotaka kurudi 2016 hadi 2021 tulikataa tena tarehe 17.03.2021 kwa sala na maombi ya Watanzania na Mungu akatujibu.
Mkataba ulishasainiwa kitambo unataka uchambuwe nini yaani wewe upikiwe ugali uletewe mezani halafu uanze kutafuta unga na kuni inaingia akilini?Biashara lazima iwe na faida kwa pande zote mbili.tuache kuona kila kitu ni kupigwaa tuh.mkataba uchambuliwe kwenye sehem tukiona hapafai tuombe pabadilishwe,sio kuleta ngojera za kusingizia kupigwa kupigwa [emoji53]