Mwamba yupo committed sana ,nilivyoona walivyoporosha Billcanas ,wakavunja Shamba lake la maua/mboga mboga ,wakambambikizia kwamba ajalipa kodi,wakamnyima mshahara ,wakamfunga still mwamba hajaunga mkono juhudi.
Heche,Sugu,Msigwa ni baadhi ya wabunge walioshawishiwa waunge mkono juhudi wengine walipewa blank cheque wajaze mpunga wao wenyewe wanaotaka lakini hawajaunga!! Ukiunga mkono juhudi maana yake umejimaliza kisiasa eg Covid19,Silinde,likualibutu,nasari and the like washajimaliza kisiasa!! Ngoja wamtumikie kafiri kisha warudi mtaani kuungana na lipumba,mrema ,cheyo etc