Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
CCM tunawapenda hawa wanganga njaa kwa sababu kila kiongozi wa hichi kikundi ana bei yake.Mwenyekiti wa CHADEMA amesema kuwa CCM haina ugomvi na vyama vingine vya siasa zaidi ya CHADEMA kwasababu wanajua CHADEMA ni chama cha watu, na mimi nilimwambia Hayati Magufuli kuwa ukimuua Mbowe unaweza lakini huwezi kuiua CHADEMA, kwasababu CHADEMA ni imani ya watu.
Mngewanunua wote kipindi cha mwenda napia CDM ni imani hata uwanunue wote itabakiCCM tunawapenda hawa wanganga njaa kwa sababu kila kiongozi wa hichi kikundi ana bei yake.
Majuzi CCM kirumba walichukua wanachama kutoka mikoa mitatu nasikiaCCM zaidi ya kusombwa kwenye matipa watu hawaitaki kabisa
Case closed!Shetani hana shida na wale "walio wake" BALI ana shida na wale "walio wa Mungu".
Tena mbowe bei yake ni sawa na bure, nakufutia mashitaka, haya huyu lema yeye nakulipia mkopo wako wa mil 600 uliotapeliwa na wale vijana wa forex, lisu pamoja na kupigwa risasi na mbowe ni wewe lisu aliyeamrisha upigwe risasi ni Dkt Magufuli, rudi Tanzania ninakuhakikishia hakuna wa kukukamata na ninafuta mashitaka yote zidi yakoMngewanunua wote kipindi cha mwenda napia CDM ni imani hata uwanunue wote itabaki
Nb kifo cha mchungaji sio mwisho wa kanisa
✔️ Kweny hilo nakubaliana na Mbowe!! Adui no moja wa CCM nchi hii ni CDM. Na kwasaab wameoneka ni most competitive wao kwa kias cha kutisha, na bila mbeleko.....Mwenyekiti wa CHADEMA amesema kuwa CCM haina ugomvi na vyama vingine vya siasa zaidi ya CHADEMA kwasababu wanajua CHADEMA ni chama cha watu, na mimi nilimwambia Hayati Magufuli kuwa ukimuua Mbowe unaweza lakini huwezi kuiua CHADEMA, kwasababu CHADEMA ni imani ya watu.
Pia amewataka wanaMagu kujiunga na kukijenga CHADEMA, siyo kwasababu ya sura ya Mbowe, CHADEMA siyo mali yangu(Mbowe), CHADEMA ni mali yenu. Chama pekee ambacho kinaundwa na imani, na ndio maana hakifi.
Tumepigwa propaganda za kila aina, tumepita mateso ya kila aina lakini chama hiki badala ya kudidimia kimeimarika.
View attachment 2713339
Akili ni nywele hakika kila mmoja ana zake!!CCM tunawapenda hawa wanganga njaa kwa sababu kila kiongozi wa hichi kikundi ana bei yake.
umandika Kwakukurupuka sana haya matakataka yako hayana uhalisia wowote uchawa,unafiki nk nijanga linalo tutafuna sana watz hataakili zetu zimebaki kua hewa kwasababu hazitakiwi kabisa haswa pale unapo amua kua chawaTena mbowe bei yake ni sawa na bure, nakufutia mashitaka, haya huyu lema yeye nakulipia mkopo wako wa mil 600 uliotapeliwa na wale vijana wa forex, lisu pamoja na kupigwa risasi na mbowe ni wewe lisu aliyeamrisha upigwe risasi ni Dkt Magufuli, rudi Tanzania ninakuhakikishia hakuna wa kukukamata na ninafuta mashitaka yote zidi yako
Mbona ushahidi upo, mbowe alitakiwa awe kahukumiwa kifo cha kunyongwa, lema angekuwa canada anafanya kazi kuzoa mavi ya wazee, lisu angeendelea kutatuliwa linda huko kwa wazungu. Ila wote wapo bongo wanatembea tembeaumandika Kwakukurupuka sana haya matakataka yako hayana uhalisia wowote uchawa,unafiki nk nijanga linalo tutafuna sana watz hataakili zetu zimebaki kua hewa kwasababu hazitakiwi kabisa haswa pale unapo amua kua chawa
Mwenyekiti wa CHADEMA amesema kuwa CCM haina ugomvi na vyama vingine vya siasa zaidi ya CHADEMA kwasababu wanajua CHADEMA ni chama cha watu, na mimi nilimwambia Hayati Magufuli kuwa ukimuua Mbowe unaweza lakini huwezi kuiua CHADEMA, kwasababu CHADEMA ni imani ya watu.
Pia amewataka wanaMagu kujiunga na kukijenga CHADEMA, siyo kwasababu ya sura ya Mbowe, CHADEMA siyo mali yangu(Mbowe), CHADEMA ni mali yenu. Chama pekee ambacho kinaundwa na imani, na ndio maana hakifi.
Tumepigwa propaganda za kila aina, tumepita mateso ya kila aina lakini chama hiki badala ya kudidimia kimeimarika.
View attachment 2713339
Acha uongoChadema wakubwa juu chini huku hakuna kitu.
Kweli ni chawa kichaaumandika Kwakukurupuka sana haya matakataka yako hayana uhalisia wowote uchawa,unafiki nk nijanga linalo tutafuna sana watz hataakili zetu zimebaki kua hewa kwasababu hazitakiwi kabisa haswa pale unapo amua kua chawa
Naomba tafsiri kwa kiswahili.umandika Kwakukurupuka sana haya matakataka yako hayana uhalisia wowote uchawa,unafiki nk nijanga linalo tutafuna sana watz hataakili zetu zimebaki kua hewa kwasababu hazitakiwi kabisa haswa pale unapo amua kua chawa
CHAMA CHA SIASA TANZANIA NI KIMOJA TU NACHO NI CHADEMAMwenyekiti wa CHADEMA amesema kuwa CCM haina ugomvi na vyama vingine vya siasa zaidi ya CHADEMA kwasababu wanajua CHADEMA ni chama cha watu, na mimi nilimwambia Hayati Magufuli kuwa ukimuua Mbowe unaweza lakini huwezi kuiua CHADEMA, kwasababu CHADEMA ni imani ya watu.
Pia amewataka wanaMagu kujiunga na kukijenga CHADEMA, siyo kwasababu ya sura ya Mbowe, CHADEMA siyo mali yangu(Mbowe), CHADEMA ni mali yenu. Chama pekee ambacho kinaundwa na imani, na ndio maana hakifi.
Tumepigwa propaganda za kila aina, tumepita mateso ya kila aina lakini chama hiki badala ya kudidimia kimeimarika.
View attachment 2713339
Wakati wenye akili wanajadili mambo ya msingi hizi hoja zako za kitoto kazizungumzie huko unakoenda kusuka nywele au kuosha kuchaTena mbowe bei yake ni sawa na bure, nakufutia mashitaka, haya huyu lema yeye nakulipia mkopo wako wa mil 600 uliotapeliwa na wale vijana wa forex, lisu pamoja na kupigwa risasi na mbowe ni wewe lisu aliyeamrisha upigwe risasi ni Dkt Magufuli, rudi Tanzania ninakuhakikishia hakuna wa kukukamata na ninafuta mashitaka yote zidi yako