Mbowe: CHADEMA haiko tayari kupokea Ruzuku inayotokana na Kura za Wizi!

Kura za uwizi huku unalazimisha kukutana na mana yetu ,ndio maana mzee Mbowe unastahili kupewa jina lunaliakusi wajunga yaani TONDO
 
CCM wauaji aisee...Nikikumbuka haya!!
 
Mwenyewe nimekumbuka mbali mno na kusononeka...Yaani CCM hawa ....?!
 
Chadema bado wspo ? I thought walifutwa
 
Hata hivyo Chadema ni maiti saa hizi
 
Na wasipokeet kweli

Na serikali idhibiti pia pesa za wafadhili maana hao ndio wanawapa kiburi

Mbowe moved to Dubai kula posho za western world
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…