Mbona ushahidi upo, mbowe alitakiwa awe kahukumiwa kifo cha kunyongwa, lema angekuwa canada anafanya kazi kuzoa mavi ya wazee, lisu angeendelea kutatuliwa linda huko kwa wazungu. Ila wote wapo bongo wanatembea tembea
Bora kuwa ng’ombe maana wahindi wanamuambudu kama mungu wao, kwa sababu wahindi ni binaadamu ina maana na wewe ni binaadamu maana yake mimi ni mungu wako hahahah